Kumbe nyie ndo Mnatumaliza Nguvu za Kiume kwa Makusudi. Nimeumia sana

Kumbe nyie ndo Mnatumaliza Nguvu za Kiume kwa Makusudi. Nimeumia sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji847][emoji847][emoji847] mwambiie mapema si unajua wanaume tupo wachache asije waiwa na coca oho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shangaa nawee dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anatakaa nisifatwee PM, akati mwenzakee nataka niolewee this yr.
Mimi mwenyewe maex waniache kwa kweli....nataka nilinde na kutunza changu aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamaniij mpe polee huyoo mbaba
 
Mipango ya wanawake haifanikiwagi kwakuwa wapo Emotional sana..
Hata kwenye kukuacha tu atazunguka sana na ukijifanya huoni utapigwa tukio hiloo...
Sisi wanaume tunaonekana wakatili kwa kuwa tupo logical nakwambia tu bana mimi na wewe kwasasa Baasi
ni ukweli lkn unauma ndio tatzo happ
 
Wanawake Ni mawakala wa shetani na ndo maana imeandikwa tuishi nao kwa akili.
 
Back
Top Bottom