Kumbe pombe zina madhara kiasi hiki!?

Nimefikia hatua ambapo chochote ninachoshika natetemeka hata nikishika kikombe cha chai natetemeka tu kisa safari na smart gin
Bia kama unakunywa mbili tatu kwa wiki huwezi kutetemeka ila hizo spirits kama gin, konyagi, vodka, whiskey, etc tena uwe unakunywa nyingi na mara kwa mara kuna wakati hata ukishika kujiko mezani utakuta unakipeleka puani badala ya kinywani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…