Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Nchi inautajiri mkuu..fedha za kuhonga Maaskofu na Mashehe zinatoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inautajiri mkuu..fedha za kuhonga Maaskofu na Mashehe zinatoka wapi?
Imagine mtu anakufa kisa hizi ng'ombe zinazojiita wananchi wa Tanzania 🙌Naungana na wewe mkuu.
Kwanza huyo maza sijui tu hali yake ipoje, kama yule aliyejiita jiwe( mwamba) sahivi ni udongo sababu ya watz.
Wakuu,
Kumbe ukiachana na mshahara Rais wa JMT anapewa Milioni 60 nyingine kila mwezi kutoka kwenye kitu kinachotambulika kama MFUKO WA RAIS?
Kwa mwaka hiyo ni Milioni 720.
Kwa hiyo kwa mwaka Rais ana Milioni 720 ambazo atachagua atafanyia nini?
Hii pesa yote inapita kwenye wizara gani? And why is this a thing?
==============================================
View attachment 3180555
View attachment 3180558
Nmezungumzia cheo cha urais na sio samia, sisi wabongo akilini kuna matope ndo mana kuna upuuzi mwingi unafanywa na serikali ila watu wapo kimya tuuHajalazimishwa kuongoza.
Akiona kazi inamuelemea anaweza kupisha wengine wakaendelea.
Urais ni choice. Hajalazimishwa
..Shangazi hapaswi kuridhika na majibu hayo.
..pesa anayohonga Mama Abduli ni nyingi kuliko 720 mil per year iliyoandikwa kwenye vitabu.
..kuna Askofu kahongwa 150 mil, kuna Shekhe kahongwa gari brand new, ongeza na fedha za kununua magoli, hiyo ni zaidi ya 720 mil.
..Shangazi arudi akaulize yanakotoka mapesa anayohonga Mama Abduli.
Povu ni kwamba Rais hakupaswa hata kuwa na mshahara, maana anahudumiwa kila kitu mpaka na familia yake.Mbona pesa ndogo sana hiyo.
Kwanza mshahara wake unatakiwa uwe si chini ya M 200 kwa mwezi.
kuongoza wapumbavu hawa sio kazi rahisi sana. Ina umiza kichwa.
Povu. Ruksa
Jiwe alikuwa anatembea na maburungutu ya pesa kwenye gari, kwa vyovyote vile zile pesa zilikuwa ni zaidi ya hizo Milioni 60
Uzuri wa CAG haruhusiwi kufika huko Ikulu kufanya mahesabu!
Povu ni kwamba Rais hakupaswa hata kuwa na mshahara, maana anahudumiwa kila kitu mpaka na familia yake.
Ndiyo maana hatukushangaa kusikia 'rais' wa mkoa mmoja huko kaskazini akisema hajawahi kupokea mshahara..!!!
Mtu 1 kwa watu zaidi ya milion60 Kuna tatizo gani mkuu.Povu ni kwamba Rais hakupaswa hata kuwa na mshahara, maana anahudumiwa kila kitu mpaka na familia yake.
Ndiyo maana hatukushangaa kusikia 'rais' wa mkoa mmoja huko kaskazini akisema hajawahi kupokea mshahara..!!
Ndo maana wanatuua ili kulinda maslahi ya kidhuluma kama hayaWakuu,
Kumbe ukiachana na mshahara Rais wa JMT anapewa Milioni 60 nyingine kila mwezi kutoka kwenye kitu kinachotambulika kama MFUKO WA RAIS?
Kwa mwaka hiyo ni Milioni 720.
Kwa hiyo kwa mwaka Rais ana Milioni 720 ambazo atachagua atafanyia nini?
Hii pesa yote inapita kwenye wizara gani? And why is this a thing?
==============================================
View attachment 3180555
View attachment 3180558
Nmezungumzia cheo cha urais na sio samia, sisi wabongo akilini kuna matope ndo mana kuna upuuzi mwingi unafanywa na serikali ila watu wapo kimya tuu
Rais pekee ambaye nilikuwa namuunga mkono n JPM tuu na sio hao wengine wote, hata angekubaka bado nngemuunga mkono.Praise team kama wewe ndo mnakwamisha taifa.
Wewe kila atakalofanya SSH utasifia tu
Kwahy hy pesa imeanzia kwa JPM?Jiwe naye alikuwa anajifanya hapendi ubadhirifu kumbe kila mwezi kuna kitita cha 60 Million kinatoka kinaingia kwake.
Naanza kuelewa kwanini alikuwa hapatani na Assad