Kumbe Rais anapewa Milioni 60 kila mwezi kufanyia chochote anachoona kinafaa? Utaratibu gani huu?

Nchi za kiafrica Marais hawana limit na matumizi ya IKULU zao, ni suala la kutamka tu anataka ngapi.

Kwa wenzetu US Trump ameomba alipwe dola 1 mshahara iki kukidhi takwa la kisheria.
 
TANZANIA 🇹🇿 NCHI YANGU NAKUPENDA MOYONI NA HADHARANI
 
Shangazi,tuondolee Saa100 huku bara!
Kama ni mzuri na anafaa mchukueni TU,Wacha Tanganyika tukubali kupata hiyo hasara ya kumkosa.
 
Wivu, uswahili na chuki vinakutesa,
Basi kuwa na ww Rais
 
Hel nsogo snaa hiyo. Hakika wana iundermine nafasi ya urais. Mi kwa siku naingiza milin 10. Kwa mfanyabishara yeyote ataconclude kuwa kumbe urais ninumaskini
 
Mbona anagawa hela nyingi kila siku,hizo nyingine zinatoka wapi? Nafikiri anajiamulia tu atakavyo.
 
Mbona pesa ndogo sana hiyo.

Kwanza mshahara wake unatakiwa uwe si chini ya M 200 kwa mwezi.

kuongoza wapumbavu hawa sio kazi rahisi sana. Ina umiza kichwa.

Povu. Ruksa
M200 kwa sababu zipi? Rais anaghalamikiwa kila kitu maisha yake yote ,halipi kodi so m200 ya nini?

Kwa kawaida m5 zinatosha sana
 
sasa tatizo liko wapi huyo ni Rais unaona kunashida gani? yaani roho mbaya kama hizi ndiyo hazitakiwi tz
 
Ndogo sana, hiyo ni bonus za wakurugenzi kwenye mashirika ya UMMA
 
sasa lissu huyuhuyu aliyeita fungu la kumi la ruvemarila rushwa, tumchague kwa kazi ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…