NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Britanicca kajizolea umaarufu kwa nape,Sasa anawafungasha tu,atakulisheni Sana matango poribritanicca njoo uone huku wanaikosoa kazi yako kwamba sio kweli hajalishwa Sumu kaenda kuangalia gemu ya Yanga na Kaizer inachezwa KESHO
britanicca inamaana huku tumeingia Chaka? Nimesikia ulisema karogwa sasa imekuaje wanasema yupo likizo au ndio likizo likizo anajiuguza urogozo?Britanicca kajizolea umaarufu kwa nape,Sasa anawafungasha tu,atakulisheni Sana matango pori
Mmmh
Hata hivyo, nimegundua kuwa Jina Makonda ni kubwa sana hapa nchini
Embu chukulia ingelitokea pengine kwa mkuu wa mkoa mwingine huko,
Mitandao ingeakaa kuandika kuulizia tatifa zake zaidi wa wiki kweli??
Makonda! Unasiku nyingi sana duniani, wanaokutakia mabaya, mkono wa Mungu wako utashughurika nao
Kwani likizo yake ilipaswa kuwa lini?Hayupo likizo, tusifanyane wajinga.
SEMENI Ukweli ijulikane, Likizo ipi hiyo ya ghafla kama tumbo la kuhara.
Hukusikia Rais yuko likizo kizimkazi?Sijui ni kwanini Jamii inashindana na mitandao ya kijamii.
Sijawahi kusikia likizo ya wakuu wa mikoa ama wilaya. Labda ipo lakini sijawahi kusikia.
Acheni mambo yenu semeni ukweli alafu hio michezo ya kurogana na kuwekeana sumu sio kabisaKwani likizo yake ilipaswa kuwa lini?
Mitume wote waliuawa, tena na watu wenye dhambi, tena waliuawa kwa mateso makali. Petro kwa kutundikwa msalabani, kichwa chini miguu juu. Bartlumay, kwa kuchunwa ngozi yake yote. Paulo na wengine wote, waliuawa, isipokuwa Yohana. Tena hawa walikuwa, mitume, watakatifu wa Mungu.Mtu ashikwe kichwa na kadinali pengo, afu atikiswe na sumu nefaa
HakikaMakonda hata atafune , ameze na kunywa sumu hawezi kufa. Ana upako mkubwa sana.
Acheni uzuzu Wafuasi wa Kibwetele nyinyi yaan Wewe na Akili zako za kufoji ni Mwakitalemwa kabisa Wewe Fala mwandamiziMakonda hata atafune , ameze na kunywa sumu hawezi kufa. Ana upako mkubwa sana.