Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
nadhani atakuwa amejitathmini namna anavyochukiwa na watanzania. ajirekebishe basi. hadi machawa wake walikuwa kimya.Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817