Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mitume wote waliuawa, tena na watu wenye dhambi, tena waliuawa kwa mateso makali. Petro kwa kutundikwa msalabani, kichwa chini miguu juu. Bartlumay, kwa kuchunwa ngozi yake yote. Paulo na wengine wote, waliuawa, isipokuwa Yohana. Tena hawa walikuwa, mitume, watakatifu wa Mungu.
Aiseeeee
 
Mmezoa likizo mnaenda vijijini kwenu, wenzenu likizo wanaenda kwa Capetown Sasa kariri Kila anaekwenda SOUTH anakwenda kwa ajili ya matibabu.
 
Britanicca kajizolea umaarufu kwa nape,Sasa anawafungasha tu,atakulisheni Sana matango pori
Hajawahi niangusha britanicca ,hakuanza Jana Wala Leo.
Screenshot_20240713-175817~2.png
 
Mmmh

Hata hivyo, nimegundua kuwa Jina Makonda ni kubwa sana hapa nchini

Embu chukulia ingelitokea pengine kwa mkuu wa mkoa mwingine huko,

Mitandao ingeakaa kuandika kuulizia tatifa zake zaidi wa wiki kweli??

Makonda! Unasiku nyingi sana duniani, wanaokutakia mabaya, mkono wa Mungu wako utashughurika nao
Pia james delicious ni jina kubwa kuliko padre yeyote ,usihusishe umaarufu na wema
 
Back
Top Bottom