makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kwani kwa mwendazake, kaTELEPHONE destiny si alisema jamaa yupo ngangari anachapa kazi, kumbe anapambania roho yake hospital huko...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeeeMitume wote waliuawa, tena na watu wenye dhambi, tena waliuawa kwa mateso makali. Petro kwa kutundikwa msalabani, kichwa chini miguu juu. Bartlumay, kwa kuchunwa ngozi yake yote. Paulo na wengine wote, waliuawa, isipokuwa Yohana. Tena hawa walikuwa, mitume, watakatifu wa Mungu.
Wewe umeniambia au hukumbuki jinsi ulivyoAliekuambia kawekewa sumu ni nani?
Umeyakanya Mavi uliyokunya mwenyewe endelea kujipakaza soon utaanza kufukuzwa na mainziHivi we mkundu unajionaga nani haswa kutukana watu ovyo tena bila sababu za msingi..
Au sio?Mmezoa likizo mnaenda vijijini kwenu, wenzenu likizo wanaenda kwa Capetown Sasa kariri Kila anaekwenda SOUTH anakwenda kwa ajili ya matibabu.
Hajawahi niangusha britanicca ,hakuanza Jana Wala Leo.Britanicca kajizolea umaarufu kwa nape,Sasa anawafungasha tu,atakulisheni Sana matango pori
Wewe sogeza tu hicho kibungo chako nikipige Vidole nakuona tu jinsi unavyojipendekeza una hamu ya kuchezea mandoleMsenge wewe, nakuona sana humu unatukana watu hovyo unajiona wewe ndio wewe ..acha ukuma dogo.
yule si walisema ni matatizo ya betri sasa huyu naye ana betri?
Unaendaje likizo ukiwa kazini miezi mitatu tu?Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Pia james delicious ni jina kubwa kuliko padre yeyote ,usihusishe umaarufu na wemaMmmh
Hata hivyo, nimegundua kuwa Jina Makonda ni kubwa sana hapa nchini
Embu chukulia ingelitokea pengine kwa mkuu wa mkoa mwingine huko,
Mitandao ingeakaa kuandika kuulizia tatifa zake zaidi wa wiki kweli??
Makonda! Unasiku nyingi sana duniani, wanaokutakia mabaya, mkono wa Mungu wako utashughurika nao
Huyu katibu tawala bora angekaa kimya tu, hapa ndio amethibitisha kuna shida.Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Sio swala la waziriNasubiri kauli ya Majaliwa,ndo Chanzo Cha uhakika
Subiria tuone huyu Jamaa hajawahi kuchana Mkeka wangu km tunabet vile britanicca nipo hapa nasubiri maelezo kutoka kwakoHajawahi niangusha britanicca ,hakuanza Jana Wala Leo.View attachment 3053863
Mlipohoji ndio wakajitokezaLikizo siku hizi hazina taarifa rasmi?
Kama ilikuwa likizo mbona wametumia siku 3 kukaa kimya .?