Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo Dubai anakula bata.Hayupo likizo, tusifanyane wajinga.
SEMENI Ukweli ijulikane, Likizo ipi hiyo ya ghafla kama tumbo la kuhara.
ThibitishaYupo Dubai anakula bata.
Mtafute kwenye account yake kule xThibitisha
Likizo ndani ya ICU? Hata matibabu yana likizo yakeNingeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Thibitisha weka linkMtafute kwenye account yake kule x
Mkuu umetoa jibu lisilo na mashiko hasa katika nafasi yako ya uharakati wako wa chadema.Alisubiri muwe wengi ili awajibu kwa pamoja
Yep! Kwani mtu akiwa likizo hawezi kuugua? au likizo huwa inazuia magonjwa kwa wakubwa.Kwani kwa magufuli
walisemaje?
"Yuko fiti anapiga kazi " haya kiko wapi?
Hata hili la makonda bora wangekaa kimya
Una maana Mwamakula ana ubaguzi kwenye maombi yake? Ina maana Mathayo 5:44 haimo kwenye Biblia ya kanisa lake? Acha kumdharirisha askofu Mwamakula.Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Kama Familia ya akina Ben Saa8?!wanaokutakia mabaya, mkono wa Mungu wako utashughurika nao
Hata magufuli alikuwa akienda likizo chato.Hukusikia Rais yuko likizo kizimkazi?
Watanzania wangapi wanaomchukia ?! Kama wewe unamchukia ni wewe kwa sababu unazozijua ila usidanganye kwamba kila unayemchukia watu wengine pia wanaomchukia!nadhani atakuwa amejitathmini namna anavyochukiwa na watanzania. ajirekebishe basi. hadi machawa wake walikuwa kimya.
Mpuuzi huyo achana nae! Yeye anaamini kila anachokiwaza kila mtu anawaza hicho hicho!Watanzania wangapi wanaomchukia ?! Kama wewe unamchukia ni wewe kwa sababu unazozijua ila usidanganye kwamba kila unayemchukia watu wengine pia wanaomchukia!
Halafu likizo yake Dogo na family wapo UAE. Wanaponda maisha.Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Mbona watu hawaulizi tundu lisu yuko wapiiNingeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Sio nape tu mpaka jina la atakaeteuliwa kuwa director wa intelligenceBritanicca kajizolea umaarufu kwa nape,Sasa anawafungasha tu,atakulisheni Sana matango pori
Nje ya madaMbona watu hawaulizi tundu lisu yuko wapii
Au ngoja niulize hivi tundu antipas lisu yuko wapii?? Tumemumis kwenye maandamano ya kila mkoa na majijiNje ya mada