Welcome back SirLikizo zipo nyingi mojawapo ni sick leave
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Welcome back SirLikizo zipo nyingi mojawapo ni sick leave
Ukisia yuko !?!?!?!? ujue jipu huenda linakaribia ku pwaaa!Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.
"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."
Global TV
Haina shida. Hata Magufuli alikuwa anaringa hivyo hivyoAkiamua aliyemuumba ni sawa, ila siyo wewe mfu wa badaye
Hii ndio wanasema SATIRE?Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.
"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."
Global TV
AtajijuNingeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.
"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."
Global TV
'Breaking News' kweli ipo au haipo??Jamaa ni special case katika nchi hii aisee, akiwa kituo chake cha kazi wanasema anakaa hotel tena zaidi ya 3star na likizo yake ni nje ya nchi... Dah jamaa anaonekana ni expat.
Mkuu acha unafiki- CHADEMA na wewe si mlitwambia kapewa sumu amelazwa Afrika Kusini.Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.
"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."
Global TV
ccm hawaachiani maji ya kunywa mezani,bashite kakosea fomula niniMtu ashikwe kichwa na kadinali pengo, afu atikiswe na sumu nefaa
Weka ushahidiMkuu acha unafiki- CHADEMA na wewe si mlitwambia kapewa sumu amelazwa Afrika Kusini.
Kwani kwa magufuli
walisemaje?
"Yuko fiti anapiga kazi " haya kiko wapi?
Hata hili la makonda bora wangekaa kimya
Yaani Mwenge upite mkoani kwake asiwepo kisa likizo , atakua ananipenda kweli?Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.
"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."
Global TV
Britannica hahamtaja makonda kwenye Uzi waake karidie Tena kusomabritanicca njoo uone huku wanaikosoa kazi yako kwamba sio kweli hajalishwa Sumu kaenda kuangalia gemu ya Yanga na Kaizer inachezwa KESHO
Great to see u back.Likizo zipo nyingi mojawapo ni sick leave
😆😆😆😆Miaka 2 ama 3 alikuwa bechi, karudi hana hata miezi 3 eti likizo - kwa kazi gani aliyoifanya.
Wazee wa "D" mbili hatujawahi kukwama.
Yupo likizo maana yale yalotokea hivi karibuni yahitaji mtu kupumzika mahala kupisha upepo mkali.Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.
"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."
Global TV