DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Sorry mkuu sikujua kama hauko aware na siasa za huyu mtu, in short Hilo jambo alilofanyiwa ni mambo anayowafanyia wenzake kwa muda mrefu... Sasa yeye yampate hayo kwa Nini tumuonee huruma.Ndo tatizo lenu Jf mna makasiriko sana!
Mtu anauliza kutaka kujua unamjibu kama unamchamba!
Aisee watu wengi mnahitaji kujisafisha mioyo/miili yenu mna Dark energy kubwa sana!
Unadhani kila mtu anafatiliaga siasa? Mimi nimetaka kujua unatakiwa ujibu fact 》》》