Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndo tatizo lenu Jf mna makasiriko sana!
Mtu anauliza kutaka kujua unamjibu kama unamchamba!

Aisee watu wengi mnahitaji kujisafisha mioyo/miili yenu mna Dark energy kubwa sana!
Unadhani kila mtu anafatiliaga siasa? Mimi nimetaka kujua unatakiwa ujibu fact 》》》
Sorry mkuu sikujua kama hauko aware na siasa za huyu mtu, in short Hilo jambo alilofanyiwa ni mambo anayowafanyia wenzake kwa muda mrefu... Sasa yeye yampate hayo kwa Nini tumuonee huruma.
 
Hiyo ni kauli ya Katibu tawala wa mkoa wa Arusha alipoulizwa kuhusu Aliko Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda.

Anachokisema kina ukweli au naye ni miongoni mwa wale viongozi waongo?

 
Hiyo ni kauli ya Katibu tawala wa mkoa wa Arusha alipoulizwa kuhusu Aliko Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda.

Anachokisema kina ukweli au naye ni miongoni mwa wale viongozi waongo?
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
 
Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!

Pia soma: Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?

Taarifa kamili hii hapa

"Kufuatia uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mahali alipo Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, Katibu Tawala wa mkoa huo, Missaile Mussa amesema kuwa kiongozi huyo kwa sasa yuko likizo.

"Akihojiwa kwa njia ya simu na mwandishi wa Global TV, Julai 26, 2024 Missaile amesema hana taarifa za ziada tofauti na hizo kwamba Makonda yupo likizo."

Global TV
Atoke hadharani aseme Yuko wapi?
 
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Bora hata wangempa likizo imamu hussein kuliko kumfanyia ukatili ule😭
 
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Sijaelewa hata kidogo
 
Hili nijambo muhimu na linalo leta hisia Kali kwenye mioyo ya watu. Jambo ni moja tu makonda yuko wapi?
Wako wanao tamani apotee kabisa. Wako wanaoomba hata kusikia tu makonda yuko wapi
Tu naomba familia ya makonda watokee watutulize mioyo yetu. Au viongozi waselikari watokee waseme makonda yuko wapi. Au makonda mwenyewe ajitokeze aseme makonda yuko wapi. Makonda tuondolee hofu
 
Back
Top Bottom