Cardiac arrest ni matokeo ya mwisho, nyuma yake huwa kuna mambo mengi including infection e.g Malaria, yaweza kuwa high blood pressure, Diabetes, etc. There is no need to continue debating on the cause of death. Mtu akipata Severe malaria anaweza kupoteza maisha within.short time.Still connecting the relation of Malaria with Cardiac arrest sipati jibu? but kuna uhusiano mkubwa kati ya upumuaji na shambulio la moyo.
Jiongezeni wakubwa, Israel mtoa bado anawinda roho za watu wenye shingo ngumu.
Coronavirus ipo. Kasome side effects za Corona.Jana ulituthibitishia wana jf kuwa Corona ndio imemuua!
Mkuu ni ERIO...watu wa kusini...si URIO...wachagaToka lini Urio atoke masasi.. labda dada ake aliolewa na mchaga
Mkuu, mimi nina uelewa kiasi kidogo wa haya mambo. Ukiangalia vyeti vyote vya kifo, kuna kitu kinaitwa "immediate cause of death". Immediate cause ya vifo vyote duniani ni cardio-pulmonary arrest. Ufe kwa cancer, COVID-19, HIV/AIDS, kuishiwa damu wakati wa kujifungua nk, ili ufe ni lazima hivi visababishi visabibishe "cardio-pulmonary arrest" (moyo na mapafu kutokufanya kazi ama moyo kufa). Alichotakiwa kusema Erio ni nini kimesababisha cardiac arrest kwa mzee wetu. Hicho pengine hatokisema.
Nikupe mfano. Ni kama mtu kasema nyumba imebomoka bila kutoa chanzo chake. Inaweza kubomoka kwa maporomoko, kubomolewa na grader kwa vile umejenga barabarani nk. Nadhani umeelewa.
Update: Kwa mujibu wa wachangiaji wengi humu wanasema ni malaria. Kwa hiyo malaria ndio pengine imesababisha "cardic arrest" kwa mzee. Lakini kusema tu "cardia arrest" ni sawa na kusema kifo chake kimesababishwa na kifo.
Hauna ndugu zako wenye magonjwa waliokufa kwa corona? Punguza ujingaHata corona huwauwa zaidi wenye magonjwa mengine kuliko yule asiye na magonjwa mengine
Mi sijui maana kila binadamu ana uumwaji wake wengine kama ni malaria macho haoni.Kwani hauwezi ukaumwa tumbo, malaria na moyo kwa pamoja? Punguza ujinga jombaa
Ni Erio,siyo Urio.Toka lini Urio atoke masasi.. labda dada ake aliolewa na mchaga
Sizungumzi uwepo wa cardiac unit ilikuwepo kabla ya JKCI na ipo ,nachosema kwa sasa JKCI wana huduma za Cardic bora zaidi. Nadhani hukunielewa vizuri. JKCI ni taasisi inayojitegejemea haiko chini ya Muhimbili. Kuna tofauti ya kuwa na Cardiac Unit na Cardiac Institute. Anyway kama unasema hapo wana utaalamu na huduma bora kuhusu Cardiac issues kuliko JKCI sawa. Shukran MkuuUsiwe mgumu kuelewa. Sasa kama pale palianza kuwa na hiyo idara unadhani imevunjwa baada ya JKCI kuanzishwa?
Au ndo wanachukulia utaalamu pale/ kushea wataalam
Maana yangu ilikua kwamba pale wana uwezo mkubwa kuliko hata kule Muhimbili
Alikua anafuatilia matokeo ya uchaguzi, nadhani kunamatokeo yalimpa mshtuko.
Msemaji anasema Rais Mkapa kafia kwenye Kiti ghafla. JK anasema aliugua na alipata lisaa lizima kuongea nae kabla ya umauti. UTATA!
Muwe mnaelewa kwanza kabla ya kubisha. Maelezo ni kuwa aliugua malaria kwanza ndiyo akalazwa. Sasa hiyo cardial arrest ilimpata ghafla wakati amelazwa. Pengine ungehoji labda dawa au matibabu aliyopata ndiyo yalileta hiyo hali? Au ilikuwa ni coincidence tu?
ππππ Haya mm pimbi looohEmb kadanganye pimbi wenzako huko wasiojielewa! Unaijua malaria mpaka stage ya kuua ilivyokuwa wewe? Unatoka kuangalia maccm kwenye tv kisha unasema ulikuwa na malaria iliyosababisha kifo?
Pili unajua shambulio la moyo linamkuta mtu akiwa stage ipi?
Tatu nikufahamishe kuwa upo uhusiano mkubwa sana wa ukosefu wa oxygen ya kutosha mwilini na shambulio la moyo! Jiongeze pimbi wewe!
Wewe P Ulisikiaje minongono hii,au na wewe ni wale jamaa wa systerm wa kuweka mambo sawa?
Well done, Hoja yako jana ilikuwa ya msingi sana
Kweli Ikulu walikurupuka kutowa taarifa pumgufu.
Huku mtaani kwangu Tayari speculation zilikuwepo ya kuwa eti 'Magu hakuufurahia ushauri wa Mkapa wa Tume huru''
Na kwa hiyo Mkapa alimnunia Magu,
Na kwa hiyo Magu kamtumia wale jamaa wasiojulikana
Na kwa hiyo wamemkolimba.
Haya ndio maneno yaliyokuwa yanaanza kusambaa mtaani,
Kisa nini Taarifa ya msiba kutolewa pungufu.
Naona sasa mambo yako sawa.
Thank You P.
Viongozi wtu wajifunze kuwa wakweli na wawazi. Anapofariki kiongozi wa kitaifa hivi, inabidi taifa liambiwe ukweli. Mpaka siyo wa Mama Anna na watoto wake. He was a public figure. Ni wa Watanzania wote. Wasipokuwa wawazi, uongo unachukuwa nafasi yake na kuwa ukweli. Zingekuwa ni nchi zisizokuwa na usiri usiri, Rais was sasa angetangaza kifo na sababu ya kifo hapohapo. Then kusingekuwa na nafasi ya rumours.
Paskal huo hauwezi kuwa ukweli kwa wote kila mmoja amebakia na kile anachokiwaza, binafsi najua mzee kafariki kwa covid 19 lakini wana familia kwa kuogopa kutengwa na jamii kwa siku 14 , ukweli kila mmoja anao wa kwake acha familia waseme yao lakini wengine watabaki na yaoWanabodi,
Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!.
Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF.
Kama Tangazo la kifo lingezingatia sheria tangu pale mwanzo, wala kusingetokea sintofahamu yoyote!.
Hivyo japo haijasemwa ni JF, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya
Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari
Japo yanalaumiwa kwa kuonekana watu wana mind vitu vidogo vidogo ambayo sio vya msingi, lakini yanasaidia.
Chanzo cha kifo cha ghafla cha any state leader ambaye hajawahi kutamkwa kusumbuliwa na maradhi yoyote, automatically kita send a shock wave kwenda viral.
Baada ya kauli hii, sasa minongo yote kuhusu chanzo cha kifo imemalizwa rasmi.
Naombeni sana, wanabodi, tuwe na heshima kwa viongozi wetu na tuwe na heshima kwa marehemu, mkiisha ambiwa ukweli wa familia, then tuupokee ukweli huu, tuuamini, na kumheshimu Marehemu kwa kuto toa comments zozote negative based on hisia!.
RIP, Mhe. Rais Mstaafu, Benjamin William Mkapa.
Paskali
Unazusha.. msemaji anasema alikua hospitali na kilicho mpeleka ni malaria.
Akiwa hapo hospitali hiyo jioni alikua anafuatilia uchaguzi kwenye TV.. mara ghafla heart attack