Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu
Wabongo gani walioshindwa? Wapo watanzania wana uwezo mkubwa na uzalendo. Ila wanapigwa vita. Sehemu kama hizo wanapelekwa wanaojuana, hata kama hawawezi
 
Hao watu na mkataba wao wa kimangungo tuendele kuwapinga yaani tusipoe.

Walete drama za Kila aina kuzima huu moto. Tusipoe hadi waele kuwa wenye nchi ni wananchi

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Wanapewa ku simamia " management" au kuwekeza na kusimamia ?

Na mikataba yao ni kama huu wa kwetu?
 
Zinauzwa serikali aitaki kununua kwa sababu ni hela nyingi serikali inaona kama kuna mtu yupo tayari kununua na kurudisha hela yake wampe muda; basi iwe ivyo (sasa usije kusema muda wa milele) maana hilo halipo.
Ok, tuambie wewe, ROI yao ni muda gani? Mkataba wao utakuwa hai hadi lini? Hilo ndilo swali kuntu linaloumiza watu vichwa,ukiweza kulijibu kwa ufasaha utakuwa umetusaidia sana.
 
jiwe kabla hajaitwa mwishoni huku aliweka 1.4 Tr uendelzaji Bandari,itโ€™s true nakumbuka na iliongezwa kina na baadhi ya mitambo ilishaanza kuwasili...pamoja na kuongeza kina ilikua tayari..
 
Je kijiografia Dar Port ni Potential Mshindani wa Dubai Port?

Kumpa DP bandari yetu ni kuua ushindani dhidi ya Dubai Port..

Kwa nini bandari za Kenya, Eritrea, Djibouti na Somaliland walikataa uwekezaji wa DP World, wao hawana akili kuzidi sie?

hapa sijagusia vipengele vya mkataba ulosainiwa .


Pamoja na hayo hapo juu.
Ufanisi wa DP World hauna mashaka, suala ni DHAMIRA YAO NA AINA YA MKaTABA ULOELEMEA pande mmoja
 
Nonsense. Hata huelewi kilichoandikwa unaumia roho tu kwa hisia za wakwetu.
Congo hapo Dp world kawekeza Trilioni 3, halafu tunadanganyana humu Eti anakuja kutumia Mkopo wetu bank ya Dunia. Unafikiri kutransform bandari ni kazi ya vimilioni kadhaa


Kama Mkopo wenyewe ndo huo hata mishahara tu ya Bandari haulipi. Tusitaniane hapa.
 
Jibuni hoja, raia uwekezaji wanautaka ila vipengere vinavyoonekana vibovu virekebishwe. Siyo kusema tu ooh haya nimakubaliano ya awali., ujinga tu.
 
Inawezekana mifano ya antwerp na rotterdam si sawa na hapa kwetu. Huko kwa wenzetu umetaja tu operational contract je wana framework contract au la

Na hizo framewor contract kama zipo ni sawa na ya kwetu.

Bila shaka hizo framework contract zinapitishwa na mabunge ya nchi husika kama huu ulio pita hapa kwetu. Hivo ni nyaraka ya umma

Mfano wa framework tulosikia , bila kuuona ni huko Marekani walikokataa uwekezaji huu wa DP.

Kama ulivyosema, utafiti unahitajika kwenye suala hili kujua wenzetu wamefanyaje ili kupata kitu kizuri cha manufaa.

Na si kuingia jambo kibubusa kwa ka kitandugaho
 
Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu
Wewe Ni punguani kaa kimya. Empty set.
 
Unajua kilichopitishwa bungeni?

Unajua kinachopigiwa kelele?

Mbona hili taifa Lina wapumbavu , na watu wa hovyo kiasi hiki?
 
Upo sawa mkuu. Baada ya kuzingatia sheria za nchi, cha msingi ni ufanisi na maximum profit.
Haahaaaaaa.... Wee jamaa una uvumilivu Sana asee. Yaani umemjibu kwa upole Sana.

Yaani hii nchi Ina watu wa hovyo Sana. Watu wa bora liende.

Yaani mm nimemjibu hovyo Sana!
 
Wanapewa ku simamia " management" au kuwekeza na kusimamia ?

Na mikataba yao ni kama huu wa kwetu?
Vyote kuwekeza na kusimamia, Dp world katransform Bandari Karibia zote Ulaya kwenda Digital, na sasa hivi hata Crane zao ni remote tu. So ili waweze kufanya hivi inabidi kwanza wawekeze halafu ndio logistics zifuatie hivi vitu vinaenda sambamba.

Mkataba wa Dp world na Tpa kwa uelewa wangu bado hatuujui.
 
Hatari sana
 
we
we kumbe huna akili kiasi hicho? Bure kabisa. Kwanza taarifa zako ni za uwongo, pili serikali imejenga miundo mbinu DP World anakuja kuendesha bandari. Huoni tofauti hapo? Aliyejenga barabara za mradi wa DART ni serikali lakinin anayeendesha mradi wa mabasi ni mwingine, hapo huelewi au una matatizo gani
 
Sasa ulitaka bandari ikae isitumike?

Hilo deni utalilipa na nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ