Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Anajiropokea tu, bandari ilishatoa maelezo nini kimefanyika tayari kwenye uwekezaji.
 

Huyo hapo Mrisho Mrisho akielezea kilichofanyika tayari bandarini mwezi Juni tu.

Sasa huyo Maria asijifanye anatoa siri kwa kitu kilichowazi na kimeelezewa na bandari yenyewe.
Hujaelewa, why? Yeye concern yake ni kuwa DP World anakuja kuwekeza nini? anatumia pesa yoyote kuwekeza? Nenda tweer kamsome vizuri.......
 
Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu
Huo ndo ukweli na tatizo ni lipi waseme bayana siyo kuwa too general na kupotosha umma. Kama mtu hana capacity ya kuchambua hili bora kukaa kimya.

Tulishashindwa miaka kibao mpaka KAGAME alitucheka tukamjibu kwa kuwatimua Raia wa nchi yake.
 
Sijui kwa nini watu hawaoni umhimu na ufanis wa DPW na hawasemi tatizo ni nini wako too general.

Yani kuna mtu huku kitaa nilimuuliza tupe faida na hasara ya DP world kuwekeza bandarini hakunijibu
 
Let us agree to disagree, usinilazimishe niamini unacho amini, hoja yangu ni kwa DP world itaongeza ufanisi na mapato serikalini yataongezeka.......sisi wabongo tumeshindwa kuendesha bandari kwa mda mrefu
Nimekwambia uelewa wako umekomea hapo... sasa DP world anakuja kuwekeza nini? Unajua maana ya kuwekeza?
 

..Dp hatengenezi au haundi hizo Cranes.

..kuna mahali Dp ananunua Cranes, na sisi tunaweza kwenda huko kununua.

..kilichotokea ni UJINGA wa serikali ya Ccm kutokuipa bandari ya Dsm Cranes za kutosha.

..DP wanaweza kuwa MANAGEMENT COMPANY ambapo serikali itakuwa inawalipa fee.

..Mkataba unaowafanya Dp wamiliki, na Watanzania watazamaji, haufai.
 
Wazanzibari wanataka kutupiga kitu kizito
 
Yani kuna mtu huku kitaa nilimuuliza tupe faida na hasara ya DP world kuwekeza bandarini hakunijibu
Inategemea ni mtu gani umemuuliza...... Wewe huoni tatizo kenye construction ya mkataba?
 
Hujaelewa argument ya Maria. soma between lines
 
Hujaelewa, why? Yeye concern yake ni kuwa DP World anakuja kuwekeza nini? anatumia pesa yoyote kuwekeza? Nenda tweer kamsome vizuri.......


Kwa kuanzia tu bandarini kuna multi storage car park?

Kingine wanampago wa kuamisha Ro-Ro kutoka hapo ilipo.

Wana mpango wa kuboresha terminal ya abiria na majahazi.

Wana mpango wa kuongeza uwekezaji kurasini kuweka kupokea mizigo mingi inayokwenda nje ya nchi.

Wana mpango wa kuweka ICT system inayoweza track mzigo unapoingia melini kokote duniani mpaka unatoka ata wewe mteja unaweza jua mzigo wako ulipo.

Mambo yote yameelezwa hapo phase 1 wao watafanya nini.
 
Hayo mapato serikali wanaongeza kwa njia gani?
 
Yani kuna mtu huku kitaa nilimuuliza tupe faida na hasara ya DP world kuwekeza bandarini hakunijibu
Lakini utakuta ndo anasikilizwa na kuaminiwa, dah bado tuko nyuma sana kitaaluma.
 
Jamanieee, hapa cha msingi kila mtu atafute kamba ndefu ili ale vizuri, tulishaambiwa tukapuuza, tuongezeni urefu wa kambaaaaaa, wenzetu kamba zao ndefu wanakula mpaka nyasi za upande wetu.
 
Nimekwambia uelewa wako umekomea hapo... sasa DP world anakuja kuwekeza nini? Unajua maana ya kuwekeza?
Sawa hiyo mitambo itakao letwa na technology itakua ya kwako? Kwa akili zako mkuu unaona hapo bandari imekamilika kiuwekezaji au you are just a novice man.......katika mkataba wao kuna oparationa investment and mantainance wewe kwa akili zako huoni kama kuna direct investment usiwe radical kwa kila jambo, ni level pia ya ujinga hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…