Kumbe Tanzania ilikopa fedha World Bank kuendeleza bandari, DP World anakuja kutumia fedha hizo kufanya kazi ambayo Tanzania imeikopea fedha WB-SOMA

Yaani aache kuwasikiliza wenye akili, akawasikilize wala rushwa za DP?
 
Hivi hao wanaoendesha bandari wanapatikana kwa utaratibu gani?!

Sikubaliani na wewe kuwa Watanzania tumeshindwa kuendesha bandari. Labda ujisemee wewe mwenyewe lakini si ku- generalize.
Kuna kamati za bunge ndo zina utafiti neenda ukasome hasadi uone how bandari ya Dar inavo kua under utilised na mapato serikalini ni kidogo sana wizi ufisadi ndo umejikita sana pale......manaake tumeshindwa kuendesha hiyo bandari, kwanza niambie tulishawahi kufanikisha kuendesha nini?
 
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Cranes wanazo DP World Pekee au wenyewe ndio watengenezaji ?
 
Basi tuwape bandari ya Bagamoyo. Wajenge, waweke hivyo vifaa vya kisasa, kama tulichokiwekeza sisi hakina msaada katika uendeshaji wao.

Lakini nina uhakila watakachowekeza wao hapo bandari hakitafikia hata 40% ya uwekezaji wetu.
 
Mkuu wewe unaona tuna independence au flag independence kukopa ndo tunacho jua, 47% ya bajeti ni misaada, mpaka tutakapo kubali watu wenye mitaji waje wawekeze mega project kama bandari ili tuweze kua economic indipendence, uzalendo wakumiliki mali na hatuwezi kuzitumia kubadili maisha ya wananchi ni ujinga na umesha pita na wakati.
 
Yaani pesa zote zimewekezwa za walipa kodi kupitia mradi wa sasa wa WB alafu wao wanakuja kuendesha na kusimamia? Wanawekeza nini??[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona Mshana... Alina Mbarawa wanasema anakuja kuwekeza fedha......... wakati WB imeshalipia kazi zote na kukamilika
 
Argument ya maria siyo hiyo...soma tena and internalise it
 
Ingekuwa ni Rahisi hivyo Dp wananunua tu Mahali crane kwanini Ujerumani, Uingereza, Canada, China hawawezi nunua ZAO? Kwanini wamempa Dp?

Hivi vitu ni complicated sana ila sisi tunajifanya tu wajuaji sana.

Kampuni Zote kubwa Duniani zinapo Outsource hivi vitu lazima ziwe na mikataba ya kupewa Exclusivity Atleast Kwa Muda fulani
 
Kila nchi ina taratibu zake na sababu zake za uwekezaji.

The common denominator ya uwekezaji ni concession agreement, unaweka hela yako unapewa muda wa kurudisha kama Build Operate Contract.

But then unaweza pewa port uendeshe ata bila ya kuwekeza for efficiency purposes ila utatakiwa kufanya modernisation.

Halafu kuna siasa hasa kwa nchi zilizoendelea ajira ya serikali ina kuja na rights nyingi za wafanyakazi ambazo ni kero kwa serikali. Ukiangalia asilimia kubwa ya migomo ya cost of living in the west ni public sector.

Kwa hivyo solution yao ni kutoa sehemu ambazo sio lazima serikali kuendesha na kuwapa private kukodisha with performance targets; hiyo inaongeza ufanisi na inawapunguzia serikali zao ku deal na watu ambao ingekuwa wanasimamia wenyewe kila siku wana demand mpya na migomo.

Kwa hivyo siasa na aina ya democracy ya nchi pia zina mchango mkubwa kwenye maamuzi.
 
tumeshasema tunapinga mkataba sio uwekezaji
exactly! tunapinga contract construction na siyo uwekezaji. Funny enough hawa hawaji kuwekeza pesa zao, kazi zote zilishafanywa na WB funding..... lkn tunaambiwa watawekeza trillions
 
Basi tuwape bandari ya Bagamoyo. Wajenge, waweke hivyo vifaa vya kisasa, kama tulichokiwekeza sisi hakina msaada katika uendeshaji wao.

Lakini nina uhakila watakachowekeza wao hapo bandari hakitafikia hata 40% ya uwekezaji wetu.
Bandari ya Bagamoyo China na Oman walitaka kuwekeza miaka 30 tu then wanaondoka Tukakataa kwamba wataua Bandari ya Dar?

Hata Bandari ya Bagamoyo Dp world wanajenga, maana Bandari wanayojenga Congo (Uwekezaji wa Trilioni 3) ni kama wanaanza wao from Scratch.

Wawekezaji wote Wanataka Faida as long as Kuna faida chochote wanafanya.
 
Hizo Cranes wanazo DP World Pekee au wenyewe ndio watengenezaji ?
Zinauzwa serikali aitaki kununua kwa sababu ni hela nyingi serikali inaona kama kuna mtu yupo tayari kununua na kurudisha hela yake wampe muda; basi iwe ivyo (sasa usije kusema muda wa milele) maana hilo halipo.
 
Ukiwa mzee na mawazo haya hata mtaani kwako huna faida
 
Yaani aache kuwasikiliza wenye akili, akawasikilize wala rushwa za DP?
Sikiliza facts sio hearsay, bandari wameonyesha kilichofanyika na hizo hela tayari; huyo Maria anataka kuongelea mambo hayo hayo kama siri vile.
 
Umeona Mshana... Alina Mbarawa wanasema anakuja kuwekeza fedha......... wakati WB imeshalipia kazi zote na kukamilika
Nakushangaa kutojua kwamba WB inakupa mkopo baada ya kutimiza conditions zake ikiwemo ku akikisha una mwekezaji atakae weza kuendesha na kurudisha huo mkopo, baada ya wenyeji kushindwa usafiri kwamba wb ikui kinachoendelea wakati hiyo conditionality moja ya mkopo........jutahid kujua world economic financial policies za WB neenda akaone kwenye website yao hiyo aina ya mikopo imetolewa kwa nchi ngapi... na terms and condition ni zipi
 
Wewe ndo yule ambaye umegundua kuwa mwanao ni pung'a lakini hukereki bali ni kuishia kuwaambia majirani zako kuwa, hajalishi hilo ili mradi basha wake analeta fedha za matumizi nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…