Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kunywa chai kwanzaKesi ya msingi ni ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa chai kwanzaKesi ya msingi ni ipi?
Kunywa chai kwanza ndiyo kesi ya msingi. Nikikuita Mbwa Mpumbavu nitakuwa nimekosea?Kunywa chai kwanza
Tutembee kifua mbereTuko vizuri
Umbwa huzaa umbwaHuyu aliyeita wenzake mbwa na hao aliowaita mbwa huwa wanamuita mama.....imekaaje?
Huelewi kitu gani, kwanza aliyetajwa kufungua kesi hata yeye anashangaa kafungua lini, wewe huoni ajabu yeyote?Kwani kesi kisheria inatakiwa ihukumiwe baada ya muda gani?
Kwahiyo huna imani na mahakama?
Amka dogo, siku hizi hakuna wajinga wa hivyo tena. Hizo mahakama za kufanya kwa haraka hivyo hazipo. Hiyo ni calculated move.Kama unapinga umauzi wa mahakama nenda kakate rufaa. Acheni mahakama zifanye kazi zake kwa uhuru.
Imeenda hiyo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ile siyo hukumu ni zuio la muda
Nimeuliza tangu awali. Mahakama inatakiwa kushughulikia issue kwa muda gani?Amka dogo, siku hizi hakuna wajinga wa hivyo tena. Hizo mahakama za kufanya kwa haraka hivyo hazipo. Hiyo ni calculated move.
Upo na uhakika gani kuwa huyo aliyekuwa anaulizwa kwenye simu kuwa ni yeye? Kama umeshindwa kuamini hukumu ya mahakama tutakuamini vipi wewe mtu uliyepo mtaani na unarusha comments JF?Huelewi kitu gani, kwanza aliyetajwa kufungua kesi hata yeye anashangaa kafungua lini, wewe huoni ajabu yeyote?
Imekaa poa sana mkuu, kwa hiyo ni mbwa na wanawe siyo?Huyu aliyeita wenzake mbwa na hao aliowaita mbwa huwa wanamuita mama.....imekaaje?
Utendaji wa mahakama zetu uko wazi, ukiona zimeact kwa haraka kwenye shauri lolote, ujue kuna hila nyuma yake. Jipe muda utaelewa kwanini nimesema hivyo.Nimeuliza tangu awali. Mahakama inatakiwa kushughulikia issue kwa muda gani?
Halafu kuniita dogo ni upumbavu
ChaiKunywa chai kwanza
Mkuu afande Mafwele unamjua?🤣🤣🤣Imekaa poa sana mkuu, kwa hiyo ni mbwa na wanawe siyo?
Jibu swali nililokuuliza. Hapa tunaongea mambo ya kisheria usilete porojo za Maria Sarungi hapa.Utendaji wa mahakama zetu uko wazi, ukiona zimeact kwa haraka kwenye shauri lolote, ujue kuna hila nyuma yake. Jipe muda utaelewa kwanini nimesema hivyo.
Ni wale wale ambao walishahama kitambo wamerudi ili kuhama upya kuihadaa dunia,CCM wana hadaa za kijinga sanaHiyo hiyo jana jioni Wamaasai zaidi ya 300 waka jitokeza kwenda msomera na wapi sijui.
Hii nchi inayo ongozwa na Ccm ina vituko sana. Yaani ina ishi ki maigizo mnoo.
Wamesha tuona wote ni maboya
Linatakiwa kuchukua robo saa boss.Jibu swali nililokuuliza. Hapa tunaongea mambo ya kisheria usilete porojo za Maria Sarungi hapa.
Kisheria shauri linatakiwa kuchua muda gani kutolewa uamuzi?
Sheria ipi inasema hivyo? Au unajitekenya na kujichekesha mwenyewe?Linatakiwa kuchukua robo saa boss.