Imefunguliwa Jana
Ikapokelewa, ikalipiwa na kupewa namba Jana
Ikapangiwa Jaji Jana
Jaji akatoa summons Jana
Serikali wakaitwa Jana
Wakaja Jana hiyo hiyo
Ikasikilizwa Jana
Uamuzi ukatoka Jana
Mkurugenzi kaanza kutekeleza uamuzi Jana
Mteja anamkana Wakili