Kumbe Urusi ililenga silaha za NATO zilizohifadhiwa karibu na makazi ya watu? Nani alaumiwe hapa

Kumbe Urusi ililenga silaha za NATO zilizohifadhiwa karibu na makazi ya watu? Nani alaumiwe hapa

Hizo silaha mbona hazijaonekana kama wamelipua? Halafu kuna taarifa balozi wa urusi marekani alisema azov wamestage hilo shambulio ili kuwalaumu urusi.

Naona hapa ni sarakasi tu za urusi na silaha zake zinazo miss target kwani sio mara ya kwanza urusi kupiga makazi ya raia.
Nakama unadhani itaishia leo pole sana MKUU
Tutapiga unapofuka MOSHI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NATO baada kipigo kizito cha silaha zao imewauma wameanza kutoa milio ya aina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Russia anawatwanga na kuwatia hasara kisawasawa
Screenshot_20220629-202924.jpg
 
Hizo silaha mbona hazijaonekana kama wamelipua? Halafu kuna taarifa balozi wa urusi marekani alisema azov wamestage hilo shambulio ili kuwalaumu urusi.

Naona hapa ni sarakasi tu za urusi na silaha zake zinazo miss target kwani sio mara ya kwanza urusi kupiga makazi ya raia.
Hulikosa lishe ya brain development ukiwa mtoto thus why unataka uzione[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom