kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Hata SAMIA ni mshamba maana Joni aliambiwa ni mshamba kweli yaleyale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katavi , mpanda imekufanya Nini mkuuu mpaka uisakame 😔😔😔Naunga mkono hoja. Sioni sababu ya mwananchi wa Katavi kufunga mtaa kwa sherehe kisa eti kanunua bodaboda
Huu ushamba muasisi wake ni jiwe. Alaaniwe huko aliko.
MAJINGA MAJITU MAZIMA.Sabalkheri na msalkheri popote pale mlipo.
Imekuwa kitambo kidogo tokea tulonge.
Basi bana mi kwa ujinga wangu huu nikadhani kwamba ushamba ushamba uliondoka na Mwendazake!
Sasa Ngabu unazungumzia ushamba ushamba gani tena?
Ni ule ushamba ushamba wa kwenda kupokea ndege mpya.
Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba kama lile Lisukuma lililoendazake.
Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.
Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.
Ndo nini sasa wote hao kwenda kurundikana sehemu moja eti kupokea dege la mizigo.
Kwani hawajawahi kuyaona madege? Si wanayapanda na kuruka nayo kila kukicha wakiwa wanaipuyanga dunia 🤔.
Ama kweli mtu unaweza ukamtoa shambani lakini huwezi kuutoa ushamba uliopo ndani mwake.
Wachambuzi njaa. 🤣Wachambuzi akina Zitto wangesha tweet kuponda kununua hii ndege, ila wote wamepiga kimya [emoji1787]
Kwanza, sii kila anachofanya ni anapanga yeye, vitu vingine ni anapangiwa!.Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba .
Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.
Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.
Hawezi kukataa kama anaona hakina tija? Simaanishi ambayo ameishayafanya hayana tija.Kwanza, sii kila anachofanya ni anapanga yeye, vitu vingine ni anapangiwa!.
Tutumie kamusi za Cuba ama Venezuela kupata tafsiri ya maneno haya, Mkuu?? Ha hahahaha AA!Naunga mkono ushamba ule!.
Zile tukapigwa na Kenya? Au baadaTulishakuwa na shirika la ndege hapo zamani ambalo lilikuwa na ndege kadhaa.
Sasa nini jipya hapa?
Unachekesha kusherehekea msiba wa pensioner. Hivi kweli mtu umri wa Membe aliyekwisha staafu unaweza shangaa akifariki?Mi siishi Ulaya.
Na bado sijamaliza kusherehekea vifo.
Ni washamba mpaka nuktaSabalkheri na msalkheri popote pale mlipo.
Imekuwa kitambo kidogo tokea tulonge.
Basi bana mi kwa ujinga wangu huu nikadhani kwamba ushamba ushamba uliondoka na Mwendazake!
Sasa Ngabu unazungumzia ushamba ushamba gani tena?
Ni ule ushamba ushamba wa kwenda kupokea ndege mpya.
Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba kama lile Lisukuma lililoendazake.
Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.
Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.
Ndo nini sasa wote hao kwenda kurundikana sehemu moja eti kupokea dege la mizigo.
Kwani hawajawahi kuyaona madege? Si wanayapanda na kuruka nayo kila kukicha wakiwa wanaipuyanga dunia 🤔.
Ama kweli mtu unaweza ukamtoa shambani lakini huwezi kuutoa ushamba uliopo ndani mwake.
Na msaikheri maana yake Nini? Unadhan wote tuko kwenye same time zone?Kweli wewe ni mjinga kwa ujinga huu👇🏻
Subalkheir ni "Asubuhi njema" je hivi sasa ni asubuhi??
Kalale wewe, hizi mada ni za MAJINIAZI, na sio MABICHWA KOMWE kama wewe.[emoji134]
Membe kaendazake! Ni 1-1This is way too much.. Unaonesha namna gani Mwafrika habadiliki na kuwa na ajili hata akiishi Ulaya miaka mia moja! Hii inadhihirisha wazi kuwa arguments zako hutawaliwa na chuki na mahaba na wala sio facts.
Kwani kulikuwa na mechi inachezwa? Kifo sio adhabu ndio maana hata watoto wachanga wasio na hatia hufa.Membe kaendazake! Ni 1-1
Sijashangaa Membe kufa maana kufa ni sehemu ya viumbe hai wote.Unachekesha kusherehekea msiba wa pensioner. Hivi kweli mtu umri wa Membe aliyekwisha staafu unaweza shangaa akifariki?
Hyo ndege bora ingepokelewa na waziri was mawasiliano akiambatana na mkuu was mkoa as well as mkuu was wilaya kumpeleka rais was nchi so jambo zuri.All foolery aside, hivi kweli kabisa kuna ulazima gani wa ndege mpya kwenda kupokelewa na rais pamoja na serikali yake uwanja wa ndege?
Kwa nini wanaenda kupokea ndege?
Someone please make it make sense!
Ushamba utaisha tutakapoingia awamu ya sita; hii ni awamu ya tano inaendelea.Sabalkheri na msalkheri popote pale mlipo.
Imekuwa kitambo kidogo tokea tulonge.
Basi bana mi kwa ujinga wangu huu nikadhani kwamba ushamba ushamba uliondoka na Mwendazake!
Sasa Ngabu unazungumzia ushamba ushamba gani tena?
Ni ule ushamba ushamba wa kwenda kupokea ndege mpya.
Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba kama lile Lisukuma lililoendazake.
Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.
Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.
Ndo nini sasa wote hao kwenda kurundikana sehemu moja eti kupokea dege la mizigo.
Kwani hawajawahi kuyaona madege? Si wanayapanda na kuruka nayo kila kukicha wakiwa wanaipuyanga dunia [emoji848].
Ama kweli mtu unaweza ukamtoa shambani lakini huwezi kuutoa ushamba uliopo ndani mwake.