Kumbe ushamba bado unaendelea…

Kumbe ushamba bado unaendelea…

Hata SAMIA ni mshamba maana Joni aliambiwa ni mshamba kweli yaleyale
 
Naunga mkono hoja. Sioni sababu ya mwananchi wa Katavi kufunga mtaa kwa sherehe kisa eti kanunua bodaboda

Huu ushamba muasisi wake ni jiwe. Alaaniwe huko aliko.
Katavi , mpanda imekufanya Nini mkuuu mpaka uisakame 😔😔😔
 
Sabalkheri na msalkheri popote pale mlipo.

Imekuwa kitambo kidogo tokea tulonge.

Basi bana mi kwa ujinga wangu huu nikadhani kwamba ushamba ushamba uliondoka na Mwendazake!

Sasa Ngabu unazungumzia ushamba ushamba gani tena?

Ni ule ushamba ushamba wa kwenda kupokea ndege mpya.

Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba kama lile Lisukuma lililoendazake.

Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.

Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.

Ndo nini sasa wote hao kwenda kurundikana sehemu moja eti kupokea dege la mizigo.

Kwani hawajawahi kuyaona madege? Si wanayapanda na kuruka nayo kila kukicha wakiwa wanaipuyanga dunia 🤔.

Ama kweli mtu unaweza ukamtoa shambani lakini huwezi kuutoa ushamba uliopo ndani mwake.
MAJINGA MAJITU MAZIMA.
 
Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba .

Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.

Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.
Kwanza, sii kila anachofanya ni anapanga yeye, vitu vingine ni anapangiwa!.

Pili mtu kuwa mshamba wa kitu chochote kipya sio dhambi, mimi mwenyewe mara yangu ya kwanza kupanda lift ni Bugando Hospital, nikawa napanda, nashuka, naona raha!.

Kushangalia jambo lolote kubwa kama ndege ni ushamba justified, hata wale wote wanao jiselfisha, kwenye ndege ni washamba wa ndege, kujiselfisha popote kwenye location ni ushamba fulani, ushamba wa kitu kikubwa kama ushamba wa ndege ni ushamba mzuri!.
Naunga mkono ushamba ule!.
P
 
Tulishakuwa na shirika la ndege hapo zamani ambalo lilikuwa na ndege kadhaa.

Sasa nini jipya hapa?
Zile tukapigwa na Kenya? Au baada
Tulikua nazo zingine.
Sioni mantiki ya watu kwenda kushangilia ndege mpya.
Ni uvivu wa fikra na mawazo kutoka ilala,kkoo, buguruni, kinondoni.
Unaenda kupokea ndege ambayo
Hata ufanyeje hutakuja kupewa manufaa yake yoyote
Mpk inakufa,
Sasa kuna haja kupoteza muda
 
Sabalkheri na msalkheri popote pale mlipo.

Imekuwa kitambo kidogo tokea tulonge.

Basi bana mi kwa ujinga wangu huu nikadhani kwamba ushamba ushamba uliondoka na Mwendazake!

Sasa Ngabu unazungumzia ushamba ushamba gani tena?

Ni ule ushamba ushamba wa kwenda kupokea ndege mpya.

Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba kama lile Lisukuma lililoendazake.

Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.

Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.

Ndo nini sasa wote hao kwenda kurundikana sehemu moja eti kupokea dege la mizigo.

Kwani hawajawahi kuyaona madege? Si wanayapanda na kuruka nayo kila kukicha wakiwa wanaipuyanga dunia 🤔.

Ama kweli mtu unaweza ukamtoa shambani lakini huwezi kuutoa ushamba uliopo ndani mwake.
Ni washamba mpaka nukta
 
Kweli wewe ni mjinga kwa ujinga huu👇🏻



Subalkheir ni "Asubuhi njema" je hivi sasa ni asubuhi??
Na msaikheri maana yake Nini? Unadhan wote tuko kwenye same time zone?

Haya jipigepige kifua usema hakika Mimi ni mkurupukaji naomba nipuuzwe milele
 
All foolery aside, hivi kweli kabisa kuna ulazima gani wa ndege mpya kwenda kupokelewa na rais pamoja na serikali yake uwanja wa ndege?

Kwa nini wanaenda kupokea ndege?

Someone please make it make sense!
 
All foolery aside, hivi kweli kabisa kuna ulazima gani wa ndege mpya kwenda kupokelewa na rais pamoja na serikali yake uwanja wa ndege?

Kwa nini wanaenda kupokea ndege?

Someone please make it make sense!
Hyo ndege bora ingepokelewa na waziri was mawasiliano akiambatana na mkuu was mkoa as well as mkuu was wilaya kumpeleka rais was nchi so jambo zuri.
 
Sabalkheri na msalkheri popote pale mlipo.

Imekuwa kitambo kidogo tokea tulonge.

Basi bana mi kwa ujinga wangu huu nikadhani kwamba ushamba ushamba uliondoka na Mwendazake!

Sasa Ngabu unazungumzia ushamba ushamba gani tena?

Ni ule ushamba ushamba wa kwenda kupokea ndege mpya.

Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba kama lile Lisukuma lililoendazake.

Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.

Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.

Ndo nini sasa wote hao kwenda kurundikana sehemu moja eti kupokea dege la mizigo.

Kwani hawajawahi kuyaona madege? Si wanayapanda na kuruka nayo kila kukicha wakiwa wanaipuyanga dunia [emoji848].

Ama kweli mtu unaweza ukamtoa shambani lakini huwezi kuutoa ushamba uliopo ndani mwake.
Ushamba utaisha tutakapoingia awamu ya sita; hii ni awamu ya tano inaendelea.
 
Back
Top Bottom