Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamaanisha umewekwa lini dudu la yuyu mara ya mwisho
SahihiPole sana mpendwa...
Angalia vizuri choo unachotumia usafi ni muhimu
Nipo mkuuDuu we mrembo upo, sijamuona muda kweli
Nipo mkuu
Uti ni ugonjwa wa zinaa ???Ugua pole, ukitumia dawa mpe na mumeo anywe ili wote mupone kikamilifu
😁😁😁😊Mi niliumwa macho ilikuwa saa 9 sijui usiku ,sijui alfajiri ila mpaka kufika saa 12 asubuhi niliona kama Week.Mpaka nilijifunga kamba za kiatu kwenye macho lakini wapi.Madaktari walipwe hata milioni 10 sawa tu.
Hio ni GC=GONOcoccus=NEISSERIA GONORRHOEAE. AKA GONONimewahi kuugua mara nyingi lakini homa iliyonipata usiku wa jana sijawah kuumwa toka nizaliwe
Usiku wa jana ulikua mkubwa kwangu,ulikua mrefu,niliona masaa yamesimama
Niliteseka sana,nililia
Niliumwa tumbo sijawahi kuumwa maisha,nilisema asubuhi sifiki
NImeenda kwenye vipimo naambiwa UTI kali nayo hivi kumbe UTI ndo inauma hivi ???
Waheshimiwe ma dacktar popote mlipo 🥰🥰🥰
Hata leo nimeweza kushika cm ,kuanzia leo nitaiheshimu UTI
OkHio ni GC=GONOcoccus=NEISSERIA GONORRHOEAE. AKA GONO
Elimu ni muhimu sana kwenye jamii yetu. Watu huwa wanakurupuka sana ku conclude mamboUti ni ugonjwa wa zinaa ???
Sipo kwenye mahusiano mwaka mzima sasa
Sijafanya hizo mambo,kwahyo kama uti ni magonjwa ya zinaa sijui itakua nimepataje
nitumie CV yako niikague mkuuUti ni ugonjwa wa zinaa ???
Sipo kwenye mahusiano mwaka mzima sasa
Sijafanya hizo mambo,kwahyo kama uti ni magonjwa ya zinaa sijui itakua nimepataje
Nitaanza leoPole sana🥶 uwe una kojoa huku umesimama
Pole sana.Ni bahati mbaya ugonjwa hauchagui muda.Ni vizuri kuwa na vituliza maumivu wakati wote kama tahadhari.Nimewahi kuugua mara nyingi lakini homa iliyonipata usiku wa jana sijawah kuumwa toka nizaliwe
Usiku wa jana ulikua mkubwa kwangu,ulikua mrefu,niliona masaa yamesimama
Niliteseka sana,nililia
Niliumwa tumbo sijawahi kuumwa maisha,nilisema asubuhi sifiki
NImeenda kwenye vipimo naambiwa UTI kali nayo hivi kumbe UTI ndo inauma hivi ???
Waheshimiwe ma dacktar popote mlipo 🥰🥰🥰
Hata leo nimeweza kushika cm ,kuanzia leo nitaiheshimu UTI
Yaan serikali ina kazi kubwa sanaElimu ni muhimu sana kwenye jamii yetu. Watu huwa wanakurupuka sana ku conclude mambo
Ooh kumbe upo single basi utakuwa unywi maji ya kutosha kingine choo unachotumia basi kwa kumalizia vp jimbo lipo wazi tutume maombi😜Uti ni ugonjwa wa zinaa ???
Sipo kwenye mahusiano mwaka mzima sasa
Sijafanya hizo mambo,kwahyo kama uti ni magonjwa ya zinaa sijui itakua nimepataje
Nimeumwa sanaaa tumbo usiku wa jana ,Ila UTI na kuumwa tumbo mbona hakuna uhusiano