Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Ndiyo safi sana ! ubarikiwe mtumishi nitajaribu one day!chukua mwiko uliosongea ugali usiuoshe uuweke chini ya mto usiku halafu ulale, utakachokiona utakuja kunishukuru sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo safi sana ! ubarikiwe mtumishi nitajaribu one day!chukua mwiko uliosongea ugali usiuoshe uuweke chini ya mto usiku halafu ulale, utakachokiona utakuja kunishukuru sawa?
Yaani ukweli na temper havi changangamani mie hawa nawajua fika haswaaaa! sababu nimeishi nao hawa! km Afisa wa serikali! waliniheshimu tu kinafiki !! ajili ya huo u- Ofisa wangu! lkn kina kajamba nani weusi walikuwa wanaisoma number hallow!!Mkuu umeongea kwa 'temper ' sana [emoji23]
Haya! Ni ngozi ya namna gani? No weusi?Wahindi hawahesabiki kama “ngozi nyeupe”.
Wale ni wachawi mbona kawaida.
Hembu tufafanulie sisi washamba....kwa hiyo wahindi ni black race? MTU mshamba ni yule asiyeweza kutofautisha kati ya wazungu, Waamerika na Waasia!Wahindi ni Waasia (kuna watu wanaodhani ya kwamba kila mweupe ni mzungu MF akiona mjapani ni mzungu,Muamerika ni mzungu mu Asia ni mzungu! N.kYes! Watanzania washamba walio wengi hawajui hili.!
Ebu! mkuu nipe japo intro......nisije jikuta niko katikti ya wachawi halafu nishindwe kujitetea! utasikia;; enehhee! na wewe? Loool! .....si watanimaliza?chukua mwiko uliosongea ugali usiuoshe uuweke chini ya mto usiku halafu ulale, utakachokiona utakuja kunishukuru sawa?
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sanaHayo mambo yapo sana...
Mkuu kwa hiyo unabisha kwamba wahindi ni highly uncivilized race, maana umetoa povu sana.......hawa si ndio wanasifika kwa kunya hovyo hovyo mitaani, yaani huko kwao kumiliki choo ni anasa..........Kichekesho sasa! ni kuwa huyu huyu!! mjinga! mjinga! Maskini, mpumbavu, asiye na A'' wala B'' anamtesa sana mtu mweusi na kamwe hamtakaa mchangamane na Muhindi!! ikitokea kuzaa na swahili! wanabeba damu yao! halafu hawawapendi kushirikiana na nyie weusi!! zaidi ya kuwa fanyia kazi tu! hawataki mazoea na weusi!
ikitokea umefanya kazi kwao!! unatengwa flani hivi hamtakaa mjichanganye kiviile! fanya kazi wende kwenu!! utakula kivyako na wao kivyao! yao!! ni yao! hata km walizaliwa hapa vizazi miaka 100!! mswahili never!
wako tayari wakaishi South! kenya, canada lkn siyo kuwa kitu kimoja na jiswahili !!hkn haja ya kuchunguza ndo ilivo! wana shule, makanisa, viwanja vya michezo, makaburi Hospital zao! hawataki nuksi!! hata humu JF hawamo! hata wa kurumagia!
Wana kunya lkn hawawapendi weusi hata mtambike uchi!Mkuu kwa hiyo unabisha kwamba wahindi ni highly uncivilized race, maana umetoa povu sana.......hawa si ndio wanasifika kwa kunya hovyo hovyo mitaani, yaani huko kwao kumiliki choo ni anasa..........
Kuna jamaa yangu mmoja kule kanda ya ziwa kaoa mhindi, hili unalizungumziaje.........kule kwao wengi wamechoka balaa hata ngozi nyeusi ukienda kule lazima utawanyanyapaa.....Wana kunya lkn hawawapendi weusi hata mtambike uchi!
Hahaaa utaacha maustaadh tuache kupita hiyo njia, yaani imejengwa na pua za nguruwe?Pale Mto wami darajani tumezika vichwa vya Nguruwe, na Paka vya kutosha tukiwa na Mchina mmoja ambaye ni mkubwa wa ile site.
Aoe tu tani yake lkn vitoto!! vitarudi tu Uhindini!!!! wengi tu, kaka yangu kaoa hukoo Punjab ana watoto sita! na wanakaa hapo Bongo!! lkn watoto wame oa/olewa wote Uarabuni na wahindi! !Kuna jamaa yangu mmoja kule kanda ya ziwa kaoa mhindi, hili unalizungumziaje.........kule kwao wengi wamechoka balaa hata ngozi nyeusi ukienda kule lazima utawanyanyapaa.....
Mapadre wote wana asili ya Olympian gods! tena sasa huu ndo uchawi number moja Duniani! usiwaamini sana mapadri hawa viajana hawa wasio oa hawa pwiii! sijui mungu gani aliwaagizaKama sisi kabla hatujaanza kujenga msingi kwny zile mifereji ya msingi tunamwaga maji yenye chumvi huku Padri akisema maneno kutoka ktk kitabu chake huo pia ni uchawi?
Ukweli ndio huo, Muhindi sio ngozi nyeupe, Hawana tufauti na waafrika, wachawi wa kutupa.Wahindi hawahesabiki kama “ngozi nyeupe”.
Wale ni wachawi mbona kawaida.
Kwahyo wanazindika si ndio? Basi mazindiko yao ni safi sanaMapadre wote wana asili ya Olympian gods! tena sasa huu ndo uchawi number moja Duniani! usiwaamini sana mapadri hawa viajana hawa wasio oa hawa pwiii! sijui mungu gani aliwaagiza
Kwako ni ulozi..ila kwa ndio imani na dini yake..kama ilivyo kwa mababu zetu kabla wazungu na waarabu kuja kuharibu utaratibu.muhindi ni mshirikina big time.
kila hatua ambayo muhindi anapiitia katika kukabiliana na maisha, lazima ashirikishe mambo ya ulozi. ni kawaida yao.
Mkuu me nazidi kushangaa Sana yaani mtu akiona tukio lisilo la kawaida ye anaamini Ni uchawi....Hata water cycle tuseme Ni uchawi maana maji yanatoka state Moja kwenda nyingine je nao tuite Ni uchawi...mkuu watu wetu uwezo wao Ni mdogo acha waendelee kutapeliwaMihindi/miarabu/mizungu/michina sio wenzenu ila nyie kila siku "kwa wenzetu" si bungeni hadi mitaani. Hao watu hawawaoni nyie kama wenzao let alone kuwaita nyie wenzenu hata kwa bahati mbaya ila nyie hamchoki kujikomba.
Secondly, mitanganyika itaamini hii story kama inavyoamini story zingine zote za kishirikina bila kufanya any reasoning. Mimi naweza kuanzisha uzi kwamba nilikufa nikafufuka kichawi na mitanganyika ilivyo mizwazwa na kuamini ushrikina itaamini kila kitu na kwenda kusimulia wengine. Story zote za kishirikina zipo hivi- hearsay.
Scars Mr. Sound ndege JOHN
Mkuu me nazidi kushangaa Sana yaani mtu akiona tukio lisilo la kawaida ye anaamini Ni uchawi....Hata water cycle tuseme Ni uchawi maana maji yanatoka state Moja kwenda nyingine je nao tuite Ni uchawi...mkuu watu wetu uwezo wao Ni mdogo acha waendelee kutapeliwa