Kumbe wenzetu ngozi nyeupe wanaendesha teknolojia kwa uchawi, leo nimeshuhudia kwa macho yangu

Kumbe wenzetu ngozi nyeupe wanaendesha teknolojia kwa uchawi, leo nimeshuhudia kwa macho yangu

Kwanza kuamini tu uchawi una uwezo means tunamvunjia Mungu heshima maana Kama mchawi au huyo shetani(ujinga) Ana uwezo wa kupaa angani au kupotea na kutokezea mahali pengine Basi means tunamuweka Mungu level Moja na wachawi kitu ambacho Ni kichekesho sana..mambo ya uchawi Ni story tu za watu ila ukiwauliza binadamu wote matatizo mawili makubwa yanayowasumbua watakujibu MARADHI na umaskini hakuna Hata mmoja atakayesema uchawi unamsumbua..
Scars
Bufa

Wajinga na wavivu wa kufikiri ndo wanaamini story za kishirikina.
 
Mhindi ndio wa kumfananisha na mzungu?. Wahindi sawa tu na mwaafrika. Wana mambo ya kishamba kama ya mwaafrika tu. Utamfananisha mzungu na waganga njaa tu hao?. Kama mo utamwita ngozi nyeupe?. Ushamba wa mo una utofauti gani na kigwangalala?
 
Kwanza kuamini tu uchawi una uwezo means tunamvunjia Mungu heshima maana Kama mchawi au huyo shetani(ujinga) Ana uwezo wa kupaa angani au kupotea na kutokezea mahali pengine Basi means tunamuweka Mungu level Moja na wachawi kitu ambacho Ni kichekesho sana..mambo ya uchawi Ni story tu za watu ila ukiwauliza binadamu wote matatizo mawili makubwa yanayowasumbua watakujibu MARADHI na umaskini hakuna Hata mmoja atakayesema uchawi unamsumbua..
Scars
BufaN
Kama unajua Mungu hakupendi hana mpango na wewe!! usijaribu kuhoji hoji!! mambo yake!! yaani bora ujifie tu! kwanza huyo shetani Shetani aliwahi kuishi na Mungu paradiso kabisaa huko walipiga msosi pamoja!!

tena shetani ni mwanae sana tu ujue ! kuliko unavo dhani wewe! tatizo lenu mlio umbwa na shetani hamyajui haya wakaliiii km pilipili! mara nyingi devil anapiga story kishakaji na sir God!! km unakumbuka kisa cha Ayubu!

sasa weye mla vihepe wa mbagala utapiga wapi story na Mungu? usikute adhabu yake devil ikawa ndogo tu!! nani anajua ya Mungu! nyie wafuasi ndo mtakoma make Mungu hawajui mlipo tokea!!

mmekariri ya wazungu hovyo hovyo tu! na kayesu kenu kazungu hako ndo ataanza nako kwanza halafu mnafuata nyie!! hkn kusikilizwa hapo ujue??! heeee ! Shetani yule atawaruka futi mia !! Mungu si baba yake bana??

devil yeye anajua mitaa ya Mbinguni yote! aliwahi ishi huko!! akiwapiga chenga tu mtakamatwa na Malaika kwa kosa la kuzurura mbinguni! na Tabia ya baba yake ambae ndo Mungu anaijua! hivi jiulize tu nani aliwahi kuua mwanae jambazi hapa Duniani?

wewe wa mbagala hujui kitu kule! utang'aa mimacho tu! km mjusi! unakamatwa kuleee unapigwa ziwa la moto!! tatizo lenu mmeshikwa na tamaa ya kwenda kuishi paradiso! siku za mwisho!

kumbe hamjui paradiso ni yetu sisi Wayahudi! ambao tumeporwa uzaliwa wetu wa kwanza! wengine humu ni uzao wa devil km Esau, herode, pharaoh!! Abel, Nemrodi lkn hamjijui!

na ni watu wachache sana! ambao walitubu kweli! ndo watanyakuliwa na sisi!! yaani sisi tulio umbwa na MUngu mwenyewe atatusamehe tu! Baba yetu yule mie namjua! na haya maandishi yanaenda moja kwa moja kutunzwa kumbukumbu hii!

tatizo linakuja kwa nyie mlio umbwa na huyo shetani! make hamjui lolote!! nyie ni walee kizazi cha Kaini!! na kizazi cha kaka yake yakobo, na kina herode! mweee! nyie bana mmkalieni Mungu mbali kabisa kwanza hamjuagi chochote kumhusu yeye!! hana huruma na nyie! na amewaambia wazi wazi kuwa ''Imani si mali ya kila Mtu''

Musa aliona kijiti kikiwaka nyie mlizani ni mchawi mkala kona!!! ...alipiga Fimbo kwa maji ikawa njia...walipopita babu zenu tu..... wakafa! waliobakia walipita wakitangaza Nusa mchawi yule....ndo km hivi!

Mlevi na Biblia wapi na wapi!! Magdalena alipoopolewa kulee kunako Danguro aliwaacha wengi wakiteseka yeye alitoka mmoja tu!! sasa usijifanye kuwa mlevi ukizani Destiny yako imechakachuliwa na Shetani! atawarukaa!!aaa heee!!ee!!
 
Wahindi sawa tu na mwaafrika. Wana mambo ya kishamba kama ya mwaafrika tu.
Yaani sisi tuna mambo ya kishamba?? tuombe radhi!! Ulaya leo!! imeendelea ajili ya kusoma kwa waafrica kule Misri!! kwa nini hawa kwenda India kusoma! archmedes, aristotle, avogadro, Dalton!!

woote hao na wengie wengi!! walimu wa ALexander walisomea kwa waafrica Misri kule! weye kijana weye!! omba samahani! mpaka leo wanakuja kuchuma Africa!! leo hii wazungu super power, wenye hela walifuga watumwa weusi!

na kila mzungu unaemuona kwenye uso wa Dunia Babu wa babu zake wali pata faida kutokana na watumwa weusi! km wao walikuwa km sisi walifaidisha nchi gani kwa kutumikishwa kimabavu!! yaani mweusi awe jinyonge km muhindi? mweee unaumwa!

Ume wahi kumuona Mwana riadha, mkimbiaji mahili, boxer wa kimataifa Muhindi?!
 
Kwa maelezo nilizopokea, wahindi kimila huwa wanapozindua miradi mapya au kufungua biashara mapya huwa wanatumia Nazi kimila.
Mbona sisi wengine tunakata mbuzi au ngombe n.k??
 
Wahindi na waarabu koko ni jamii za waafrika waliochangamka, tofaut yao ni rangi tu[emoji23][emoji23][emoji23]..linapokuja suala la strong races nazan wataanza watu weupe wa magharib na ulaya, then Asia kwa mbali yaani wajapan, wachina, wakorea , warusi na waisrael, hao wengine wanaobaki ni hohe hahe,

katk suala la uchawi, kila jamii ina uchawi, na uchawi upo wa aina tofaut tofaut, itategemeana na mtumiaj katumia upi.

inawezekana huku kwetu uchawi mweus wakuaribiana mambo ndyo umetawala sana, kulko ule uchawi usio base ktk kulogana.

uchawi ni uchawi tu, na hapo makafara lazma yawepo ili kuactivate nguvu za mashetan kulinda ama kuweka mvuto wa sehem hiyo.

sio kwa wahindi tu hata wachina na waarabu ni wale wale, kama unafuatilia hata ktk historia waarabu walkuwa wakijenga majengo apa Tz na kumzika mtu mzima mzima anakuwa kama kafara ya kulifanya jengo ulinz na uimara,

inashangaza sana kuamin waafrika ni wachawi kulko hao watu weupe, lkn tungejiuliza kma sisi tulkuwa wachawi, why walpokuja kutuvamia uchawi wetu ulidunda? jibu unapata ni kuw uchawi wetu haukufikia level ya ushirikina waliokuw nao hao watu weupe.

Elimu&utandawazi unajarbu kuficha sana masuala ya nguvu za giza na kutuaminisha kuwa hayapo, kumbe nyuma ya pazia wahasisi wa maandiko ya kupinga uchawi ndyo wachawi wakubwa,

uko USA ndio usipime hao ndy wachaw wakubwa wanaofaziri vikundi vya kishenz kama illuminate&mason, na uko Asia nzima hawa ndio kabisa washirikina waliotunga dini zenye ushirikina na kuamua kuzipa majina mazuri na miungu ya dini hizo kuibadili kwa majina mazuri il watu wasijue, dini hizo ni jamii ya Abrahamic, budha, hindus haya yote ni maushirikina ambayo watu hawayajui nini kipo nyuma yake kwkuwa wameshakuwa brainwashed kwa mahaba ya dini.

Inashangaza anatokea mmatumbi from nowhere na kisimu chake kuanza kupinga uwepo wa nguvu za giza wakat colonial masters wao ndyo wabobevu[emoji41][emoji41]
 
Kwanza kuamini tu uchawi una uwezo means tunamvunjia Mungu heshima maana Kama mchawi au huyo shetani(ujinga) Ana uwezo wa kupaa angani au kupotea na kutokezea mahali pengine Basi means tunamuweka Mungu level Moja na wachawi kitu ambacho Ni kichekesho sana..mambo ya uchawi Ni story tu za watu ila ukiwauliza binadamu wote matatizo mawili makubwa yanayowasumbua watakujibu MARADHI na umaskini hakuna Hata mmoja atakayesema uchawi unamsumbua..
Scars
Bufa
huyo unaemuita Mungu, kwa wengine wanamuona shetani tu, na huyo umuitae shetan, kwa wengine ni Mungu, so be respect kwa imani za watu naamini hakuna ujualo kuhusu dini&imani, mim nina shahidi nying sana, kwahiyo watu wanavyoelezea mambo haya usiwe kihele hele kupinga as if ulikuwepo....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114] aisee huenda tungekuwa mbali sana shida ndoo hiyo ya watanzania
Wewe ni Mrundi pure
 
Back
Top Bottom