Kwanza kuamini tu uchawi una uwezo means tunamvunjia Mungu heshima maana Kama mchawi au huyo shetani(ujinga) Ana uwezo wa kupaa angani au kupotea na kutokezea mahali pengine Basi means tunamuweka Mungu level Moja na wachawi kitu ambacho Ni kichekesho sana..mambo ya uchawi Ni story tu za watu ila ukiwauliza binadamu wote matatizo mawili makubwa yanayowasumbua watakujibu MARADHI na umaskini hakuna Hata mmoja atakayesema uchawi unamsumbua..
Scars
BufaN
Kama unajua Mungu hakupendi hana mpango na wewe!! usijaribu kuhoji hoji!! mambo yake!! yaani bora ujifie tu! kwanza huyo shetani Shetani aliwahi kuishi na Mungu paradiso kabisaa huko walipiga msosi pamoja!!
tena shetani ni mwanae sana tu ujue ! kuliko unavo dhani wewe! tatizo lenu mlio umbwa na shetani hamyajui haya wakaliiii km pilipili! mara nyingi devil anapiga story kishakaji na sir God!! km unakumbuka kisa cha Ayubu!
sasa weye mla vihepe wa mbagala utapiga wapi story na Mungu? usikute adhabu yake devil ikawa ndogo tu!! nani anajua ya Mungu! nyie wafuasi ndo mtakoma make Mungu hawajui mlipo tokea!!
mmekariri ya wazungu hovyo hovyo tu! na kayesu kenu kazungu hako ndo ataanza nako kwanza halafu mnafuata nyie!! hkn kusikilizwa hapo ujue??! heeee ! Shetani yule atawaruka futi mia !! Mungu si baba yake bana??
devil yeye anajua mitaa ya Mbinguni yote! aliwahi ishi huko!! akiwapiga chenga tu mtakamatwa na Malaika kwa kosa la kuzurura mbinguni! na Tabia ya baba yake ambae ndo Mungu anaijua! hivi jiulize tu nani aliwahi kuua mwanae jambazi hapa Duniani?
wewe wa mbagala hujui kitu kule! utang'aa mimacho tu! km mjusi! unakamatwa kuleee unapigwa ziwa la moto!! tatizo lenu mmeshikwa na tamaa ya kwenda kuishi paradiso! siku za mwisho!
kumbe hamjui paradiso ni yetu sisi Wayahudi! ambao tumeporwa uzaliwa wetu wa kwanza! wengine humu ni uzao wa devil km Esau, herode, pharaoh!! Abel, Nemrodi lkn hamjijui!
na ni watu wachache sana! ambao walitubu kweli! ndo watanyakuliwa na sisi!! yaani sisi tulio umbwa na MUngu mwenyewe atatusamehe tu! Baba yetu yule mie namjua! na haya maandishi yanaenda moja kwa moja kutunzwa kumbukumbu hii!
tatizo linakuja kwa nyie mlio umbwa na huyo shetani! make hamjui lolote!! nyie ni walee kizazi cha Kaini!! na kizazi cha kaka yake yakobo, na kina herode! mweee! nyie bana mmkalieni Mungu mbali kabisa kwanza hamjuagi chochote kumhusu yeye!! hana huruma na nyie! na amewaambia wazi wazi kuwa ''Imani si mali ya kila Mtu''
Musa aliona kijiti kikiwaka nyie mlizani ni mchawi mkala kona!!! ...alipiga Fimbo kwa maji ikawa njia...walipopita babu zenu tu..... wakafa! waliobakia walipita wakitangaza Nusa mchawi yule....ndo km hivi!
Mlevi na Biblia wapi na wapi!! Magdalena alipoopolewa kulee kunako Danguro aliwaacha wengi wakiteseka yeye alitoka mmoja tu!! sasa usijifanye kuwa mlevi ukizani Destiny yako imechakachuliwa na Shetani! atawarukaa!!aaa heee!!ee!!