Kumbe Yanga ilicheza na timu ya vijana ya CR Belouzdad, mashabiki wanamjia juu kocha kwa kudharau mechi

Kumbe Yanga ilicheza na timu ya vijana ya CR Belouzdad, mashabiki wanamjia juu kocha kwa kudharau mechi

Hawa viumbe wenye mikia wanavyo hangaika, tuuma zinaendelea
1. Majini
2. Sindano
3. Vijana
4. Itaendelea...
NB: Hata wao waliweka vijana 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umesoma comment mbili za youtube basi ushafanya conclusion na kuacha comments nyingine zote zilizokuwa kwenye hiyo video..

Acha uzwazwa
 
Mbona Kwenye Bench, Coacher Na Wachezaji Walileteana Vurumae Kwa Kuwatoa Waliokuwepo Uwanjani?

Kwahiyo Walitolewa Youth Wakaingia Wakubwa?
 
SASA HIVI HAYANA CHA KUANDIKA YANAANDIKA UPUMBAVU TUU MRADI LINAKAAA LINAWAZA NGOJA NIANZISHE THREAD ILIMRADI TUU LIMEANDIKA PUMBAVU KABISA NYIE.YANGA TIMU KUBWA 2023 MLIANDIKA NYUZI NYINGI HUMU ZAKUIPONDA SASA HIVI MNAKUJA NA HOJA ZAKIJINGA KABISA. KWANI WAKIPANGWA VJANA SI NDIO SAFI, HATA ALHLY AKAPANGE VIJANA AKANDWE STUPID WEWEE
Ndio Maana Waliitwa Mbumbumbu
 
Hawa viumbe wenye mikia wanavyo hangaika, tuuma zinaendelea
1. Majini
2. Sindano
3. Vijana
4. Itaendelea...
NB: Hata wao waliweka vijana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majini mlitaka kunywa damu ya kamwe
 
SASA HIVI HAYANA CHA KUANDIKA YANAANDIKA UPUMBAVU TUU MRADI LINAKAAA LINAWAZA NGOJA NIANZISHE THREAD ILIMRADI TUU LIMEANDIKA PUMBAVU KABISA NYIE.YANGA TIMU KUBWA 2023 MLIANDIKA NYUZI NYINGI HUMU ZAKUIPONDA SASA HIVI MNAKUJA NA HOJA ZAKIJINGA KABISA. KWANI WAKIPANGWA VJANA SI NDIO SAFI, HATA ALHLY AKAPANGE VIJANA AKANDWE STUPID WEWEE
Hahahahaha...hapana ni lazima waoneshe jinsi gani wao ni mbumbumbu na wajinga
 
Punguza kula ugoro kijana, matokeo yake ndo haya, thinking capacity inakuwa very low, umeandika utumbu mtupu
 
Back
Top Bottom