Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wao hawakuleta vijana, bali 5imba queens..!! Si ulimuona queen Aisha golini..!!Hawa viumbe wenye mikia wanavyo hangaika, tuuma zinaendelea
1. Majini
2. Sindano
3. Vijana
4. Itaendelea...
NB: Hata wao waliweka vijana 🤣🤣🤣🤣🤣
Hapana, 5imba alichezesha 5simba queens. Golini kulikuwa na queen AishaHata Thimba alichezesha vijana
Kosa ulilolifanya ni unetranslate, nikueleweshe tuNimeshangaa kuona kumbe ile timu iliyofungwa jana ni ya vijana wa kutoka academy ya Belouzdad.
Kocha na uongozi unalaumiwa kwa kuwadharau yanga. View attachment 2916451View attachment 2916452
Hapo chacha. Ukijifanya mwerevu lazima uwe smart. Jamaa andhani hiyo ni Ndondo kwamba utamchezesha hata Mamluki.Kwahiyo hakuna usajiri wa kupeleka majina Caf, unaamua kuweka yeyote tu?
Mbumbumbu at his best level.Nimeshangaa kuona kumbe ile timu iliyofungwa jana ni ya vijana wa kutoka academy ya Belouzdad.
Kocha na uongozi unalaumiwa kwa kuwadharau yanga. View attachment 2916451View attachment 2916452
Nimeshangaa kuona kumbe ile timu iliyofungwa jana ni ya vijana wa kutoka academy ya Belouzdad.
Kocha na uongozi unalaumiwa kwa kuwadharau yanga. View attachment 2916451View attachment 2916452
Shabaab kwa kiarabu ni vijana, kiingereza youth,timu shabaab (chabab belouizdad),ni tafsiri tu,Kama young Africans useme vijana wa kiafrikaNimeshangaa kuona kumbe ile timu iliyofungwa jana ni ya vijana wa kutoka academy ya Belouzdad.
Kocha na uongozi unalaumiwa kwa kuwadharau yanga. View attachment 2916451View attachment 2916452
Haelewi maskini alivyoona youth akajua kikosi B, kwanza ungepata wapi jeuri ya kuleta kikosi B na bado huna uhakika wa kufuzu tena ugenini alafu unataka ushindi ili ufuzuShabaab kwa kiarabu ni vijana, kiingereza youth,timu shabaab (chabab belouizdad),ni tafsiri tu,Kama young Africans useme vijana wa kiafrika
Comments reserved kufungwa ni kufungwa hata wangeleta vikongwe
Hakuna hata Simba mwenzio aliyekanyaga kukugombelezea. Hadi wenzio wamekuona lodilofa.Uzi umeeleweka
Players and staff of CR Belouizdad each deducted 80% of their salaries after the 4-0 defeat in TanzaniaKwahiyo hakuna usajiri wa kupeleka majina Caf, unaamua kuweka yeyote tu?
Kuhusu vijana ni uongo bodi ya wa kurugenzi wafyeka asilimia 80 ya mshahara wa wachezaji na viongizi wao baada ya kukandwa 4G na YangaPlayers and staff of CR Belouizdad each deducted 80% of their salaries after the 4-0 defeat in Tanzania
Players and staff of CR Belouizdad each deducted 80% of their salaries after the 4-0 defeat in Tanzania
The Board of CR Belouizdad have agreed to deduct each of the playing squad and the Technical team 80% of their monthly salaries after the 4-0 thrashing by Yanga on Fridaysportsworldghana.com