Hawa nao wanatuumiza akili zetu, Ibrahim mwenyewe kaitwa mtu mzima, musa tunajua alipozaliwa, baadaye kakimbia huko baadaye kaibukia kichakani na moto sasa jamani habari nyingine tuna summariesVipi kuhusu mzee Ibrahim na manabii wengine mbona na wao walipozaliwa mpk kufika miaka 10 na kuendelea hawajatajwa walikuwa wapi wakati huo na walikuwa wanafanya nn. Sijuih na wao Mnataka kusema walikuwa Buddha wanafundishwa
Kwahiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa YESU hakufa alikimbilia huko India?ivi hapa ni kristo anapingwa au watu wanafunuliwa wajue wasioyajua?
Siyo yesu huyu ninaemjua Mimi aliyekufa msalabani na kufufuka
Kumbuka kuwa habari unazozisoma kwenye vitabu vya dini zaweza pia zikawa zimeandikwa na kuhifadhiwa kwenye nyaraka nyingine mbalimbali za elimu zisizokuwa na malengo ya kukuza ama kueneza dini fulani.Hawa nao wanatuumiza akili zetu, Ibrahim mwenyewe kaitwa mtu mzima, musa tunajua alipozaliwa, baadaye kakimbia huko baadaye kaibukia kichakani na moto sasa jamani habari nyingine tuna summaries
SOMA ACHA UZOMBI NA UDAKUKwahiyo wewe unataka kutuaminisha kuwa YESU hakufa alikimbilia huko India?
Nazani wewe utakuwa zombiesSOMA ACHA UZOMBI NA UDAKU
sawa ila SOMA utoke kwenye UZOMBIE😡Nazani wewe utakuwa zombies
Nilishajibiwa na nikaelewa huu ni mwendelezo@mshana jr hebu rudi kwenye swali lako la awali. lisome ili ujue ulichouliza na ukajibiwa.
Yeah bahati mbaya ni mpaka uwe na access Jukwaa la Dini!..Huo uzi nadhani nishawahi kuusoma na kuchangia wakat natumia id ya mondray, najaribu kuufungua haufunguki. au upo jukwaa la dini
Hahahh... Naenda potea JF miez 2 very soon.nimeshafika mkuu""...asante " ngoja nikae kitako niipitie sasa "".......
ila nawewe "" umepotea mnoo""...mwambie " yule mtu "" apunguze ”…
hahaha..najua "" siile safari yko ya nyanda za juu kusini...inakaribia kujiriHahahh... Naenda potea JF miez 2 very soon.
Mimi mwenyewe nimeshindwa kuusoma...ngoja niombe access hukoYeah bahati mbaya ni mpaka uwe na access Jukwaa la Dini!..
Hahahhahh!...Nashukuru kunikumbusha ratiba!.hahaha..najua "" siile safari yko ya nyanda za juu kusini...inakaribia kujiri
Ukishindwa ipata ontime basi google SWOON HYPOTHESIS ujisomee!.Mimi mwenyewe nimeshindwa kuusoma...ngoja niombe access huko
bora ni Google 1st...huko kwenye access nitachelewa ..maombi yatachelewa kujibiwa ...Ukishindwa ipata ontime basi google SWOON HYPOTHESIS ujisomee!.