Kumbe Yesu alikua mfuasi wa Buddha

Kumbe Yesu alikua mfuasi wa Buddha

Vipi kuhusu mzee Ibrahim na manabii wengine mbona na wao walipozaliwa mpk kufika miaka 10 na kuendelea hawajatajwa walikuwa wapi wakati huo na walikuwa wanafanya nn. Sijuih na wao Mnataka kusema walikuwa Buddha wanafundishwa
Hawa nao wanatuumiza akili zetu, Ibrahim mwenyewe kaitwa mtu mzima, musa tunajua alipozaliwa, baadaye kakimbia huko baadaye kaibukia kichakani na moto sasa jamani habari nyingine tuna summaries
 
Hawa nao wanatuumiza akili zetu, Ibrahim mwenyewe kaitwa mtu mzima, musa tunajua alipozaliwa, baadaye kakimbia huko baadaye kaibukia kichakani na moto sasa jamani habari nyingine tuna summaries
Kumbuka kuwa habari unazozisoma kwenye vitabu vya dini zaweza pia zikawa zimeandikwa na kuhifadhiwa kwenye nyaraka nyingine mbalimbali za elimu zisizokuwa na malengo ya kukuza ama kueneza dini fulani.

Na kama itatokea mtu akaandikwa tu kwenye kitabu fulani cha dini na kusiwe na chanzo kingine kinachomwelezea mtu huyo, yamkini historia ya kuwahi kuwepo kwake itakua na mashaka makubwa.

Hao uliowataja waliishi na watu katika maeneo yao, hivyo usishangae ukusikia habari nyingine za Musa na Ibrahimu kwa sababu hata vitabu vya historia ya kawaida hujaribu kutabiri juu ya kuishi kwa watu hao mahali fulani zama fulani.​
 
????????
Je, historia imekuwa sio sahihi kwa miaka 2000—kulikuwa na Mrs. Yesu Kristo? In, “Kaburi la Familia ya Yesu,” mkurugenzi wa (makala ya Chaneli ya TV ya Discovery) Simcha Jacobovici anadai kuna “ushahidi” kwamba Yesu na Maria Magdalena walioana na walikuwa na mtoto aliyeitwa Yuda.

??????
Msomi wa Agano Jipya Norman Geisler anaandika “Maandiko ya Siri ya Wachache (Wanostiki) hayakuandikwa na mitume, bali na watu katika karne ya pili (na baadaye) wakijifanya kutumia mamlaka ya kitume kuendeleza mafundisho yao wenyewe. Leo tunaita suala hili uongo na uzushi wa kufoji.

????

Wazo kwamba Maria Magdalena alikuwa mtu maalum kwa Yesu inachukuliwa hasa kutoka Injili ya Maria. Injili hii ya Kinostiki (Kijuaji) si sehemu ya Agano Jipya, na iliandikwa na mtunzi asiyejulikana katika nusu ya karne ya pili, au karibia miaka mia na hamsini baada ya kifo cha Yesu. Hakuna mashahidi wa macho, akiwamo Maria mwenyewe wangekuwa hai wakati ilipoandikwa (karibia miaka 150 A. D.). Tarehe hiyo ya mwishoni inamaanisha Injili ya Maria haikuandikwa na shahidi wa macho wa Yesu, na hakuna anayejua aliyeiandika.

Machache tu kati ya mengi yanayochanganya
 
Yes, ni kweli yesu aliishi india kwa muda mrefu na pia alifia huko, ni ngumu sana kwa wafia dini kuamini katika hili
 
Huo uzi nadhani nishawahi kuusoma na kuchangia wakat natumia id ya mondray, najaribu kuufungua haufunguki. au upo jukwaa la dini
Yeah bahati mbaya ni mpaka uwe na access Jukwaa la Dini!..
 
nimeshafika mkuu""...asante " ngoja nikae kitako niipitie sasa "".......

ila nawewe "" umepotea mnoo""...mwambie " yule mtu "" apunguze ”…
Hahahh... Naenda potea JF miez 2 very soon.
 
Back
Top Bottom