Pre GE2025 KUMBUKIZI: Kiongozi wa CCM aliwahi kusema ushindi CCM hauna Mungu akipenda, ni lazima!

Pre GE2025 KUMBUKIZI: Kiongozi wa CCM aliwahi kusema ushindi CCM hauna Mungu akipenda, ni lazima!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kahembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
227
Reaction score
310
NB: Video hii ni kumbukizi wakati wa Kampeni za Uchaguzi mwaka 2020

Huyu kiongozi ana mkashifu Mwenyezi Mungu, oky sikiliza mpaka mwisho.👇

"…sikiliza ana mpango gani na tawi lake halafu tutaendelea kuzungumza si ndio? Si tumekuja tuzungumze pamoja, siyo kutoa maagizo sasa hivi, nataka tujue kati ya matawi 6 makatibu tawi mpaka leo hii tarehe 3 bado siku 20 tunakitu. Mipango yenu ni nini ya kuifanya CCM ishinde. Kwasababu ushindi wa CCM hauna Mungu akipenda.

Pia soma:
~ DC Longido: Mazingira ya 2020 na yale yaliyofanyika kwenye mapori yalitengenezwa na serikali ili tupite bila kupingwa!
~ Special Thread: TBT za kauli zilizozua gumzo kwenye medani za kisiasa

"Hili mnalijua? Ushindi wa CCM hamna mpaka Mungu apende Hapana, Mungu akijaalia, Hapana, ushindi wa CCM ni lazima na kushinda ni lazima hata iweje, kwahiyo Mungu akipenda.

"Mimi nataka kwanza niwasikie Makatibu Tawi si wana Kamati za Siasa, hata kama wamekuja watatu si wana mipango yao? Naomba nijue tawi moja moja kwanza, wana mipango gani."



 
Huyu kiongozi ana mkashifu Mwenyezi Mungu . oky sikiliza mpaka mwisho.👇
Acha kulazimisha Mungu wako awe wa watu wote. Dunia hii zipo imani tofauti. Hivi unataarifa kwamba kuna wale Wanaabudu Ng'ombe, Mawe Miti na wasioabudu? Msemaji yuko sahihi kulingana na Imani yake acha kulazimisha uelewa wako uwe Universal. Over
 
Huyu kiongozi ana mkashifu Mwenyezi Mungu . oky sikiliza mpaka mwisho.👇
Tatizo liko wapi hapo? Mungu mwenyewe anahimiza muwe na juhudi, anahimiza mjiongezee maarifa, anahimiza mfunge milango.

Kama mnataka kila kiti apende maana yake haya maisha hayatakuwa na thamani hii muionayo.

Mkidhani kila kiti ni mipango au maamuzi ya Mungu asingehimiza hayo yote
 
Acha kulazimisha Mungu wako awe wa watu wote. Dunia hii zipo imani tofauti. Hivi unataarifa kwamba kuna wale Wanaabudu Ng'ombe, Mawe Miti na wasioabudu? Msemaji yuko sahihi kulingana na Imani yake acha kulazimisha uelewa wako uwe Universal. Over
Kwa hiyo huyo Mungu wake ndio Mungu wa ccm wote? Basi sawa
 
Angalia yanayoendelea.

 
Is that not a misconstruation of the statement? Hivi kwenye uhitaji wa kufanikisha jambo lolote muhimu inatakiwa kumwachia tu Mungu au kuwepo na jitihada binafsi kwanza huku ukimwomba Mungu akusaidie jitihada zako zizae matunda?
 
Back
Top Bottom