Mpambano wa wabobeziKolimba alikuwa mtu was kawaida Sana Ila si hao uliowataja mmoja ni kanali mwingine luteni na wa mwisho jasusi mwanadamizi anaejua mbinu zote za mauwaji na pia wote hao wanamizizi iliyojichimbi tiss na mic achilia mbali wote ni mboni ya kikwete ukiwagusa hao unamgusa kikwete kitu ambacho ni kigumu Sana kwasababu jk Kwanza anapendwa Sana kwenye kamati kuu na kwenye majeshi pili kwenye majeshi pia jk Ana moles kibao.
Kamati kuu ya maccm yupo kigogoMkapa hayupo kamati kuu
Wapo pia na ndiyo maana kutakua na mparuano hasa kwa Membe kwasababu yeye atagoma kujishusha na kamati ya maadili itapanic.
Hizo porojo sio kwa kipindi cha magu kila jiwe litapondwa hakuna litakalosalia juu ya jiwe.Kolimba alikuwa mtu was kawaida Sana Ila si hao uliowataja mmoja ni kanali mwingine luteni na wa mwisho jasusi mwanadamizi anaejua mbinu zote za mauwaji na pia wote hao wanamizizi iliyojichimbi tiss na mic achilia mbali wote ni mboni ya kikwete ukiwagusa hao unamgusa kikwete kitu ambacho ni kigumu Sana kwasababu jk Kwanza anapendwa Sana kwenye kamati kuu na kwenye majeshi pili kwenye majeshi pia jk Ana moles kibao.
Mwanajeshi kitu gani banah,mbele ya ccm....?
Ungekuwa hata una stori za vijiwe vya kahawa acha kuwa tiss usiongeongea hizi pumba!Wewe ndiyo unamwona Membe ni Shushushu mzoefu mkuu. Katika mashushushu wa nchi hii wabobezi Membe hayupo!
Ukanali na Uluteni wao siyo wa medani bali wakisiasa zaidi hivyo hautishi sana. Subiri kidogo utaelewa niyasemayo!
Wewe wakati ule mkapa alikuwa Rais na mwenyekiti wa ccm, hebu uwe unatumia akili kidogoMkapa hayupo kamati kuu
Mkuu tukikaa kimya kabisa na hawa watapata aortic aneurysms,Acha wamalizane wao kwa wao. Maana walioitwa kujieleza na waliowaita wote walishirikiana kutufikisha hapa tulipo.
Sent using Jamii Forums mobile app