Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,652
- 2,355
Acha kukurupuka kasema anawataja baadhi ya wajumbe wa kamati iliyomuita kolimba nakushauri uwe unasoma na kuelewa kabla ya kucommentMkapa hayupo kamati kuu
Kumbuka vizuriNakumbuka ilikuwa kipindi cha mwinyi
Na kwa kuwaongezea hao jamaa, Wazee wetu hawa hawajaitwa kwenye Kamati Kuu ya CCM. Bali wameitwa kuhojiwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM.Mkapa hayupo kamati kuu
Marehemu Ben Kiko (Benjamin Kikoti), aliyekuwa Muwakilishi wa Mkurugenzi wa RTD, kanda ya Kati wakati huo alinisimulia mwanzo- mwisho mkasa huo...Habari wakuu,
Wakati kolimba alipotoa kauli ya kwamba CCM imepoteza dira aliitwa na kamati kuu ya CCM na mwisho wa yote tulikuja kuambiwa alikuwa na aneurysm ambayo ilipasuka tumboni baada ya presha kupanda baada ya hapo kilichotokea wote tulisema RIP.
Sasa naomba tujikumbushe waliokuwepo kwenye kamati kuu Ile ya kolimba, Mimi nitaanza kwa kuwataja baadhi ya wajumbe wa wakati ule ili kuweka kumbukumbu vizuri na tuwe na calculated guess ya kitakachotokea kwenye kamati kuu hii iliyowaita kinana, makamba na membe
1. Mkapa
2. Mangula etc
3.
4.
etc
Eheee, tuletee sasa ile Kamati. Mimi nakumbuka nilikuwa Secondari nikisikikiza BBC NA DOCHOWERE nikapata hii Habari. Enzi hizo nafikiri Mrema ndio alikuwa yupo juu hatariiii. Miaka ya 90s. Leteni wengine tuweke record tu.Marehemu Ben Kiko (Benjamin Kikoti), aliyekuwa Muwakilishi wa Mkurugenzi wa RTD, kanda ya Kati wakati huo alinisimulia mwanzo- mwisho mkasa huo...
CCM ni ya kuiogopa mno ni heri kuikosoa ukiwa "nje" kulilo ukiendelea kuwa ndani...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa....... Umenikumbusha alhaj Assad!
πππππ π π π π
Yule wa mawingu aliitwa apewe mkono wa upatanishi jukwaani,huo mkono ndio ukamyumbisha afya
Mic ya nini kikao cha watu 10 tu mezani!
Mkuu unawaambiaje watu watumie vitu ambavyo hawana na labda hata hawana mahitaji nachoWewe wakati ule mkapa alikuwa Rais na mwenyekiti wa ccm, hebu uwe unatumia akili kidogo
Kwa vile yatakua ni matokeo ya juhudi zao wacha waisome namba. Nadha unakumbuka mmoja wao aivyokua anatamba kua Magufuli atatubatiza kwa moto! Sasa naona yeye ndo anaelekea kuonja kwanza ubatizo wa moto.Mkuu tukikaa kimya kabisa na hawa watapata aortic aneurysms,
ππππCcm hata akiwa mmoja ni ibilisi tu, hata huyo Membe anaujua ushetani wao.
Najua, na ndiyo maana hawawezi kuwakolimba, Ila membe awe mwangalifu na hivi anautaka urais Yuko hatariniTofautisha kolimba na akina membe,makamba na kinana. Kolimba hakuwa askari. Makamba na kinana wrote askari
Ben Kiko, aliniambiwa " ..dogo Jamaa kauwawa Kwa sumu ilopakwa kwenye MIC tena cha ajabu hakuna Mwandishi wa habari alobaki ndani ya ukumbi kushuhudia kikao hicho na hata yeye alokuwa akimuwakilisha Mkurugenzi Mkuu RTD alitolewa nje ya ukumbi huo wa whitehouse, pale Dom....Eheee, tuletee sasa ile Kamati. Mimi nakumbuka nilikuwa Secondari nikisikikiza BBC NA DOCHOWERE nikapata hii Habari. Enzi hizo nafikiri Mrema ndio alikuwa yupo juu hatariiii. Miaka ya 90s. Leteni wengine tuweke record tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kusema nini kwa kutuletea hadithi ya Kolimba?Habari wakuu,
Wakati kolimba alipotoa kauli ya kwamba CCM imepoteza dira aliitwa na kamati kuu ya CCM na mwisho wa yote tulikuja kuambiwa alikuwa na aneurysm ambayo ilipasuka tumboni baada ya presha kupanda baada ya hapo kilichotokea wote tulisema RIP.
Sasa naomba tujikumbushe waliokuwepo kwenye kamati kuu Ile ya kolimba, Mimi nitaanza kwa kuwataja baadhi ya wajumbe wa wakati ule ili kuweka kumbukumbu vizuri na tuwe na calculated guess ya kitakachotokea kwenye kamati kuu hii iliyowaita kinana, makamba na membe
1. Mkapa
2. Mangula etc
3.
4.
etc
Mtoa hoja anamaanisha kamati ile iliyoketi kwa korimba 1994 kama sikosei.Mkapa hayupo kamati kuu