Kumbukizi :Mwanafunzi wa Shule ya Kikatoliki amuua mwalimu kwa kumchoma kisu darasani.


MAFUNDISHO YA KISHETWANI HAYA.
 
Unafahamu context yake? alikuwa mazingira gani? au unarukiarukia tu vitabu usivovielewa?

Maana YAKE..


Tena ipokeeni chapeo ya wokovu na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu.

—WAEFESO 6:17
 
Wewe umeshapuuzwa tokea zamani hakuna mtu mwenye muda wa kujibu mashudu yako.Nafurahi kuona Waislamu humu wameanza kuelewa na kupuuza tu ,hiyo ni hatua nzuri sana kwani majadiliano na watu dizaini yako hayana afya kabisa.

Majini
 
Hakuna kitu kama Mungu.

Kuna miung zaidi ya 3000.
Kila jamii huwa inajinadi kuwa Mungu/miungu yake ni ya kweli.

Huyu Mungu unayemuabudu huku, nkienda kwenye jamii zingine nako anakuwa kwenye list ya "miungu wengine"

Mtauana bure tu.

 
Huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…