Kumbukizi :Mwanafunzi wa Shule ya Kikatoliki amuua mwalimu kwa kumchoma kisu darasani.

Kumbukizi :Mwanafunzi wa Shule ya Kikatoliki amuua mwalimu kwa kumchoma kisu darasani.

Waislamu wanafanya unafiki au hawajui mafundisho ya Allah

Allah kasema
5;51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki...... 9;23. Enyi mlio amini! Msiwafanye baba zenu na ndugu zenu kuwa vipenzi vyenu ikiwa wanastahabu ukafiri kuliko Imani....

MAFUNDISHO YA KISHETWANI HAYA.
 
Wewe umeshapuuzwa tokea zamani hakuna mtu mwenye muda wa kujibu mashudu yako.Nafurahi kuona Waislamu humu wameanza kuelewa na kupuuza tu ,hiyo ni hatua nzuri sana kwani majadiliano na watu dizaini yako hayana afya kabisa.

Majini
 
Watu wako tayari kufa wakitetea hizi dini za kuletewa na watawala wetu. Dini zenyewe zinakinzana huku kila moja ikidai yenyewe ndiyo ya kweli. Huku bado kuna mabilioni ya Wabudha, Washinto na wengineo...nao wanapambana kivyao.

Kwamba eti Mungu Ataokoa watu wa dini moja tu na wengine wote ni motoni. Ni Mungu gani wa aina hiyo?

Jambo hili huwa linanishangaza sana!
Hakuna kitu kama Mungu.

Kuna miung zaidi ya 3000.
Kila jamii huwa inajinadi kuwa Mungu/miungu yake ni ya kweli.

Huyu Mungu unayemuabudu huku, nkienda kwenye jamii zingine nako anakuwa kwenye list ya "miungu wengine"

Mtauana bure tu.
_20230723_073950.JPG
_20230704_052940.JPG

_20230704_052719.JPG
 
Kunaondoa vipi uhalisia wa tukio mbona Nyerere day kila mwaka inaadhimishwa ?

Nilikuwa sina bando na nikapuuza sasa nimeona umuhimu wa kuweka kwa sababu Jf idadi ya wapuuzi waiotumia vizuri akili zao humu imeongezeka kwa kasi. Watu hao ni wale waliokosa uadilifu katika kauli zao.
Huna akili
 
Back
Top Bottom