Kumbukizi ya miaka 20 ya Moses Nnauye imetegua vitendawili vingi

Wakati Sukuma Gan wanapukutishwa, jiulize wewe na uzao wako mtafaidika vipi akina Nape na January wakiwa wanakula keki ya taifa?
Asee siku hizi JF imevamiwa na watoto wengine ID za zamani lakini michango yao kama ushabiki wa Alikiba na Diamond. Eti sukuma gang wakome nchi ina watu wazima wenye akili timamu zaidi ya mil 10 then watu wanashabikia circle ya watu wasiozidi 1000 wanajiona wajanja. Mbaya zaidi unakuta kundi analoshabikia mtu hawamjui na hana direct benefits endapo watashika madaraka
 
Huwa nasikitika sana nionapo mtu mwenye akili timamu anapoacha kufikiria maslahi mapana ya nchi hii; badala yake anasifia na kushangilia siasa za hovyo as if hili ni jambo jepesi au anaweka ushabiki kama wa mpira.
 
Huwa nasikitika sana nionapo mtu mwenye akili timamu anapoacha kufikiria maslahi mapana ya nchi hii; badala yake anasifia na kushangilia siasa za hovyo as if hili ni jambo jepesi au anaweka ushabiki kama wa mpira.
 
What do we say to the god of death? (Not today)
 
Sisi Sukuma Gang hatutakubali kabisa lazima turudi ulingoni tena, afe beki afe kipa,ujinga wakati wa kwenda tu,tumeshajua kila kitu walichofanya hawa Msoga Gang.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Tatizo mnatumia maguvu ya Kisukuma wenzenu wamewekeza kwenye akili na mipango madhubuti ya muda mrefu. Kamwe hamtawaweza mpaka mshapigwa bao. Ushauri wangu if you can't defeat them join them.
 
Tatizo mnatumia maguvu ya Kisukuma wenzenu wamewekeza kwenye akili na mipango madhubuti ya muda mrefu. Kamwe hamtawaweza mpaka mshapigwa bao. Ushauri wangu if you can't defeat them join them.
Mnajidanganya, kabla ya 2025 tutakuwa tumesharudisha himaya yetu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kama baba yako ni fundi viatu, akakuandaa kuwa fundi viatu, ukawa fundi viatu wenye viatu watakusifia kweli...." Yaani fundi kama baba yake"

Hata sasa kuna watu wanaandaliwa na system kuwa raisi wa JMT 2035-2045. Sasa wewe mtoto wa fundi cherehani kaa hapo ukijifunza cherehani ukifikiri katiba ndo itakupa nafasi ya kugombea uraisi sababu wewe ni Mtanzania. Hii ni nchi sio kikoba.
 
Katiba mpya iliyo thabiti ndio itatoa fursa sawa hata kwa mtoto wa muuza vitumbua kupenya hadi katika meza kuu yenye keki ya taifa.
Vingenevyo ni maumivu tu.

Bado haitafua dafu
Hao watu waone ivo ivo
Kachemka JPM sembuse Katiba ambayo ni makaratasi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakati Sukuma Gan wanapukutishwa, jiulize wewe na uzao wako mtafaidika vipi akina Nape na January wakiwa wanakula keki ya taifa?
Kiroho changu tu kitasuuzika. Maana sukuma gang mlijawa na maneno ya kifedhuli, inda na ubaladhuli
 
Uzi hai kwa miaka 30 ijayo
 
Point of correction.
JK ametoka jeshini akiwa ni Luteni kanali na sio luteni.
Kuna tofauti kubwa kwa rank kati ya luteni na luteni kanali.
Jeshini kwa maafisi rank ya kwanza ya kuingia ni
Luteni Usu
Luteni
Kateni
Meja
Luteni Kanali
Kanali then vinaanza vyeo vya kijenerali
Brig. Jenerali
Meja Jenerali
Luteni Jenerali, na cheo cha juu kabisa ni
Jenerali ambae mara nyingi pia ndio Mkuu wa Majeshi (Chief of Defense Forces)

Ni vema kwa lengo la kuwa na uelewa wa pamoja, ikumbukwe rank aliyofikia JK sio ilikuwa juu ukimlinganisha na mzee Makamba.
 
Shukran
 
ni mimi tu au? maana waliohudhudria hafla hii mbona naona kama wamechaguana chaguana, kuna kundi silioni kama limetuma mwakilishi.
 
Wakati Sukuma Gan wanapukutishwa, jiulize wewe na uzao wako mtafaidika vipi akina Nape na January wakiwa wanakula keki ya taifa?
Wakati wa Mwinyi na Kikwete sisi wazee shamba na biashara tulifaidi sana tu.Kipindi cha Kikwete mtu ulikuwa ukilima zako ekari 2 tu za zao lolote,ulikuwa unapiga pesa maana bei sokoni ilikuwa vizuri.
Lakini tawala zingine na hiyo ya Magu,kila kitu kikafa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nitumie kiingereza ili uelewe namaanisha nini. I meant you feel happy to be defiled. Kikwete, and co are desecrating our country yet we have people like you who feel the sweetness of their acts! What a shame!
Sidhani kama kuna mtu aliyeinajisi nchi kama Magufuli...
 
Labda km zenj si sehem ya nchi hii,lkn picha tayr ishachoreka huko na ilifanywa kimkakati si kwa baht nasib
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…