James Gatz
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 301
- 319
Tujifunze hapa kuwa kutukanatukana watu sio poa. Haijalishi unayemtukana ni raia wa kawaida (kama Mwamwindi) au kiongozi (kama Ditopile)Hahahaaaa nasikia yule dereva alimporomoshea Mitusi Ditopile ndy maana alimshoot
Tungeipata pia hii simulizi ya Kisoky ingekuwa poa sanaHili lipo na linatokana na Kleruu mkristu mlutheri mchaga wa Mwika Marangu aliwezaje kuipa kisogo siku ya Krisimasi huku familia yake ikiandaa mapochopocho ya sikukuu! Mkewe na watoto hawakujua baba ameenda wapi, hakuaga na hakutaka ulinzi japokuwa miaka hiyo hawakuwa na ulinzi wa maana.
Nirudi kwa mzee Kisoky aliyetoka kwenye udc, huyu na alifanya alichofanya Mwamwindi, alimpiga risasi na kumuua mkewe dogodogo ukiacha mke wa kwanza, hakuchukuliwa hatua yoyote.
Mhindi wa bima, huyu alimuua mkewe akamuweka ndani ya gari na kuiporomosha kwenye milima ya Likumburu*(sic), jina nimelihifadhi.
Uongozi Wetu na Hatma ya TanzaniaAkimuelezea tena Kawawa kwa uvumilivu huo Nyerere kwny Kitabu chake cha Siasa yetu na Hatma ya Tanzania anasema 'Hutokea mara chache sana Mungu kuumba watu wa roho kama ya Kawawa' maneno haya ukiyatafakari utajua Kawawa alibebeshwa vipi mizigo ya lawama
Umeandika kwa hisia mtu anaweza akadhani kuwa wewe ni Maggid Mjengwa mwenyewe, au japo mtu wake wa karibu sanaKumbukizi nzuri ila umemkata ndugu,
mjengwamajjid hapa yuko huko ndio kwanza yuko kati ya investigation report ya huyohuyo Mwamwindi na kakaa sana huko.
Alikua anaandaa kitabu chake cha history ya huyo jamaa na Dr kleruu.
Mi nimekaa huko
Hanidanganyi mtu kitu.
Sasa tungempa nafasi japo mjengwa auze kitabu chake.
Hajatoa story yote tumeijua.
Sasa si tunaharibu ugali wake?
Hii story ungeleta zamani hakuna ambae angeuliza.
Lakini now,?huyu mwandishi majjid yuko chimbo ndio anafukunyua mambo we ushaweka hapa.
Tuwe tunafikiriana.
Sawa kbsKwa maelezo hayo, Dk. Klerru alikuwa ni jamii ya kina makonda na sabaya.
Kampunj za kubeti unazionea tu wala hazipromote uvivu ila zinapromote free market economy coz huwez kubet kama Huna hela na ili upate hela ni lazima uitafute.Kwa sababu nachukia uvivu na wanaopromote uvivu, hasa kampuni za betting na hizo sera za kijamaa, yaani wengine wasafishe mapori we uje ulime tu, na mapori bado yamejaa, kwanini wasiende kusafisha?
Betting ni kazi? Kama ni kazi, inazalisha bidhaa / huduma ipi?Kampunj za kubeti unazionea tu wala hazipromote uvivu ila zinapromote free market economy coz huwez kubet kama Huna hela na ili upate hela ni lazima uitafute.
Wale wadau wa kubet lazima tukupinge kwa nguvu kwa hoja hiyo.
Unajichanganya tuu naona, na akili kama zako ndio maana hatuna umeme wala maji na Hospitals zetu ni za ovyo kabisa, Acha watu wafanye kazi wamiliki hayo makampuni ya umeme na mahospitali, serikali ikusanye Kodi na kusimamia haki na Sheria zilizopo ili biashara na uzalishaji viende vizuriHebu basi tueleweshe zaidi angalau tukuelewe. Maana naona unatetea kitu, unatuona tuko gizani lakini lakini kutupa mwanga hata kidogo hutaki.
Uchumi unatakiwa uwe wazi na wenye ushindani. Watu wahangaike kutafuta Mali kwa njia halali.
Serikali unakuja tu kuweka mipaka na kusimamia. Vitu kama umeme, maji, bara bara, hospitali hazitakiwi kuwa binafsi. Au kwa ajili ya faida.
Huo ndio uchumi ulikuepo mwanzo na ambao baba etu. Aliuvurugu.
Kwa msiojua, Rashid Mfaume Kawawa akiwa waziri mkuu wakati huo alikwenda Kyela Mbeya, baada ya kufika huko akaamuru kufunga maduka binafsi ili wananchi wafungue maduka ya ushirika! Vijana wa Kyela wa wakati huo hawakukubali wakakusanya mawe na kumpopoa Rashid, Nyerere akamwambia Rashid sikukutuma ufunge maduka ulitakiwa ufungue maduka ya ushirika halafu hayo ya binafsi yangejifunga yenyewe.
Ujamaa unaendeshwa na sera za uporaji(looting) kutoka kwa walio nacho kwenda kwa wasio nacho kwa dhana ya kuleta usawa kwenye umiliki wa mali katika jamii(egalitarian distribution of wealth) ambapo kwa nchi kama Tanzania ilikuwa ni sawa na kuwafanya watu wote kuwa maskini.
Kwa sababu za chuki za kijima, sera za uporaji zinachukua kipaumbele juu ya malengo ya muda mrefu ambayo hata hivyo hayana tija kwenye maendeleo ya binadamu zaidi ya kuridhisha nafsi(ego) za waasisi na watekelezaji vipofu wa hii dhana.
“From each according to his ability, to each according to his needs”.
Absurd!
Ye aendelee tu kuandaa kitabu, kila siku wasomaji wapya na wenye kutaka kujua kilichotokea kwa kleruu na mwamwindi wanaibuka,Kumbukizi nzuri ila umemkata ndugu,
mjengwamajjid hapa yuko huko ndio kwanza yuko kati ya investigation report ya huyohuyo Mwamwindi na kakaa sana huko.
Alikua anaandaa kitabu chake cha history ya huyo jamaa na Dr kleruu.
Mi nimekaa huko
Hanidanganyi mtu kitu.
Sasa tungempa nafasi japo mjengwa auze kitabu chake.
Hajatoa story yote tumeijua.
Sasa si tunaharibu ugali wake?
Hii story ungeleta zamani hakuna ambae angeuliza.
Lakini now,?huyu mwandishi majjid yuko chimbo ndio anafukunyua mambo we ushaweka hapa.
Tuwe tunafikiriana.
Acha ujinga basi, kazi sio lazima izalishe bidhaa au huduma,Betting ni kazi? Kama ni kazi, inazalisha bidhaa / huduma ipi?
Maana kazi ni lazima izalishe kimoja wapo (bidhaa au huduma).