Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,584
Mwambieni Kikwete hii kitu inaenda kutokea very soon huko Ndundu na Malamba, Mbeya
Ujamaa ni uchawi wa maendeleo kwa wananchi, haiwezekani leo hii mnakuja kutupora zaidi ya hekari 500 kiholela kwa ajili ya ujenzi wa chuo, ina maana Tanzania ardhi haina thamani?
Hii nchi naichukia kinoma!
Ujamaa ni uchawi wa maendeleo kwa wananchi, haiwezekani leo hii mnakuja kutupora zaidi ya hekari 500 kiholela kwa ajili ya ujenzi wa chuo, ina maana Tanzania ardhi haina thamani?
Hii nchi naichukia kinoma!