Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,584
Shikamoo Babu, hivi kwasasa una miaka mingapi?JOHN CRABLE(maarufu Crable) alikuwa headmaster na makazi yake yalikuwa hapohapo shuleni pamoja na walimu wote.
Elimu haiondoi tabia ya asili.Bora ya Makonda na Sabaya hawakuwa na shule
Huyu alikuwa na PhD tena ya mambo ya Siasa akashindwa kuitumia kufanikisha malengo ya kisiasa kwa njia za busara
Mie nazungumzia tabia, alichokifanya ni kama makonda kuvamia clouds, huwezi kwenda kumkejeli mtu namna ile, wote ni wale wale tu.Hapana. Ni tofauti kama mbingu na ardhi. Dr Kleruu alikuwa muumini wa ujamaa na aliuawa kwa kusimamia alichokiamini. Makonda na Sabaya hawa ni opportunists, wanafiki, wanasio na imani yoyote bali kujikweza na kujinufaisha wao.
Hata Mimi nilisikia kama wewe mkuu lkn kwasababu sina uhakika wa asilimia hata 50 ndy maana sijauweka hapaOne of the best "atikalis" za historia kuwahi kuandikwa hapa JF. Imeandikwa kisomi kwa kuweka facts zikiwa na sources of origin na ushahidi. Mimi nimejifunza yafuatayo
1. Serikali ya awamu ya kwanza ilikua ya mkono wa chuma
2. Serikali ya awamu ya kwanza ilikua na kiasi fulani (japo kidogo sana) cha double standards(angalia kusainiwa haraka kwa hati ya kunyongwa ya Mwamwindi)
3. Kujipendekeza kwa viongozi kwa Rais kulianza awamu ya kwanza
4. Kwa namna nyingine Ujamaa ni kulazimisha watu wawe masikini
5. Wanasiasa kufokea wasaidizi wao hadharani ili kupata political mileage ilianza awamu ya kwanza na ikakolezwa awamu ya tano
Swali langu ni moja tu. Kuna hadithi mitaani kwamba Dr Cleruu alikua anatuhumiwa kutoka kimapenzi na mojawapo ya wake za Mwamwindi. Najua hukupata ushahidi wa hilo ndio maana hukuandika humu, Je wewe umeshawahi kulisikia hilo na nini maoni yako?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kwa maelezo hayo, Dk. Klerru alikuwa ni jamii ya kina makonda na sabaya.
Uko sahihi kiongozi sahihi kabisaBaada ya hili tukio hadi kunyongwa kwa huyu bwana, Isimani sasa ni kama ilipata laana tokea hapo, kwa sababu ninapozungumza isimani ni moja ya sehemu ambazo huwa zinakumbwa na ukosefu mkubwa wa chakula kila mwaka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lukuvi ndy mbunge wao wa maisha hang"oki kuleHistoria nzuri hongera mwandishi, Ismani si ndio kwa kina Lukuvi?
Na nimchawi wa kufa mtu, pale mpaka akuendorse mwenyewe kama ilivyo kwa wale wa kongwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lukuvi ndy mbunge wao wa maisha hang"oki kule
Hahahaaaa nasikia yule dereva alimporomoshea Mitusi Ditopile ndy maana alimshootDitopile yeye alimuua dereva daladala, nae tumuweke kwenye kundi la mashujaa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo RC alikua mkuda sana namfata mtu kwake afu anamwita mbwa mi mwenyewe nakumwaga mavi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Na nimchawi wa kufa mtu, pale mpaka akuendorse mwenyewe kama ilivyo kwa wale wa kongwa
Ndiyo nikakuambia siyo ''wale wale''. Wote walifanya ubaya lakini kwa malengo tofauti.Mie nazungumzia tabia, alichokifanya ni kama makonda kuvamia clouds, huwezi kwenda kumkejeli mtu namna ile, wote ni wale wale tu.
Mkuu unawajibu mazuzu wa nini?Ditopile kiburi cha madaraka hapo hakuna ushuja wowote. Pia tukio Mwamwindi huwezi kulilinganisha na la Ditopile ni scenario mbili tofauti.
27 going 28 probably.Shikamoo Babu, hivi kwasasa una miaka mingapi?
Kila kitu ukichukulia serious utakonda bureMkuu unawajibu mazuzu wa nini?
Hili lipo na linatokana na Kleruu mkristu mlutheri mchaga wa Mwika Marangu aliwezaje kuipa kisogo siku ya Krisimasi huku familia yake ikiandaa mapochopocho ya sikukuu! Mkewe na watoto hawakujua baba ameenda wapi, hakuaga na hakutaka ulinzi japokuwa miaka hiyo hawakuwa na ulinzi wa maana.One of the best "atikalis" za historia kuwahi kuandikwa hapa JF. Imeandikwa kisomi kwa kuweka facts zikiwa na sources of origin na ushahidi. Mimi nimejifunza yafuatayo
1. Serikali ya awamu ya kwanza ilikua ya mkono wa chuma
2. Serikali ya awamu ya kwanza ilikua na kiasi fulani (japo kidogo sana) cha double standards(angalia kusainiwa haraka kwa hati ya kunyongwa ya Mwamwindi)
3. Kujipendekeza kwa viongozi kwa Rais kulianza awamu ya kwanza
4. Kwa namna nyingine Ujamaa ni kulazimisha watu wawe masikini
5. Wanasiasa kufokea wasaidizi wao hadharani ili kupata political mileage ilianza awamu ya kwanza na ikakolezwa awamu ya tano
Swali langu ni moja tu. Kuna hadithi mitaani kwamba Dr Cleruu alikua anatuhumiwa kutoka kimapenzi na mojawapo ya wake za Mwamwindi. Najua hukupata ushahidi wa hilo ndio maana hukuandika humu, Je wewe umeshawahi kulisikia hilo na nini maoni yako?
Aisee!!! Ushahidi wa kimazingira unafanya fununu hizi ziendelee kupata nguvu. Naona hata aliyekua RPC baada ya kutoa ushahidi kama shahidi wa Jamhuri alirudi tena mahakamani kua shahidi wa uteteziHili lipo na linatokana na Kleruu mkristu mlutheri mchaga wa Mwika Marangu aliwezaje kuipa kisogo siku ya Krisimasi huku familia yake ikiandaa mapochopocho ya sikukuu! Mkewe na watoto hawakujua baba ameenda wapi, hakuaga na hakutaka ulinzi japokuwa miaka hiyo hawakuwa na ulinzi wa maana.
Nirudi kwa mzee Kisoky aliyetoka kwenye udc, huyu na alifanya alichofanya Mwamwindi, alimpiga risasi na kumuua mkewe dogodogo ukiacha mke wa kwanza, hakuchukuliwa hatua yoyote.
Mhindi wa bima, huyu alimuua mkewe akamuweka ndani ya gari na kuiporomosha kwenye milima ya Likumburu*(sic), jina nimelihifadhi.