Kumbukizi ya Nyerere: Familia ya Mwalimu Nyerere yawataka wasanii kuacha kutumia jina la Baba wa Taifa kama ubin wao

Kuna watu wanaitwa akina Pili Magufuli, ...trump, ....biden nk. Na wala sio watoto wao wala hawana vinasaba.
Kuitwa jina la kiongozi fulani ni heshima kwa hao viongozi.
 
Kweli ni kosa kisheria kutumia jina la mtu pasipo na izini
 
Kabisa atunze heshima ya mwalimu, kwa nini usitumie

jina la ukoo wako, yani haoni fahari ya ukoo wake? Kwa nini?
 
Ni aibu kufikia wenye jina wanakuambia uache kulitumia.
 
Madaraka labda hajui kuwa Tanzania hakuna jina linalozuiwa mtu kujiita.

Mimi naweza kuamua kujiita Jitu Jiwe kama (Given names) si lazima Jiwe liwe ni surname.

Sasa Steve Nyerere kaamua kujiita Steve Nyerere kwa nini hutaki ajiite anavyotaka yeye?

Hakuna mahali Steve Nyerere kajiita mtoto wa Nyerere
 
Ukiona amekosea kulilinda jina la babake kutumika kiholela na kuwa hana haki hiyo basi nawe badili jina la babako kisha itangazie jamii kuwa wewe hutotumia jina la babako mzazi uuone mtoto wa wanaukoo!
 
Ujumbe wako umefika kesho simu haipatikani kuanzia Asubuhi mpaka jioni mpaka waje na land rover za Arusha 😁
 
Hivi unajua hata hiyo Elsa Marie ni jina la mtu huko liliko toka
Inawezekana.
Lakini huyu steve mangere sijui steve nani alianza kutumia jina la nyerere wakati anafanya usanii wa kuigiza sauti ya nyerere. Hata sasa akiongea anajifanya anaongea kama mwalimu nyerere.
Pia kawarithisha watoto wake nao pia wanatumia ubini wa nyerere kwenye mitandao ya kijamii.
 
Hujawahi kuona watu wenye ukoo tofauti lakn wana majina yanafanana kama Massawe Mushi etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…