Kumbukumbu ya Hayati Magufuli isiwe sikukuu ya kitaifa, ifanywe na CCM

Ni kweli alimuua mama yako. Nasikia mama yako alikuwa anauza madawa ya kulevya maeneo ya mbezi beach au vipi?
Sasa muuza madawa ya kupevya ndo Hana haki ya kuishi. Nani alimpa madaraka jpm ya kutoa uhai wa mtu kisa anauza madawa ya kupevya. Ndo maana ghadhabu yamungu ilimshukia Kama mwewe na akamfuta kwenye uso wa dunia maana ingekuwa vilio na kusaga meno
 
Mimi sio CCM ila nitafurahi tukiwa na Magufuli national day.
Lile jembe nalikubali mpaka kesho.
Naunga mkono ikizingatiwa pia jinsi alivyoliongoza Taifa vema kipindi cha corona! Kuna mataifa yalidondoka kabisa kiuchumi hadsi leo kutokana na walivyoshughu;lika na corona! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe!
 
Mimi sio CCM ila nitafurahi tukiwa na Magufuli national day.
Lile jembe nalikubali mpaka kesho.
Kijana kumbuka hii ni JF na inatunza kumbukumbu. Uchawa wako haufichiki kirahisi namna hiyo. Hizo akili mwisho wake mlango wa kutokea ofisi ya CCM. Wadanganye watotot wenzio.
 
Kijana kumbuka hii ni JF na inatunza kumbukumbu. Uchawa wako haufichiki kirahisi namna hiyo. Hizo akili mwisho wake mlango wa kutokea ofisi ya CCM. Wadanganye watotot wenzio.
Hili povu ni kwa sabàbu mimi namkubali Magufuli?
 
Mtapinga sana lakini tayari tumeshajenga Makumbusho yake hapo Chato. Hatuwasikilizi wenye vyeti fake na mafisadi tunajua aliwanyoosha sana hamuwezi kumkubali kwa kuwa aliwazuia ulaji wenu wa kiwizi.
Hapo kwenye vyeti weka nukta tuongeze idadi⛷️⛷️
 
Yule mzee alikuwa na roho mbaya Sana kwakweli,. Nikikumbuka fedha za wale wahanga wa kagera,waliovunjiwa nyumba kimara, na mengine mengi,hafai hata kukumbukwa kabisa
 
Naunga mkono hoja. Tena aenziwe na wanaccm wa Chato pekee siyo wanaccm wa nchi nzima hadi Mtama na Bumbuli.

Heil Magufuli!
imhotep
 
Mtapinga sana lakini tayari tumeshajenga Makumbusho yake hapo Chato. Hatuwasikilizi wenye vyeti fake na mafisadi tunajua aliwanyoosha sana hamuwezi kumkubali kwa kuwa aliwazuia ulaji wenu wa kiwizi.
Sasa Yuko wapi? Mungu kamfykelea mbali. Sasa hivi ni Mkuu wa mashetani.

Mpaka leo wanaishi vipi au ni wewe unawalisha? Tunamtaka Been na Azron wauwaji wakubwa.
 
Shujaa wa Afrika, baba wa Uchumi wa Tanzania. 🙌
 
Yule mzee alikuwa na roho mbaya Sana kwakweli,. Nikikumbuka fedha za wale wahanga wa kagera,waliovunjiwa nyumba kimara, na mengine mengi,hafai hata kukumbukwa kabisa
Ndugu usinikumbushe ya mbezi. Yaani niliona Kama kipindi chake kilikuwa na mkosi. Watu wengi Sana walirudi nyuma na wengi walikufa kwa kukosa matumaoni.

Wale watoto wazazi wao waliovunjowa nyumba jinsi walovyohangaika ile ni sumu kwa ccm.

Aliomba kitengo Cha kusimamia hakujua anamkejeli mungu. Alisema watanzania watamkumbuka ni wangapi watamkumbuka Leo zaidi ya kudai watu wao waliotekwa na waliopotea.

Hakuwa kiongozi alikuwa muuwaji.
 

Mwisho wa siku Taifa litakapokuja kuwa na viongozi kama 180 au 360 tunakuwa na siku 360 za sikukuu, hamna kufanya kazi kila siku ni sikukuu!! Huu ni upumbavu!!!

Heshima ya sikukuu pekee iende kwa Nyerere na Karume kama waasisi wa Taifa la Tanzania inatosha.

Wengine tutaendelea kuwakumbuka kwa mazuri yao!!

Ina maana Magufuli alifanya kazi kubwa kuliko watangulizi wake Mkapa na Kikwete!! ?
 
Mimi sio CCM ila nitafurahi tukiwa na Magufuli national day.
Lile jembe nalikubali mpaka kesho.
Sio Magufuli pekee aliyetoa mchango kwa taifa hili. Huo ni ubaguzi, marais wengine pia wana mchango mkubwa tu. Nyerere anapewa kwa sababu ni mwanzilishi na ni rais wa kwanza.
Wapo watu wengine ambao si marais walitoa mchango mkubwa tu hatuwezi na ma so and so days mengi...
Labda angekuwa amekufa kwa sababu ya kulitetea taifa sawa. Apewe mabarabara na mataasisi yanatosha
 
Hakuwa binadamu wa kawaida yule, satan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…