Kumbukumbu ya Hayati Magufuli isiwe sikukuu ya kitaifa, ifanywe na CCM

Umezidiwa hoja unarusha matusi[emoji2][emoji2][emoji2]
 

Kwani JPM alikuwa wa CCM pekee!?
 
Kikwete atengewe siku ya kukumbukwa kwa lipi?
 
Mimi sio CCM ila nitafurahi tukiwa na Magufuli national day.
Lile jembe nalikubali mpaka kesho.

Umeona ukisema ww ni CCM huu utetezi wako utakosa mashiko? Yule dhalimu akumbukwe na ccm maana ndio waliona faida yake.
 
Sasa Kama Karume anaenziwa pamoja na kuwa Dikteta,kwanini Magufuli asienziwe kitaifa?
Lamba ndimu za buku kwa Mangi hapo gengeni ili upunguze uchungu dhidi Marehemu Magufuli,nitalipa
 
Tatizo letu sisi watanzania au wengi wetu tunataka kubembelezwa na kupetiwa petiwa kama wanawake na watoto.

Hoja za mleta mada ni makundi madogo sana yalioathirika na uongozi wa Magufuli kati ya makundi mengi na uma kwa ujumla ambao faida yake inaonekana sio jana wala leo tu bali hata kesho na kesho kutwa.

Kama kiongozi wa china wakati ule mao Zedong angekua anabembeleza watu kama ambavyo wengi wetu tunavyo penda na kutamani, china isingekuwa hapa ilipo sasa.

Haja ya kuwepo kwa siku ya taifa ya Magufuli sio ya muhimu wala ya upekee ili kuoa wakati maana tunapoteza muda kwa mambo mengi yasiyo na faida, lakini kama taifa , nchi , na watu wote kwa ujumla wetu tunapaswa kujifunza katika mema ili ktmutenda mema zaidi na katika mabaya ili kutorudia mabaya.

Kama binadamu, Magufuli alikua na mapungufu yake mengi ya kiuongozi na pia alikua na mazuri yake, tena hayo mazuri yalikuwa ya mezidi ya walio wengi.

Hivyo badala kila siku kulaumu, kulaani, kutukana, kwaajili ya jana iliopita, ni bora tungejifunza walao moja positive litujenge kwaajili ya kesho inayo tukabili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…