Hii ajali na ile ya treni kule dodoma nadhani bado zinashikilia rekodi za juu hapa Tz.
Tena zote hizi zilisababishwa na uzembe.
Kwa bahati mbaya tangu niwe hai sijawahi kupanda treni wala meli sijui nitapata hisia gani nikija kupanda hivi vyombo😕:A S cry:
Wapo wanaodai ilikua kafara ya mkapa ctaki kuamin juu ya hilo
na kumbuka nilimpoteza mjomba Wang Aliamin abubakary kachwamba...mungu amulaze mahali pema peponi.. ameen
Ukimaanisha!?labda Tanganyika na siyo Tanzania..
najiulizaga mv bukoba kwanini ilitobolewa na kusababisha kuzama kabisa,sayansi gani ilitumika hapo..msaada[/QUOT
Ilitumika political science
Najiulizaga MV Bukoba kwanini ilitobolewa na kusababisha kuzama kabisa, Sayansi gani ilitumika hapo.
Msaada
sayansi ya maagizo ya wanasiasa,baada ya ushauri wa wataalamu,kama wanasiasa wanapoamua kutangaza umeme wa mgao kwetu utabaki historia,wakati wataalamu wenyewe wa tanesco wanajua bado hawajafikia hatua ya kumahakikishia mtanzania umeme wa mgao umefika mwisho,sayansi kama hizi za wanasiasa kila kitu siasa ndizo zilizotoboa mv bukoba na bado zinatoboa gurudumu la maisha ya mtanzania kila siku,asipoitumia kura yake mwakani vizuri hatazidi kuisoma namba za mataifa mengine yalomzungukA
yani wee ajuza wa kimatumbi siku iz badala ya kukuchukia nakupenda tu bure. Mtu mbea vitu vidogo vidogo kaa iv ni mwepes kugundua. Anyway u r still the most respected gt in here.= Najiuliza
yani wee ajuza wa kimatumbi siku iz badala ya kukuchukia nakupenda tu bure. Mtu mbea vitu vidogo vidogo kaa iv ni mwepes kugundua. Anyway u r still the most respected gt in here.
Najiulizaga MV Bukoba kwanini ilitobolewa na kusababisha kuzama kabisa, Sayansi gani ilitumika hapo.
Msaada