Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
1. Binti alikuwa mwanachuo, chuo flani Mkoani. Nimeenda kikazi ndo bado kijana miaka hiyo. Katika kupita pita town nikakutana naye kwenye duka moja la vinywaji. Nikamtamani nikaomba namba ya simu. Akanipa.

Baadaye tukawa tunachat na hatimaye nikamwambia kusudio langu na kumtaka aje tupate dinner jioni tuongee vizuri. Nlijua siku hiyo ngeosha bakora. Nikawa mfukoni nina tsh 40,000 ambayo nilijua ingetosha mlo na vinywaji.

Basi nikaenda eneo husika. Baadaye akaniambia nimwelekeze nimekaa wapi. Heeeehh..... Si kaja na wenzie wengine wawili. Kila mtu akaagiza chips kuku. Ambayo mpaka hao wao tu walikuwa wanatumia 27,000 na vinywaji beer Heineken kila mtu.

Nlianza hisi kizunguzungu.maana ni wazi ile 40,000 ilikuwa inaelekea kutotosha. Mimi nikaagiza chips mishkaki mitatu. Pale mshkaki mmoja tsh 2,000 nikaona hili sasa so.

Ikabidi nifanye kama naenda washroom.nikampigia dereva wa ofisini aniletee tsh 100,000 ntamrudishia kesho. Nikarudi ndani. Baada ya kama dk 20 dereva akapiga simu nikachukue pesa nikatoka nje nikachukua sasa nikiwa na kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya.

Yule dada alifanya uswahili ambao alikuja jutia baadaye. Maana katika wale marafiki zake mmoja alikuwa mkali kuliko yeye. Nikavumilia tu siku ile. Mpaka nlipokuja mla nikaanza kumweka sawa na mwenzie. Nikamla halafu nikakaa kwake. Yule dada alikuja gundua akaumia sana. Nlimwambia ni yeye aliniletea. I hope alijifunza kitu.

2. Hii ilitokea kwa dada mmoja. Nikamweka sawa akanikubalia na kuniambia lakini aliwahi kuzaa. Nikasema haina shida. Siku nimepanga naye appointment jumamosi lunch Mlimani City. Akaniambia atakuja anikute. Kweli nikafika muda muafaka.

Nimetulia akapiga simu niende mchukua. Nikamwelekeza nilipo akadai atapenda nikamchukue. Nikaenda kumbe anataka nimlipie Taxi. Zikanitoka 20,000 za Taxi maana ubaya wa mazingira yale huwezi hata bargain. Anashuka na watoto 4. Nikashtuka. Ila i held my breath. Akawaambia haya muamkieni uncle.

Wakaja nisalimia.... Nilikwazika sana.first appointment anawaleta na akina uncles tena? Tukaenda kaa samaki samaki...yeye amekazana kupiga picha kila tukio. Ndo tumekaa anitambulisha watoto wake. Nikamwambia sawa.vikaagizwa vyakula. Nika piga hesabu kichwani nikaona haya majanga.

Nikamwambia ngoja nikanunue vocha. Sikurudi na namba yake nili block. Niliona ni mambo ya kiswahili.

Dada au Kaka ni appointment gani worse uliwahi kutana nayo huwahi isahau?
 
Nikiwa 1St yr Chuo, kuna siku nilikua na appointment na mtu fulan, daaah tulipokutan kumbe kaja na rafiki zake, afu m1 wapo n mtu wa mtaan kwetu na pia n classmates wangu wa primary,

Nlijisikia vibayaaa sanaaa, sikuwa huru japo nilijikaza kukaa tyuuh palee, baada ya kuagana na kuondoka, nkamuambia kila mtu ashike 40 zake, na tufanye km hatujawahi kujuana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Cha ajabu sasa classmates ndo akaanza kunisumbua na yeye, pia nikamfungia kioo,, sitaki mazoea ya kupitiliza, uwiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
 
Nikiwa 1St yr Chuo, kuna siku nilikua na appointment na mtu fulan, daaah tulipokutan kumbe kaja na rafiki zake, afu m1 wapo n mtu wa mtaan kwetu na pia n classmates wangu wa primary,


Nlijisikia vibayaaa sanaaa, sikuwa huru japo nilijikaza kukaa tyuuh palee, baada ya kuagana na kuondoka, nkamuambia kila mtu ashike 40 zake, na tufanye km hatujawahi kujuana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Cha ajabu sasa classmates ndo akaanza kunisumbua na yeye, pia nikamfungia kioo,, sitaki mazoea ya kupitiliza, uwiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Uliogopa classmate atavujisha mchongo eh 😆
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Alikuwa kichaa nini?
 
Nikiwa 1St yr Chuo, kuna siku nilikua na appointment na mtu fulan, daaah tulipokutan kumbe kaja na rafiki zake, afu m1 wapo n mtu wa mtaan kwetu na pia n classmates wangu wa primary,


Nlijisikia vibayaaa sanaaa, sikuwa huru japo nilijikaza kukaa tyuuh palee, baada ya kuagana na kuondoka, nkamuambia kila mtu ashike 40 zake, na tufanye km hatujawahi kujuana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Cha ajabu sasa classmates ndo akaanza kunisumbua na yeye, pia nikamfungia kioo,, sitaki mazoea ya kupitiliza, uwiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hawa watu ambao huja na watu/mtu kwenye appointment shida ni nini? Kukosa kujiamini?
 
Nikiwa 1St yr Chuo, kuna siku nilikua na appointment na mtu fulan, daaah tulipokutan kumbe kaja na rafiki zake, afu m1 wapo n mtu wa mtaan kwetu na pia n classmates wangu wa primary,


Nlijisikia vibayaaa sanaaa, sikuwa huru japo nilijikaza kukaa tyuuh palee, baada ya kuagana na kuondoka, nkamuambia kila mtu ashike 40 zake, na tufanye km hatujawahi kujuana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Cha ajabu sasa classmates ndo akaanza kunisumbua na yeye, pia nikamfungia kioo,, sitaki mazoea ya kupitiliza, uwiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Aisee kwa comment hi leo ndio nimeamini wew Ni janaume aise chii

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Ha ha ha....🤣🤣🤣🤣 Labda alichanganyikiwa. Hakuamini angetoka na wewe....ungemsaidia kisaikolojia....
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mbavuu zanguu hahahahah!!
Alikua hajiamini kama angetoka nawewe huyo wadogo zangu sophy27 Lovelovie mje kutanua mapafu hukuuuu nimecheeeekaaaaa
 
Kipindi nipo Chuo siku hiyo kulikua na vimanyunyu nilitoka kwa mguu toka off-campus mpaka chuoni, mwendo kama dakika 15 hivi kumfuata mrembo na muda wote tunawasiliana na bibie.

Kufika namshtua nimefika anachungulia nje anaona vimanyunyu anasema hataweza kuja kuniona sababu ya mvua nywele zake zitaloa. Najaribu muelewesha lakini haelewi palepale nikamblock na kurudi zangu mdogo mdogo maghettoni, safari ya kurejea ilikua ndefu hiyo njia nzima nasonya na kutukana 😂😂😂
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom