Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Unajua tunafeli pale tunaposhindwa kuongea unapopanga kukutana na mtu unayehitaji jambo na yeye muulize utakuja mwenyewe au na wenzako Majibu yake yatakupa uwanja wa wewe kukubali aje nao au umkatalie ila vijana wengi wanaona kama kuuliza ni kujiweka daraja la chini.

Nakumbuka miaka ya nyuma nikiwa nipo chuo nilipanga kukutana na mwanamke mmoja na nilimuuliza kama atakuwa mwenyewe au na wenzake na akanijibu atakuwa mwenyewe nikamwambia sawa, basi kesho yake nikafika sehem ya makutano nikaendelea kupiga vinywaji alipofika alikuwa mwenyewe ila baada ya muda akaita rafiki zake wawili nikawakaribisha vizuri sikuwa vibaya mfukoni nikawahudumia wote vinywaji na chakula wakati tunaendelea kupata chakula stor za hapa na pale nikamgeuzia kibao nkamwambia mbele ya rafiki zake kulikua na maana gani ya mm kupanga kukutana na ww tuwe wawili alaf uite rafiki zako hakuwa na majibu ila kuna rafiki yake anaonekana ana akili sana akaniambia shemeji samahani hatukujua kama mliplan kuwa wawili maana hajatuambia na yeye ndio katuita akiwa njiani mm nkawaelezea mazingira yote jinsi tulivyopanga kukutana na wale rafiki zake wakamwambia pale pale hakukua na haja japo shemej katuhudumia vizur ila angekua mtu mwingne angetukimbia nikawaambia bas mm nshasuuza nafsi yangu siku nyingine unaplan kukutana na mtu ni vyema ukazingatia makubaliano akawa amejiskia vibaya akaanza kulia akatoka na mwenzake mmoja akabaki yule mwenye akili Nkaomba namba hakusita kunipa na akaniambia napenda mwanaume anaeweza kujieleza bila kujali ataonekana vipi mbele za wanawake bas next time nkamtoa huyo rafiki mtu akaja peke yake na nikabadili gia juu kwa juu mjinga akaachwa penzi likanoga kwa rafiki mtu na yule dada alinipenda kwakua niliweza kuongea ukweli na kuwa muwazi
 
Kuna date moja nliwahi aibika kinyama mpaka leo sielewi. Sijui nilirogwa....? Demu tumeenda onana sehemu ameagiza chakula na vinywaji... Demu mwenyewe mkali ila wa uswahilini. Basi nimekaa naye sijui hata niongee naye nini. Madini yote kichwani yameyayuka. Kila saa namwambia "niambie" anasema "aaah sina la kusema"

Nikikaa kidogo namwambia tena... Niambie..... Nikamwona anaboreka kwa hilo swali. Ila sielewi tu kwa nini ndo kauli inayotoka kila wakati.

Nikiwaza nimpe story gani nakuta kichwani empty kabisa. Nikamuuliza kama aliangalia match ya jana. Akang'aka "aaaah mi mpira wapi na wapi"

Basi nikawa naamka naenda jikoni kuwafokea wanachelewesha chakula...mara wa vinywaji akileta nasema si cha baridi sana....yaani siku ile network ilikuwa inakata sana....mpaka leo sielewi.

Yeye alikuwa cool tu. Majibu yake ya mkato. Yaani nlikuwa nimem bore sana maana sikuwa hata najielewa. Mtoto ametulia tu akaanza kuchezea simu yake tecno. Mi nang'aa ng'aa macho tu. Kikaja chakula tukala. Kimya kimya. Tumemaliza sina hata story moja. Akasema "basi mi naomba niende home"

Nikamwambia "sawa nimefulahi kukuona" yaani hata kuongea siku hiyo nilikuwa nakosea sana.. badala ya kusema nimefurahi. Nikaweka la.basi tumeamka namsindikiza nikamwambia "** upo flee kesho tena" akashtuka.... "Kheeeee" nikagundua nilitamka neno vibaya badala ya kusema kama nilisema **.

Hii kitu ilinidhalilisha sana.sielewi yule binti sijui aliniroga....nilipoachana naye ndo nikawa nakumbuka mistari kadhaa na stories ambazo ngempa. Sikumla. Mpaka miezi mingi baadaye tena nikamkuta sehemu nikamwimbisha sana na kumtaka anisamehe kipindi kile nilikuwa nimetoka msibani. Ndo akakubali nikaenda mla.ila alikuwa akiikumbuka ile date ananicheka sana. Akawa ananitania kuwa nlishtuka kumwona mtoto mrembo kama yeye sijawahi maishani....

Mpaka leo sielewi nlipatwa na nini.
😂😂😂Mafile yaliyayuka wahudumu Mnawatesa sana🤣🤣🤣
 
Eeeeeeh ankooo unakula winga peupee 🤣🤣
1. Binti alikuwa mwanachuo, chuo flani Mkoani. Nimeenda kikazi ndo bado kijana miaka hiyo. Katika kupita pita town nikakutana naye kwenye duka moja la vinywaji. Nikamtamani nikaomba namba ya simu. Akanipa.

Baadaye tukawa tunachat na hatimaye nikamwambia kusudio langu na kumtaka aje tupate dinner jioni tuongee vizuri. Nlijua siku hiyo ngeosha bakora. Nikawa mfukoni nina tsh 40,000 ambayo nilijua ingetosha mlo na vinywaji.

Basi nikaenda eneo husika. Baadaye akaniambia nimwelekeze nimekaa wapi. Heeeehh..... Si kaja na wenzie wengine wawili. Kila mtu akaagiza chips kuku. Ambayo mpaka hao wao tu walikuwa wanatumia 27,000 na vinywaji beer Heineken kila mtu.

Nlianza hisi kizunguzungu.maana ni wazi ile 40,000 ilikuwa inaelekea kutotosha. Mimi nikaagiza chips mishkaki mitatu. Pale mshkaki mmoja tsh 2,000 nikaona hili sasa so.

Ikabidi nifanye kama naenda washroom.nikampigia dereva wa ofisini aniletee tsh 100,000 ntamrudishia kesho. Nikarudi ndani. Baada ya kama dk 20 dereva akapiga simu nikachukue pesa nikatoka nje nikachukua sasa nikiwa na kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya.

Yule dada alifanya uswahili ambao alikuja jutia baadaye. Maana katika wale marafiki zake mmoja alikuwa mkali kuliko yeye. Nikavumilia tu siku ile. Mpaka nlipokuja mla nikaanza kumweka sawa na mwenzie. Nikamla halafu nikakaa kwake. Yule dada alikuja gundua akaumia sana. Nlimwambia ni yeye aliniletea. I hope alijifunza kitu.

2. Hii ilitokea kwa dada mmoja. Nikamweka sawa akanikubalia na kuniambia lakini aliwahi kuzaa. Nikasema haina shida. Siku nimepanga naye appointment jumamosi lunch Mlimani City. Akaniambia atakuja anikute. Kweli nikafika muda muafaka.

Nimetulia akapiga simu niende mchukua. Nikamwelekeza nilipo akadai atapenda nikamchukue. Nikaenda kumbe anataka nimlipie Taxi. Zikanitoka 20,000 za Taxi maana ubaya wa mazingira yale huwezi hata bargain. Anashuka na watoto 4. Nikashtuka. Ila i held my breath. Akawaambia haya muamkieni uncle.

Wakaja nisalimia.... Nilikwazika sana.first appointment anawaleta na akina uncles tena? Tukaenda kaa samaki samaki...yeye amekazana kupiga picha kila tukio. Ndo tumekaa anitambulisha watoto wake. Nikamwambia sawa.vikaagizwa vyakula. Nika piga hesabu kichwani nikaona haya majanga.

Nikamwambia ngoja nikanunue vocha. Sikurudi na namba yake nili block. Niliona ni mambo ya kiswahili.

Dada au Kaka ni appointment gani worse uliwahi kutana nayo huwahi isahau?
 
1. Binti alikuwa mwanachuo, chuo flani Mkoani. Nimeenda kikazi ndo bado kijana miaka hiyo. Katika kupita pita town nikakutana naye kwenye duka moja la vinywaji. Nikamtamani nikaomba namba ya simu. Akanipa.

Baadaye tukawa tunachat na hatimaye nikamwambia kusudio langu na kumtaka aje tupate dinner jioni tuongee vizuri. Nlijua siku hiyo ngeosha bakora. Nikawa mfukoni nina tsh 40,000 ambayo nilijua ingetosha mlo na vinywaji.

Basi nikaenda eneo husika. Baadaye akaniambia nimwelekeze nimekaa wapi. Heeeehh..... Si kaja na wenzie wengine wawili. Kila mtu akaagiza chips kuku. Ambayo mpaka hao wao tu walikuwa wanatumia 27,000 na vinywaji beer Heineken kila mtu.

Nlianza hisi kizunguzungu.maana ni wazi ile 40,000 ilikuwa inaelekea kutotosha. Mimi nikaagiza chips mishkaki mitatu. Pale mshkaki mmoja tsh 2,000 nikaona hili sasa so.

Ikabidi nifanye kama naenda washroom.nikampigia dereva wa ofisini aniletee tsh 100,000 ntamrudishia kesho. Nikarudi ndani. Baada ya kama dk 20 dereva akapiga simu nikachukue pesa nikatoka nje nikachukua sasa nikiwa na kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya.

Yule dada alifanya uswahili ambao alikuja jutia baadaye. Maana katika wale marafiki zake mmoja alikuwa mkali kuliko yeye. Nikavumilia tu siku ile. Mpaka nlipokuja mla nikaanza kumweka sawa na mwenzie. Nikamla halafu nikakaa kwake. Yule dada alikuja gundua akaumia sana. Nlimwambia ni yeye aliniletea. I hope alijifunza kitu.

2. Hii ilitokea kwa dada mmoja. Nikamweka sawa akanikubalia na kuniambia lakini aliwahi kuzaa. Nikasema haina shida. Siku nimepanga naye appointment jumamosi lunch Mlimani City. Akaniambia atakuja anikute. Kweli nikafika muda muafaka.

Nimetulia akapiga simu niende mchukua. Nikamwelekeza nilipo akadai atapenda nikamchukue. Nikaenda kumbe anataka nimlipie Taxi. Zikanitoka 20,000 za Taxi maana ubaya wa mazingira yale huwezi hata bargain. Anashuka na watoto 4. Nikashtuka. Ila i held my breath. Akawaambia haya muamkieni uncle.

Wakaja nisalimia.... Nilikwazika sana.first appointment anawaleta na akina uncles tena? Tukaenda kaa samaki samaki...yeye amekazana kupiga picha kila tukio. Ndo tumekaa anitambulisha watoto wake. Nikamwambia sawa.vikaagizwa vyakula. Nika piga hesabu kichwani nikaona haya majanga.

Nikamwambia ngoja nikanunue vocha. Sikurudi na namba yake nili block. Niliona ni mambo ya kiswahili.

Dada au Kaka ni appointment gani worse uliwahi kutana nayo huwahi isahau?
Mi nilichogundua, sometime Hawa mademu huja na wenzao kwenye first date Ili kukwepa wasisukumiwe square pipe tu
 
unajua tunafeli pale tunaposhindwa kuongea unapopanga kukutana na mtu unayehitaji jambo na yeye muulize utakuja mwenyewe au na wenzako Majibu yake yatakupa uwanja wa wewe kukubali aje nao au umkatalie ila vijana wengi wanaona kama kuuliza ni kujiweka daraja la chini.
Nakumbuka miaka ya nyuma nikiwa nipo chuo nilipanga kukutana na mwanamke mmoja na nilimuuliza kama atakuwa mwenyewe au na wenzake na akanijibu atakuwa mwenyewe nikamwambia sawa, basi kesho yake nikafika sehem ya makutano nikaendelea kupiga vinywaji alipofika alikuwa mwenyewe ila baada ya muda akaita rafiki zake wawili nikawakaribisha vizuri sikuwa vibaya mfukoni nikawahudumia wote vinywaji na chakula wakati tunaendelea kupata chakula stor za hapa na pale nikamgeuzia kibao nkamwambia mbele ya rafiki zake kulikua na maana gani ya mm kupanga kukutana na ww tuwe wawili alaf uite rafiki zako hakuwa na majibu ila kuna rafiki yake anaonekana ana akili sana akaniambia shemeji samahani hatukujua kama mliplan kuwa wawili maana hajatuambia na yeye ndio katuita akiwa njiani mm nkawaelezea mazingira yote jinsi tulivyopanga kukutana na wale rafiki zake wakamwambia pale pale hakukua na haja japo shemej katuhudumia vizur ila angekua mtu mwingne angetukimbia nikawaambia bas mm nshasuuza nafsi yangu siku nyingine unaplan kukutana na mtu ni vyema ukazingatia makubaliano akawa amejiskia vibaya akaanza kulia akatoka na mwenzake mmoja akabaki yule mwenye akili Nkaomba namba hakusita kunipa na akaniambia napenda mwanaume anaeweza kujieleza bila kujali ataonekana vipi mbele za wanawake bas next time nkamtoa huyo rafiki mtu akaja peke yake na nikabadili gia juu kwa juu mjinga akaachwa penzi likanoga kwa rafiki mtu na yule dada alinipenda kwakua niliweza kuongea ukweli na kuwa muwazi
Safi sana aisee....pia nimependa jinsi ulivyo muwazi. Ukapata na mdada mwenye akili.its good aisee.
 
😂😂😂Mafile yaliyayuka wahudumu Mnawatesa sana🤣🤣🤣
Sana....niligundua sometime wateja wanahamishia hasira au stress kwao. Wale wahudumu nliwaghasi sana. Bila sababu....na nilikuwa sikai nikatulia mezani...kumbe shida Files zote zimeliwa na Virus kichwani sina kitu so najibiziisha.
 
Sana....niligundua sometime wateja wanahamishia hasira au stress kwao. Wale wahudumu nliwaghasi sana. Bila sababu....na nilikuwa sikai nikatulia mezani...kumbe shida Files zote zimeliwa na Virus kichwani sina kitu so najibiziisha.
🤣🤣🤣🤣Sipati picha chumvi ingezid kidogo kwenye chakula ungehamia jikoni kabisa kupoteza mda😂😂
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Sorry kama itakua nje ya mada...

Tulikua sehem na rafiki,tumesimama tunapiga stori,akapita mdada wa matikiti jamaa akaagiza,alivyokua anatafuna na kulifyoza hadi kinyaa,ni mara ya pili nimemfanza akaninunia mwaka mzima...

Wapili huyu ni staff senior kabisa,anakula ovyo sijapata ona,anatafuna kama mbwa koko,
Nilimfanza akasema ameshazoea awezi badilika.

Watatu ni mdada mrembo hasa,
Nilikutana nae mjini ni binti wa chuo mwaka 3,niliomba namba,tuliongea mengi,kesho wake nikamwomba tutoke na marafiki zangu kwenye chakula cha jioni.

Mdada ni mzuri marafiki zangu wote walinipongeza....
Aibu ilipoanza,nilitegemea atakuwa msikilizaji,matokeo yake ye ndio mjuaji,kila mada anadaki anachangia,chakula kilipokuja alikua anatafuna kama mbuzi,na anatafuna uku anaongea #aibu, hatulii kila saa anaminyaminya simu,kashawazoea marafiki zangu kama wanafahamiana miaka 7 nyuma,yeye anaongea pumba wakati wote,hana hekima,simu yake haishi kuita kila bada ya dk5 na anapokelea hapo hapo,mara wachambane na mashoga zake,mara huyu bodaboda wangu ananipigia sijui anataka nini....

Ilikua aibu kuu.
 
Uzi pendwa kama hizi huwa zinatembea sana kuliko zile za kupinga tozo.

Nawasubiri wazee wa kutunga stori za uongo na kweli waje wavamie huu Uzi. Wanatunga sasa hivi.
@mpwayunguvillage Njoo huku
Za tozo zinakuwa eneo lake...utazikuta kule. We huwa unapinga tozo hata ukiwa kifuani pa demu wako au kama we ni Ke jamaa yako akiwa nyuma yako anakukamua unapinga tozo? Kila jambo na wakati wake...
 
😂😂😂kunawatu wanatafuna kama manyani🤣🤣
Sorry kama itakua nje ya mada...

Tulikua sehem na rafiki,tumesimama tunapiga stori,akapita mdada wa matikiti jamaa akaagiza,alivyokua anatafuna na kulifyoza hadi kinyaa,ni mara ya pili nimemfanza akaninunia mwaka mzima...

Wapili huyu ni staff senior kabisa,anakula ovyo sijapata ona,anatafuna kama mbwa koko,
Nilimfanza akasema ameshazoea awezi badilika.

Watatu ni mdada mrembo hasa,
Nilikutana nae mjini ni binti wa chuo mwaka 3,niliomba namba,tuliongea mengi,kesho wake nikamwomba tutoke na marafiki zangu kwenye chakula cha jioni.

Mdada ni mzuri marafiki zangu wote walinipongeza....
Aibu ilipoanza,nilitegemea atakuwa msikilizaji,matokeo yake ye ndio mjuaji,kila mada anadaki anachangia,chakula kilipokuja alikua anatafuna kama mbuzi,na anatafuna uku anaongea #aibu, hatulii kila saa anaminyaminya simu,kashawazoea marafiki zangu kama wanafahamiana miaka 7 nyuma,yeye anaongea pumba wakati wote,hana hekima,simu yake haishi kuita kila bada ya dk5 na anapokelea hapo hapo,mara wachambane na mashoga zake,mara huyu bodaboda wangu ananipigia sijui anataka nini....

Ilikua aibu kuu.
 
1. Binti alikuwa mwanachuo, chuo flani Mkoani. Nimeenda kikazi ndo bado kijana miaka hiyo. Katika kupita pita town nikakutana naye kwenye duka moja la vinywaji. Nikamtamani nikaomba namba ya simu. Akanipa.

Baadaye tukawa tunachat na hatimaye nikamwambia kusudio langu na kumtaka aje tupate dinner jioni tuongee vizuri. Nlijua siku hiyo ngeosha bakora. Nikawa mfukoni nina tsh 40,000 ambayo nilijua ingetosha mlo na vinywaji.

Basi nikaenda eneo husika. Baadaye akaniambia nimwelekeze nimekaa wapi. Heeeehh..... Si kaja na wenzie wengine wawili. Kila mtu akaagiza chips kuku. Ambayo mpaka hao wao tu walikuwa wanatumia 27,000 na vinywaji beer Heineken kila mtu.

Nlianza hisi kizunguzungu.maana ni wazi ile 40,000 ilikuwa inaelekea kutotosha. Mimi nikaagiza chips mishkaki mitatu. Pale mshkaki mmoja tsh 2,000 nikaona hili sasa so.

Ikabidi nifanye kama naenda washroom.nikampigia dereva wa ofisini aniletee tsh 100,000 ntamrudishia kesho. Nikarudi ndani. Baada ya kama dk 20 dereva akapiga simu nikachukue pesa nikatoka nje nikachukua sasa nikiwa na kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya.

Yule dada alifanya uswahili ambao alikuja jutia baadaye. Maana katika wale marafiki zake mmoja alikuwa mkali kuliko yeye. Nikavumilia tu siku ile. Mpaka nlipokuja mla nikaanza kumweka sawa na mwenzie. Nikamla halafu nikakaa kwake. Yule dada alikuja gundua akaumia sana. Nlimwambia ni yeye aliniletea. I hope alijifunza kitu.

2. Hii ilitokea kwa dada mmoja. Nikamweka sawa akanikubalia na kuniambia lakini aliwahi kuzaa. Nikasema haina shida. Siku nimepanga naye appointment jumamosi lunch Mlimani City. Akaniambia atakuja anikute. Kweli nikafika muda muafaka.

Nimetulia akapiga simu niende mchukua. Nikamwelekeza nilipo akadai atapenda nikamchukue. Nikaenda kumbe anataka nimlipie Taxi. Zikanitoka 20,000 za Taxi maana ubaya wa mazingira yale huwezi hata bargain. Anashuka na watoto 4. Nikashtuka. Ila i held my breath. Akawaambia haya muamkieni uncle.

Wakaja nisalimia.... Nilikwazika sana.first appointment anawaleta na akina uncles tena? Tukaenda kaa samaki samaki...yeye amekazana kupiga picha kila tukio. Ndo tumekaa anitambulisha watoto wake. Nikamwambia sawa.vikaagizwa vyakula. Nika piga hesabu kichwani nikaona haya majanga.

Nikamwambia ngoja nikanunue vocha. Sikurudi na namba yake nili block. Niliona ni mambo ya kiswahili.

Dada au Kaka ni appointment gani worse uliwahi kutana nayo huwahi isahau?
Kasheshe
 
Nyingine ni miezi miwili ago nlienda Mkoa flani.basi nikamkumbuka binti mmoja ambaye tulikutana naye facebook toka mwaka 2009 tukawa friends. Kumbe baadaye akawa amepangwa kikazi huo mkoa.

Basi nilipoenda nikamweka sawa....nikambembeleza sana tuonane anipe game. Bint alikuwa anaonekana mrembo sana. Yaani ukicheck picha zake...hatari sana.

Basi siku hiyo akakubali tukale nyama choma sehemu. Nikaenda akaja hiyo sehemu... Kumcheck...daahh.... Vidole vimekomaa...usoni hayupo soft vile anavyoonekana.

Miguuni vidole kama tangawizi. Mbaya zaidi anaongea acha. Ana majidai ya kipuuzi kuwa anapata shida sana pale mkoani. Ye amezoea Dar kwenda maeneo ghali. Kule anaona kama ni bush. Anateseka sana.

Maneno mengi akipokea simu ni kuwachamba wateja wake ambao anawauzia vitu online... Anasema "mimi unajua sina mbambamba wala mbembembe..." Mi hata sielewi hayo maneno maana yake nini.

Yule dada alikuwa anaongea sijapata ona.maneno tu ya kiswazi mara anawagombeza wahudumu, mara anawafokea...mimi ndo nampoza na kuwaomba msamaha wahudumu. Tulipomaliza nikamwambia nina dharura nataka fika sehemu then nitamtafuta jioni.

Akanifuata hadi kwenye gari akaingia amekaa kushoto. Nami nimeshawasha gari. AC inapuliza tu. Amekaa anataka apige stories. Nikamkumbusha nawahi sehemu mara moja. Akaniambia kwani hatuwezi enda wote...nikamwambia hapana nitarudi....demu bado analeta stories hapo sasa kidogo nikakaza. Akashuka shingo upande.

Nlipoondoka nilikimbiza gari utadhani atanifukuzia. Nikarudi hotel nikazima na simu. Usiku nakuja washa simu msg kama zote. Sikujibu akaendelea akaona sina mwelekeo. Akaja laumu sana kuwa nlikuwa namtaka kimapenzi halafu nimechenga....

Mimi na mademu waswahili mbalimbali kabisaa....
 
1. Binti alikuwa mwanachuo, chuo flani Mkoani. Nimeenda kikazi ndo bado kijana miaka hiyo. Katika kupita pita town nikakutana naye kwenye duka moja la vinywaji. Nikamtamani nikaomba namba ya simu. Akanipa.

Baadaye tukawa tunachat na hatimaye nikamwambia kusudio langu na kumtaka aje tupate dinner jioni tuongee vizuri. Nlijua siku hiyo ngeosha bakora. Nikawa mfukoni nina tsh 40,000 ambayo nilijua ingetosha mlo na vinywaji.

Basi nikaenda eneo husika. Baadaye akaniambia nimwelekeze nimekaa wapi. Heeeehh..... Si kaja na wenzie wengine wawili. Kila mtu akaagiza chips kuku. Ambayo mpaka hao wao tu walikuwa wanatumia 27,000 na vinywaji beer Heineken kila mtu.

Nlianza hisi kizunguzungu.maana ni wazi ile 40,000 ilikuwa inaelekea kutotosha. Mimi nikaagiza chips mishkaki mitatu. Pale mshkaki mmoja tsh 2,000 nikaona hili sasa so.

Ikabidi nifanye kama naenda washroom.nikampigia dereva wa ofisini aniletee tsh 100,000 ntamrudishia kesho. Nikarudi ndani. Baada ya kama dk 20 dereva akapiga simu nikachukue pesa nikatoka nje nikachukua sasa nikiwa na kasi mpya,ari mpya na nguvu mpya.

Yule dada alifanya uswahili ambao alikuja jutia baadaye. Maana katika wale marafiki zake mmoja alikuwa mkali kuliko yeye. Nikavumilia tu siku ile. Mpaka nlipokuja mla nikaanza kumweka sawa na mwenzie. Nikamla halafu nikakaa kwake. Yule dada alikuja gundua akaumia sana. Nlimwambia ni yeye aliniletea. I hope alijifunza kitu.

2. Hii ilitokea kwa dada mmoja. Nikamweka sawa akanikubalia na kuniambia lakini aliwahi kuzaa. Nikasema haina shida. Siku nimepanga naye appointment jumamosi lunch Mlimani City. Akaniambia atakuja anikute. Kweli nikafika muda muafaka.

Nimetulia akapiga simu niende mchukua. Nikamwelekeza nilipo akadai atapenda nikamchukue. Nikaenda kumbe anataka nimlipie Taxi. Zikanitoka 20,000 za Taxi maana ubaya wa mazingira yale huwezi hata bargain. Anashuka na watoto 4. Nikashtuka. Ila i held my breath. Akawaambia haya muamkieni uncle.

Wakaja nisalimia.... Nilikwazika sana.first appointment anawaleta na akina uncles tena? Tukaenda kaa samaki samaki...yeye amekazana kupiga picha kila tukio. Ndo tumekaa anitambulisha watoto wake. Nikamwambia sawa.vikaagizwa vyakula. Nika piga hesabu kichwani nikaona haya majanga.

Nikamwambia ngoja nikanunue vocha. Sikurudi na namba yake nili block. Niliona ni mambo ya kiswahili.

Dada au Kaka ni appointment gani worse uliwahi kutana nayo huwahi isahau?
[emoji16][emoji16]iyo ya kushuka na watoto ni noma[emoji3]
 
Back
Top Bottom