Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

unajua tunafeli pale tunaposhindwa kuongea unapopanga kukutana na mtu unayehitaji jambo na yeye muulize utakuja mwenyewe au na wenzako Majibu yake yatakupa uwanja wa wewe kukubali aje nao au umkatalie ila vijana wengi wanaona kama kuuliza ni kujiweka daraja la chini.
Nakumbuka miaka ya nyuma nikiwa nipo chuo nilipanga kukutana na mwanamke mmoja na nilimuuliza kama atakuwa mwenyewe au na wenzake na akanijibu atakuwa mwenyewe nikamwambia sawa, basi kesho yake nikafika sehem ya makutano nikaendelea kupiga vinywaji alipofika alikuwa mwenyewe ila baada ya muda akaita rafiki zake wawili nikawakaribisha vizuri sikuwa vibaya mfukoni nikawahudumia wote vinywaji na chakula wakati tunaendelea kupata chakula stor za hapa na pale nikamgeuzia kibao nkamwambia mbele ya rafiki zake kulikua na maana gani ya mm kupanga kukutana na ww tuwe wawili alaf uite rafiki zako hakuwa na majibu ila kuna rafiki yake anaonekana ana akili sana akaniambia shemeji samahani hatukujua kama mliplan kuwa wawili maana hajatuambia na yeye ndio katuita akiwa njiani mm nkawaelezea mazingira yote jinsi tulivyopanga kukutana na wale rafiki zake wakamwambia pale pale hakukua na haja japo shemej katuhudumia vizur ila angekua mtu mwingne angetukimbia nikawaambia bas mm nshasuuza nafsi yangu siku nyingine unaplan kukutana na mtu ni vyema ukazingatia makubaliano akawa amejiskia vibaya akaanza kulia akatoka na mwenzake mmoja akabaki yule mwenye akili Nkaomba namba hakusita kunipa na akaniambia napenda mwanaume anaeweza kujieleza bila kujali ataonekana vipi mbele za wanawake bas next time nkamtoa huyo rafiki mtu akaja peke yake na nikabadili gia juu kwa juu mjinga akaachwa penzi likanoga kwa rafiki mtu na yule dada alinipenda kwakua niliweza kuongea ukweli na kuwa muwazi
Kibabe sana hii
 
Mwaka 2009 wakati nipo kikazi Visiwani Zanzibar kuna mdada nilikutana nae yule dada bhana ni wa zenji ni swala tano haswa,kuna siku nipanga tukutane kwenye kamgahawa furani hivi aisee alikuja kavaa ijabu na nikabu juuu alafu ilikuwa night kiukweli nilikwazika mno tulivyoachana,

Nikamweleza sikupenda ulivyovaa wakati tuna date akaniomba nimsamehe date ya pilu ilifanyikia gest kiukweli siku hii nilimsaliti mke wangu na mwanamke wa kipemba kilichofanya nisiendelee nae tena yani tumetoka kudate faragha na nilikuwa nikipiga na withdraw ila cha kushangaza anasema ana mimba nilimblock pale pale mpaka leo hata sijuaigi yuko wapi yule binti.
 
Mwaka 2009 wakati nipo kikazi Visiwani Zanzibar kuna mdada nilikutana nae yule dada bhana ni wa zenji ni swala tano haswa,kuna siku nipanga tukutane kwenye kamgahawa furani hivi aisee alikuja kavaa ijabu na nikabu juuu alafu ilikuwa night kiukweli nilikwazika mno tulivyoachana,

Nikamweleza sikupenda ulivyovaa wakati tuna date akaniomba nimsamehe date ya pilu ilifanyikia gest kiukweli siku hii nilimsaliti mke wangu na mwanamke wa kipemba kilichofanya nisiendelee nae tena yani tumetoka kudate faragha na nilikuwa nikipiga na withdraw ila cha kushangaza anasema ana mimba nilimblock pale pale mpaka leo hata sijuaigi yuko wapi yule binti.
Kachukue mwanao Zenji ana miaka 13 sasa!
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Dah masikini pacha angu domo zege huyo hapo alikuwa haamini kama mko wote
 
Mwaka 2009 wakati nipo kikazi Visiwani Zanzibar kuna mdada nilikutana nae yule dada bhana ni wa zenji ni swala tano haswa,kuna siku nipanga tukutane kwenye kamgahawa furani hivi aisee alikuja kavaa ijabu na nikabu juuu alafu ilikuwa night kiukweli nilikwazika mno tulivyoachana,

Nikamweleza sikupenda ulivyovaa wakati tuna date akaniomba nimsamehe date ya pilu ilifanyikia gest kiukweli siku hii nilimsaliti mke wangu na mwanamke wa kipemba kilichofanya nisiendelee nae tena yani tumetoka kudate faragha na nilikuwa nikipiga na withdraw ila cha kushangaza anasema ana mimba nilimblock pale pale mpaka leo hata sijuaigi yuko wapi yule binti.
Ulikuwa unamwaga nje na mrija(urethra) ulikuwa unausuuza na nini ili kuhakikisha makombo ya mbegu yameisha kabla ya kupiga cha pili?
"Tafakari"
 
Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.

Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.

Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.

Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.

Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.

Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Sijaona kosa la jamaa hapo, alikuwa anakupenda kweli ndo maana alipata hilo wenge, ni wewe tu ulikuwa humtaki ndio maana Hannah
 
Kuna date moja nliwahi aibika kinyama mpaka leo sielewi. Sijui nilirogwa....? Demu tumeenda onana sehemu ameagiza chakula na vinywaji... Demu mwenyewe mkali ila wa uswahilini. Basi nimekaa naye sijui hata niongee naye nini. Madini yote kichwani yameyayuka. Kila saa namwambia "niambie" anasema "aaah sina la kusema"

Nikikaa kidogo namwambia tena... Niambie..... Nikamwona anaboreka kwa hilo swali. Ila sielewi tu kwa nini ndo kauli inayotoka kila wakati.

Nikiwaza nimpe story gani nakuta kichwani empty kabisa. Nikamuuliza kama aliangalia match ya jana. Akang'aka "aaaah mi mpira wapi na wapi"

Basi nikawa naamka naenda jikoni kuwafokea wanachelewesha chakula...mara wa vinywaji akileta nasema si cha baridi sana....yaani siku ile network ilikuwa inakata sana....mpaka leo sielewi.

Yeye alikuwa cool tu. Majibu yake ya mkato. Yaani nlikuwa nimem bore sana maana sikuwa hata najielewa. Mtoto ametulia tu akaanza kuchezea simu yake tecno. Mi nang'aa ng'aa macho tu. Kikaja chakula tukala. Kimya kimya. Tumemaliza sina hata story moja. Akasema "basi mi naomba niende home"

Nikamwambia "sawa nimefulahi kukuona" yaani hata kuongea siku hiyo nilikuwa nakosea sana.. badala ya kusema nimefurahi. Nikaweka la.basi tumeamka namsindikiza nikamwambia "** upo flee kesho tena" akashtuka.... "Kheeeee" nikagundua nilitamka neno vibaya badala ya kusema kama nilisema **.

Hii kitu ilinidhalilisha sana.sielewi yule binti sijui aliniroga....nilipoachana naye ndo nikawa nakumbuka mistari kadhaa na stories ambazo ngempa. Sikumla. Mpaka miezi mingi baadaye tena nikamkuta sehemu nikamwimbisha sana na kumtaka anisamehe kipindi kile nilikuwa nimetoka msibani. Ndo akakubali nikaenda mla.ila alikuwa akiikumbuka ile date ananicheka sana. Akawa ananitania kuwa nlishtuka kumwona mtoto mrembo kama yeye sijawahi maishani....

Mpaka leo sielewi nlipatwa na nini.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Halafu wala sio kichaa ila sijui kwanini ali behave that way. Maana sio kwamba hata hakuwa na hela useme niliagiza sana akachanganyikiwa, hapana.

Au labda alikuwa anaumwa na tumbo. Nikaona siwezi ku deal naye mimi
May be ungempa nafasi ili observe zaidi kipi kilikuwa kinamsumbua pengine hakuamini kama ataweza kukushawishi mtoke.
 
Kuna date moja nliwahi aibika kinyama mpaka leo sielewi. Sijui nilirogwa....? Demu tumeenda onana sehemu ameagiza chakula na vinywaji... Demu mwenyewe mkali ila wa uswahilini. Basi nimekaa naye sijui hata niongee naye nini. Madini yote kichwani yameyayuka. Kila saa namwambia "niambie" anasema "aaah sina la kusema"

Nikikaa kidogo namwambia tena... Niambie..... Nikamwona anaboreka kwa hilo swali. Ila sielewi tu kwa nini ndo kauli inayotoka kila wakati.

Nikiwaza nimpe story gani nakuta kichwani empty kabisa. Nikamuuliza kama aliangalia match ya jana. Akang'aka "aaaah mi mpira wapi na wapi"

Basi nikawa naamka naenda jikoni kuwafokea wanachelewesha chakula...mara wa vinywaji akileta nasema si cha baridi sana....yaani siku ile network ilikuwa inakata sana....mpaka leo sielewi.

Yeye alikuwa cool tu. Majibu yake ya mkato. Yaani nlikuwa nimem bore sana maana sikuwa hata najielewa. Mtoto ametulia tu akaanza kuchezea simu yake tecno. Mi nang'aa ng'aa macho tu. Kikaja chakula tukala. Kimya kimya. Tumemaliza sina hata story moja. Akasema "basi mi naomba niende home"

Nikamwambia "sawa nimefulahi kukuona" yaani hata kuongea siku hiyo nilikuwa nakosea sana.. badala ya kusema nimefurahi. Nikaweka la.basi tumeamka namsindikiza nikamwambia "** upo flee kesho tena" akashtuka.... "Kheeeee" nikagundua nilitamka neno vibaya badala ya kusema kama nilisema **.

Hii kitu ilinidhalilisha sana.sielewi yule binti sijui aliniroga....nilipoachana naye ndo nikawa nakumbuka mistari kadhaa na stories ambazo ngempa. Sikumla. Mpaka miezi mingi baadaye tena nikamkuta sehemu nikamwimbisha sana na kumtaka anisamehe kipindi kile nilikuwa nimetoka msibani. Ndo akakubali nikaenda mla.ila alikuwa akiikumbuka ile date ananicheka sana. Akawa ananitania kuwa nlishtuka kumwona mtoto mrembo kama yeye sijawahi maishani....

Mpaka leo sielewi nlipatwa na nini.
Kaka nimecheka mpaka nimejitonesha mshono wangu,
 
Back
Top Bottom