FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Naona mara alikuwa na gari mara nnMbona haihusiani na mada mezani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mara alikuwa na gari mara nnMbona haihusiani na mada mezani?
Maotea ni nini?Ukiwa Bien mfukoni unadhani confor hamna??! Bas tu hiz shida na mbunye tunaitaka😀. 😅
😀. 🎤
Mimi madem wananipenda.sana sijui kwa nini. Huwa nawala na hakuna anayejua, akiliwa alitangaza huyo namblock na sipendi Tena story naye.
Siku Moja nimemla mama MTU mzima wa 50 yrs. Jamani alikuwa kama katoto uchi mtamu Sana. Lkn Kwa nyuma mku.nduni Pana maotea naomba ushauri nimsadie.
😅😅😅😅 hii kaliNimewahi omba date na dem mmoja tukiwa chuo 3rd year.
Akanikubalia...tukapanga location akasema kuna location anaijua ni nzuri na atakua comfortable.
Siku naenda namkuta yupo na mshkaji mmoja, akanitambulisha ni boyfriend wake ...wakaanza kunipa lecture ya Network Marketing.
Niliwaaga naenda washroom, sikugeuka tena
Umetisha Sana mkali wangu😅😅😅Mimi niliwahi kumpenda binti mmoja haswa kipindi iko nimeingia chuo nimetoka boys school, yani kila nikimuona yule binti mwili unfreezy akitokea mbele yangu naskia kama mwili na akili vinafanya kazi tofauti nafaint nakua sijielewi.
Nilipitia mengi hadi nikaja kupata no zake na kumwomba tukutane restaurant ilokua unaogopwa na watoto wengi wachuo sababu ya ghalama nikasema huko ndo pakuchukulia credit zangu.
Basi mtoto wa mkulima nikachukua ela nikaweka ela elfu80 kwenye wallet nilikua najua itabaki tuu maana nilipanga kuywa juicy tu akifika nimdanganye mi nimeshakula tiyari.
SIKU MBAYA YENYEWE
Mapema jioni jioni nikawa nishafika eneo la tukio nimetulia napanga maneno yatakayo mchekesha na kumfurahisha, Picha linanza, mtoto kanitumia text niko naingia upo upande gani? Si moyo ukashituka mapigo yakanza kwenda mbio!!! na tumbo likanza kunguruma sa sijui ni juicy au nini, nikasimama nimwangaze njia yakuingilia, lahaula!! alikua kapendeza sana, aliponiona akanza kutembea kuja nilipokua wallahi nilianza kujuta kwanini nimemuita ni kama nafsi ilinikana mwili maana yule binti hakua lever zangu nilikua kama najaribu tuu ila ngoma ikaitika.
Nakumbuka kituko chakwanza ni kwenye salam, nilitaka et kumpa mkono kama vile officin ye ndo akaupokea kisha akanihug ile ya kuweka distance katkat mi apo nisha faint zamaani najaribu kurestore maneno ya ucheshi nilopanga kumwambia yalipotea yooote!!! Nakumbuka nilimpa salamu marambilimbili,
Tukio lilofanya nijutie ile siku kabisa ni tulianza kuongea nikawa nimechapia neno badala ya MASAA yanaenda nikasema MASHAA yanaenda apo alikua anakula samaki na addition ya chips mi nakula ugali makange ye ndo aliyeniordia maana nilitak kusema nimeshiba sasa yale makange yalikua na pilipili nyingi na mimi nilijikaza tuu asinione myonge sa nilivochapia vile si akangua kicheko na mimi ile kucheka likatoka puto kwenye pua lile la kamasi likapasuka na aliona ndo akanicheka hadi meza za jirani wakatuangalia na engerchief sikua nayo nikafuta na mkono uk nimeinama chini akanambia nenda washroom sa kwenda kwenyewe uko washroom sijui iko upande gan nikienda ivi watu wananambia nenda kwa uku yani nikajiona kituko na nikajidharau pia nikajisemea moyoni nimeletwa kusoma uku huu ni ujinga naofanya.
Inshot nilirud kutoka kujisafisha kidogo ila nilikua nimepoa sana msichana alikua kachangamka zaidi nilimwambia ombi langu sikunyingine akanikubalia ila sikumla maana wajanja walimchukua hadi leo ni single mother nachat nae tuu DM insta ila ananiambaga ananipenda sema nipo kwenye maisha memgine sintomsahau na sitohisahau iyo siku.
Kwa nini usimuoe hivyo hivyo 🤣Mimi niliwahi kumpenda binti mmoja haswa kipindi iko nimeingia chuo nimetoka boys school, yani kila nikimuona yule binti mwili unfreezy akitokea mbele yangu naskia kama mwili na akili vinafanya kazi tofauti nafaint nakua sijielewi.
Nilipitia mengi hadi nikaja kupata no zake na kumwomba tukutane restaurant ilokua unaogopwa na watoto wengi wachuo sababu ya ghalama nikasema huko ndo pakuchukulia credit zangu.
Basi mtoto wa mkulima nikachukua ela nikaweka ela elfu80 kwenye wallet nilikua najua itabaki tuu maana nilipanga kuywa juicy tu akifika nimdanganye mi nimeshakula tiyari.
SIKU MBAYA YENYEWE
Mapema jioni jioni nikawa nishafika eneo la tukio nimetulia napanga maneno yatakayo mchekesha na kumfurahisha, Picha linanza, mtoto kanitumia text niko naingia upo upande gani? Si moyo ukashituka mapigo yakanza kwenda mbio!!! na tumbo likanza kunguruma sa sijui ni juicy au nini, nikasimama nimwangaze njia yakuingilia, lahaula!! alikua kapendeza sana, aliponiona akanza kutembea kuja nilipokua wallahi nilianza kujuta kwanini nimemuita ni kama nafsi ilinikana mwili maana yule binti hakua lever zangu nilikua kama najaribu tuu ila ngoma ikaitika.
Nakumbuka kituko chakwanza ni kwenye salam, nilitaka et kumpa mkono kama vile officin ye ndo akaupokea kisha akanihug ile ya kuweka distance katkat mi apo nisha faint zamaani najaribu kurestore maneno ya ucheshi nilopanga kumwambia yalipotea yooote!!! Nakumbuka nilimpa salamu marambilimbili,
Tukio lilofanya nijutie ile siku kabisa ni tulianza kuongea nikawa nimechapia neno badala ya MASAA yanaenda nikasema MASHAA yanaenda apo alikua anakula samaki na addition ya chips mi nakula ugali makange ye ndo aliyeniordia maana nilitak kusema nimeshiba sasa yale makange yalikua na pilipili nyingi na mimi nilijikaza tuu asinione myonge sa nilivochapia vile si akangua kicheko na mimi ile kucheka likatoka puto kwenye pua lile la kamasi likapasuka na aliona ndo akanicheka hadi meza za jirani wakatuangalia na engerchief sikua nayo nikafuta na mkono uk nimeinama chini akanambia nenda washroom sa kwenda kwenyewe uko washroom sijui iko upande gan nikienda ivi watu wananambia nenda kwa uku yani nikajiona kituko na nikajidharau pia nikajisemea moyoni nimeletwa kusoma uku huu ni ujinga naofanya.
Inshot nilirud kutoka kujisafisha kidogo ila nilikua nimepoa sana msichana alikua kachangamka zaidi nilimwambia ombi langu sikunyingine akanikubalia ila sikumla maana wajanja walimchukua hadi leo ni single mother nachat nae tuu DM insta ila ananiambaga ananipenda sema nipo kwenye maisha memgine sintomsahau na sitohisahau iyo siku.
Hiyo kuja na Eicher imenichekesha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]1. Baada ya kunitafuta sana nikaona nimsikilize hata na hivyo nilikuwa bored! Tukapanga siku ya kuonana, cha kushangaza jamaa anang’ang’ania tuonane kuanzia saa5 usiku maana ndo ana muda (anakuwa katoka kazini) na sio kwamba tunaenda kwake au sehemu ya kificho. Nikasema sawa! Siku ya date nimejiandaa vizuri, baada ya kumuelekeza sana mpaka nilipo, hatimaye kufika na kuniambia yuko nje tayari! Kutoka nakuta kaja na eicher (daladala ya tegeta gerezani nadhani). Mhh nikatamani kutoa sababu ya uongo nirudi ndani ila jamaa akawa kama kitu cha kawaida mbona na amechangamka sana nikasema anyway na kujiandaa kote huku wacha niende tu!
Tukaelekea sehemu ya karibu tu maana sikutaka kwenda mbali na ile daladala! Kufika sehemu na baada ya kukaa huku nikitaka kumuuliza maswali mawili matatu, ghafla ananiambia mbona bado unatafuna big g? Nikamjibu si naweka mdomo fresh tu! Ghafla nashangaa mtu katoa kalamu na karatasi ‘minus 1’ yaani kwenye marks zangu keshapunguza moja! Ndipo nikajua nipo na chizi baada ya hapo nilimlima block[emoji18]
Ha haaaaaa umenichekesha Sana!sipendi hiyo Mambo mengine vipi lakini?Hahahaha I went out for dinner with a guy.
Tukaagiza vinywaji pale fresh tukisubiria chakula sasa.
Mimi nikaagiza makange ya samaki yeye akaagiza kuku.
Movie inaanza kwanza kwenye kiti kakaa hatulii, mara ajinyooshe , mara ajikunye, mara anyooshe miguu hadi inafika kwangu ananikanyaga anasema aah sorry bhana.
Mimi namuuliza tu "kila kitu kipo sawa"? Anasema ndio. Mara kila saa anauliza mambo mengine vipi lakini? Mara nimefurahi umekubali kutoka na mimi. Anarudia rudia kila dakika. Basi mimi nishakwazika ila najikaza tu.
Chakula si kikaja? Anakula kama ndama? Yaani ile tafuna khaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ng'ombe yaani yaani ni "kata kata kata nyam nyam nyamnm" halafu hiyo kuku anainyofoa vyofoa kama ana mapengo.
Halafu hatulii, mara akapiga glass na kiwiko cha mkono pombe ikamwagikia[emoji1787][emoji1787]. Nikasema hii kali.
Nilivyotoka hapo, nikamblock.
Dah!!! Nimecheka kifala hapo kwenye puto la kamasi umenikumbusha utotoni hukooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mimi niliwahi kumpenda binti mmoja haswa kipindi iko nimeingia chuo nimetoka boys school, yani kila nikimuona yule binti mwili unfreezy akitokea mbele yangu naskia kama mwili na akili vinafanya kazi tofauti nafaint nakua sijielewi.
Nilipitia mengi hadi nikaja kupata no zake na kumwomba tukutane restaurant ilokua unaogopwa na watoto wengi wachuo sababu ya ghalama nikasema huko ndo pakuchukulia credit zangu.
Basi mtoto wa mkulima nikachukua ela nikaweka ela elfu80 kwenye wallet nilikua najua itabaki tuu maana nilipanga kuywa juicy tu akifika nimdanganye mi nimeshakula tiyari.
SIKU MBAYA YENYEWE
Mapema jioni jioni nikawa nishafika eneo la tukio nimetulia napanga maneno yatakayo mchekesha na kumfurahisha, Picha linanza, mtoto kanitumia text niko naingia upo upande gani? Si moyo ukashituka mapigo yakanza kwenda mbio!!! na tumbo likanza kunguruma sa sijui ni juicy au nini, nikasimama nimwangaze njia yakuingilia, lahaula!! alikua kapendeza sana, aliponiona akanza kutembea kuja nilipokua wallahi nilianza kujuta kwanini nimemuita ni kama nafsi ilinikana mwili maana yule binti hakua lever zangu nilikua kama najaribu tuu ila ngoma ikaitika.
Nakumbuka kituko chakwanza ni kwenye salam, nilitaka et kumpa mkono kama vile officin ye ndo akaupokea kisha akanihug ile ya kuweka distance katkat mi apo nisha faint zamaani najaribu kurestore maneno ya ucheshi nilopanga kumwambia yalipotea yooote!!! Nakumbuka nilimpa salamu marambilimbili,
Tukio lilofanya nijutie ile siku kabisa ni tulianza kuongea nikawa nimechapia neno badala ya MASAA yanaenda nikasema MASHAA yanaenda apo alikua anakula samaki na addition ya chips mi nakula ugali makange ye ndo aliyeniordia maana nilitak kusema nimeshiba sasa yale makange yalikua na pilipili nyingi na mimi nilijikaza tuu asinione myonge sa nilivochapia vile si akangua kicheko na mimi ile kucheka likatoka puto kwenye pua lile la kamasi likapasuka na aliona ndo akanicheka hadi meza za jirani wakatuangalia na engerchief sikua nayo nikafuta na mkono uk nimeinama chini akanambia nenda washroom sa kwenda kwenyewe uko washroom sijui iko upande gan nikienda ivi watu wananambia nenda kwa uku yani nikajiona kituko na nikajidharau pia nikajisemea moyoni nimeletwa kusoma uku huu ni ujinga naofanya.
Inshot nilirud kutoka kujisafisha kidogo ila nilikua nimepoa sana msichana alikua kachangamka zaidi nilimwambia ombi langu sikunyingine akanikubalia ila sikumla maana wajanja walimchukua hadi leo ni single mother nachat nae tuu DM insta ila ananiambaga ananipenda sema nipo kwenye maisha memgine sintomsahau na sitohisahau iyo siku.
Yaani ukiona mwanadada anasema umbambamba huyo Ni mchambaji hatari,ndio wale chura wa kwenye singeliNyingine ni miezi miwili ago nlienda Mkoa flani.basi nikamkumbuka binti mmoja ambaye tulikutana naye facebook toka mwaka 2009 tukawa friends. Kumbe baadaye akawa amepangwa kikazi huo mkoa.
Basi nilipoenda nikamweka sawa....nikambembeleza sana tuonane anipe game. Bint alikuwa anaonekana mrembo sana. Yaani ukicheck picha zake...hatari sana.
Basi siku hiyo akakubali tukale nyama choma sehemu. Nikaenda akaja hiyo sehemu... Kumcheck...daahh.... Vidole vimekomaa...usoni hayupo soft vile anavyoonekana.
Miguuni vidole kama tangawizi. Mbaya zaidi anaongea acha. Ana majidai ya kipuuzi kuwa anapata shida sana pale mkoani. Ye amezoea Dar kwenda maeneo ghali. Kule anaona kama ni bush. Anateseka sana.
Maneno mengi akipokea simu ni kuwachamba wateja wake ambao anawauzia vitu online... Anasema "mimi unajua sina mbambamba wala mbembembe..." Mi hata sielewi hayo maneno maana yake nini.
Yule dada alikuwa anaongea sijapata ona.maneno tu ya kiswazi mara anawagombeza wahudumu, mara anawafokea...mimi ndo nampoza na kuwaomba msamaha wahudumu. Tulipomaliza nikamwambia nina dharura nataka fika sehemu then nitamtafuta jioni.
Akanifuata hadi kwenye gari akaingia amekaa kushoto. Nami nimeshawasha gari. AC inapuliza tu. Amekaa anataka apige stories. Nikamkumbusha nawahi sehemu mara moja. Akaniambia kwani hatuwezi enda wote...nikamwambia hapana nitarudi....demu bado analeta stories hapo sasa kidogo nikakaza. Akashuka shingo upande.
Nlipoondoka nilikimbiza gari utadhani atanifukuzia. Nikarudi hotel nikazima na simu. Usiku nakuja washa simu msg kama zote. Sikujibu akaendelea akaona sina mwelekeo. Akaja laumu sana kuwa nlikuwa namtaka kimapenzi halafu nimechenga....
Mimi na mademu waswahili mbalimbali kabisaa....
🤣🤣🤣🤣🤣Kha date zako kiboko!Mkuu nashindwa kuelewa labda unisaidie kutafakari!
4. Huyu mwingine date ilienda vizuri kabisa! Maongezi yalikuwa mazuri tena intelligent! Everything was good ingawa kuna kitu ambacho alikuwa anafanya nikawa naona kama weird saingine naona kawaida (alikuwa akiangalia kifua changu sana). Baada kurudi nyumbani na kumtaarifu nimefika salama na kusema asante! Ndipo jamaa akaniuliza ‘kwa hicho kifua chako utaweza kuhimili maumivu kweli’???[emoji22]
Ukala pindi au sio [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimewahi omba date na dem mmoja tukiwa chuo 3rd year.
Akanikubalia...tukapanga location akasema kuna location anaijua ni nzuri na atakua comfortable.
Siku naenda namkuta yupo na mshkaji mmoja, akanitambulisha ni boyfriend wake ...wakaanza kunipa lecture ya Network Marketing.
Niliwaaga naenda washroom, sikugeuka tena
Ulkua kwenye paper hiii balaaa1. Baada ya kunitafuta sana nikaona nimsikilize hata na hivyo nilikuwa bored! Tukapanga siku ya kuonana, cha kushangaza jamaa anang’ang’ania tuonane kuanzia saa5 usiku maana ndo ana muda (anakuwa katoka kazini) na sio kwamba tunaenda kwake au sehemu ya kificho. Nikasema sawa! Siku ya date nimejiandaa vizuri, baada ya kumuelekeza sana mpaka nilipo, hatimaye kufika na kuniambia yuko nje tayari! Kutoka nakuta kaja na eicher (daladala ya tegeta gerezani nadhani). Mhh nikatamani kutoa sababu ya uongo nirudi ndani ila jamaa akawa kama kitu cha kawaida mbona na amechangamka sana nikasema anyway na kujiandaa kote huku wacha niende tu!
Tukaelekea sehemu ya karibu tu maana sikutaka kwenda mbali na ile daladala! Kufika sehemu na baada ya kukaa huku nikitaka kumuuliza maswali mawili matatu, ghafla ananiambia mbona bado unatafuna big g? Nikamjibu si naweka mdomo fresh tu! Ghafla nashangaa mtu katoa kalamu na karatasi ‘minus 1’ yaani kwenye marks zangu keshapunguza moja! Ndipo nikajua nipo na chizi baada ya hapo nilimlima block[emoji18]
Uyu baba mzuri ataki usumbufu sumbfu wa kijinga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]2. Siku ya birthday yangu! Tumeenda date sehemu akaniletea cake! Kufungua keki tayari imekatwa nusu, kuumuuliza akasema nyumbani kwao wamekata! Nikasema sio case, tukakata pale kidogo na kuendelea kula chakula kingine! Muda wa kuondoka nashangaa anaibeba keki yote! Vipi???? Eti anawapelekea ofisini kwake!!!! Eeh kwakweli kuna vitu vinashangaza, nae alikula block
3. Huyu alikuwa kawaida tu! Siku tunatembea ‘evening walk’ kuna watoto wakawa wanacheza wakikimbizana huku na huku na kule! Wakawa kama wanatusumbua lakini si ni watoto who cares??? Eeh mwenzangu uvumilivu ukamshinda akampiga mtoto mmoja kwenzi zito sana. Mimi na watoto wengine ikabidi tumshangae, huku aliyepigwa akilia! Jamaa hana habari. Kwakweli baada ya tathmini baadae nikaona nimblock tu.
kifua kidogo Sana huna uvumilivuMkuu nashindwa kuelewa labda unisaidie kutafakari!
4. Huyu mwingine date ilienda vizuri kabisa! Maongezi yalikuwa mazuri tena intelligent! Everything was good ingawa kuna kitu ambacho alikuwa anafanya nikawa naona kama weird saingine naona kawaida (alikuwa akiangalia kifua changu sana). Baada kurudi nyumbani na kumtaarifu nimefika salama na kusema asante! Ndipo jamaa akaniuliza ‘kwa hicho kifua chako utaweza kuhimili maumivu kweli’???[emoji22]
mh ulimpeleka demu guest zanzibar???Mwaka 2009 wakati nipo kikazi Visiwani Zanzibar kuna mdada nilikutana nae yule dada bhana ni wa zenji ni swala tano haswa,kuna siku nipanga tukutane kwenye kamgahawa furani hivi aisee alikuja kavaa ijabu na nikabu juuu alafu ilikuwa night kiukweli nilikwazika mno tulivyoachana,
Nikamweleza sikupenda ulivyovaa wakati tuna date akaniomba nimsamehe date ya pilu ilifanyikia gest kiukweli siku hii nilimsaliti mke wangu na mwanamke wa kipemba kilichofanya nisiendelee nae tena yani tumetoka kudate faragha na nilikuwa nikipiga na withdraw ila cha kushangaza anasema ana mimba nilimblock pale pale mpaka leo hata sijuaigi yuko wapi yule binti.
Umezingua kinoma mwanaume unakosaje kitambaa ila hilo wenge limenifanya nicheke sana .Mimi niliwahi kumpenda binti mmoja haswa kipindi iko nimeingia chuo nimetoka boys school, yani kila nikimuona yule binti mwili unfreezy akitokea mbele yangu naskia kama mwili na akili vinafanya kazi tofauti nafaint nakua sijielewi.
Nilipitia mengi hadi nikaja kupata no zake na kumwomba tukutane restaurant ilokua unaogopwa na watoto wengi wachuo sababu ya ghalama nikasema huko ndo pakuchukulia credit zangu.
Basi mtoto wa mkulima nikachukua ela nikaweka ela elfu80 kwenye wallet nilikua najua itabaki tuu maana nilipanga kuywa juicy tu akifika nimdanganye mi nimeshakula tiyari.
SIKU MBAYA YENYEWE
Mapema jioni jioni nikawa nishafika eneo la tukio nimetulia napanga maneno yatakayo mchekesha na kumfurahisha, Picha linanza, mtoto kanitumia text niko naingia upo upande gani? Si moyo ukashituka mapigo yakanza kwenda mbio!!! na tumbo likanza kunguruma sa sijui ni juicy au nini, nikasimama nimwangaze njia yakuingilia, lahaula!! alikua kapendeza sana, aliponiona akanza kutembea kuja nilipokua wallahi nilianza kujuta kwanini nimemuita ni kama nafsi ilinikana mwili maana yule binti hakua lever zangu nilikua kama najaribu tuu ila ngoma ikaitika.
Nakumbuka kituko chakwanza ni kwenye salam, nilitaka et kumpa mkono kama vile officin ye ndo akaupokea kisha akanihug ile ya kuweka distance katkat mi apo nisha faint zamaani najaribu kurestore maneno ya ucheshi nilopanga kumwambia yalipotea yooote!!! Nakumbuka nilimpa salamu marambilimbili,
Tukio lilofanya nijutie ile siku kabisa ni tulianza kuongea nikawa nimechapia neno badala ya MASAA yanaenda nikasema MASHAA yanaenda apo alikua anakula samaki na addition ya chips mi nakula ugali makange ye ndo aliyeniordia maana nilitak kusema nimeshiba sasa yale makange yalikua na pilipili nyingi na mimi nilijikaza tuu asinione myonge sa nilivochapia vile si akangua kicheko na mimi ile kucheka likatoka puto kwenye pua lile la kamasi likapasuka na aliona ndo akanicheka hadi meza za jirani wakatuangalia na engerchief sikua nayo nikafuta na mkono uk nimeinama chini akanambia nenda washroom sa kwenda kwenyewe uko washroom sijui iko upande gan nikienda ivi watu wananambia nenda kwa uku yani nikajiona kituko na nikajidharau pia nikajisemea moyoni nimeletwa kusoma uku huu ni ujinga naofanya.
Inshot nilirud kutoka kujisafisha kidogo ila nilikua nimepoa sana msichana alikua kachangamka zaidi nilimwambia ombi langu sikunyingine akanikubalia ila sikumla maana wajanja walimchukua hadi leo ni single mother nachat nae tuu DM insta ila ananiambaga ananipenda sema nipo kwenye maisha memgine sintomsahau na sitohisahau iyo siku.
Hahahaa.. mkuu umenichekesha sana[emoji23][emoji23]Mimi niliwahi kumpenda binti mmoja haswa kipindi iko nimeingia chuo nimetoka boys school, yani kila nikimuona yule binti mwili unfreezy akitokea mbele yangu naskia kama mwili na akili vinafanya kazi tofauti nafaint nakua sijielewi.
Nilipitia mengi hadi nikaja kupata no zake na kumwomba tukutane restaurant ilokua unaogopwa na watoto wengi wachuo sababu ya ghalama nikasema huko ndo pakuchukulia credit zangu.
Basi mtoto wa mkulima nikachukua ela nikaweka ela elfu80 kwenye wallet nilikua najua itabaki tuu maana nilipanga kuywa juicy tu akifika nimdanganye mi nimeshakula tiyari.
SIKU MBAYA YENYEWE
Mapema jioni jioni nikawa nishafika eneo la tukio nimetulia napanga maneno yatakayo mchekesha na kumfurahisha, Picha linanza, mtoto kanitumia text niko naingia upo upande gani? Si moyo ukashituka mapigo yakanza kwenda mbio!!! na tumbo likanza kunguruma sa sijui ni juicy au nini, nikasimama nimwangaze njia yakuingilia, lahaula!! alikua kapendeza sana, aliponiona akanza kutembea kuja nilipokua wallahi nilianza kujuta kwanini nimemuita ni kama nafsi ilinikana mwili maana yule binti hakua lever zangu nilikua kama najaribu tuu ila ngoma ikaitika.
Nakumbuka kituko chakwanza ni kwenye salam, nilitaka et kumpa mkono kama vile officin ye ndo akaupokea kisha akanihug ile ya kuweka distance katkat mi apo nisha faint zamaani najaribu kurestore maneno ya ucheshi nilopanga kumwambia yalipotea yooote!!! Nakumbuka nilimpa salamu marambilimbili,
Tukio lilofanya nijutie ile siku kabisa ni tulianza kuongea nikawa nimechapia neno badala ya MASAA yanaenda nikasema MASHAA yanaenda apo alikua anakula samaki na addition ya chips mi nakula ugali makange ye ndo aliyeniordia maana nilitak kusema nimeshiba sasa yale makange yalikua na pilipili nyingi na mimi nilijikaza tuu asinione myonge sa nilivochapia vile si akangua kicheko na mimi ile kucheka likatoka puto kwenye pua lile la kamasi likapasuka na aliona ndo akanicheka hadi meza za jirani wakatuangalia na engerchief sikua nayo nikafuta na mkono uk nimeinama chini akanambia nenda washroom sa kwenda kwenyewe uko washroom sijui iko upande gan nikienda ivi watu wananambia nenda kwa uku yani nikajiona kituko na nikajidharau pia nikajisemea moyoni nimeletwa kusoma uku huu ni ujinga naofanya.
Inshot nilirud kutoka kujisafisha kidogo ila nilikua nimepoa sana msichana alikua kachangamka zaidi nilimwambia ombi langu sikunyingine akanikubalia ila sikumla maana wajanja walimchukua hadi leo ni single mother nachat nae tuu DM insta ila ananiambaga ananipenda sema nipo kwenye maisha memgine sintomsahau na sitohisahau iyo siku.
Ulikuwa mpenda starehe wewe ukakutana na wanaojua hesabu,1. Baada ya kunitafuta sana nikaona nimsikilize hata na hivyo nilikuwa bored! Tukapanga siku ya kuonana, cha kushangaza jamaa anang’ang’ania tuonane kuanzia saa5 usiku maana ndo ana muda (anakuwa katoka kazini) na sio kwamba tunaenda kwake au sehemu ya kificho. Nikasema sawa! Siku ya date nimejiandaa vizuri, baada ya kumuelekeza sana mpaka nilipo, hatimaye kufika na kuniambia yuko nje tayari! Kutoka nakuta kaja na eicher (daladala ya tegeta gerezani nadhani). Mhh nikatamani kutoa sababu ya uongo nirudi ndani ila jamaa akawa kama kitu cha kawaida mbona na amechangamka sana nikasema anyway na kujiandaa kote huku wacha niende tu!
Tukaelekea sehemu ya karibu tu maana sikutaka kwenda mbali na ile daladala! Kufika sehemu na baada ya kukaa huku nikitaka kumuuliza maswali mawili matatu, ghafla ananiambia mbona bado unatafuna big g? Nikamjibu si naweka mdomo fresh tu! Ghafla nashangaa mtu katoa kalamu na karatasi ‘minus 1’ yaani kwenye marks zangu keshapunguza moja! Ndipo nikajua nipo na chizi baada ya hapo nilimlima block[emoji18]