Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mwitikio si haba kama mnavyojionea wenyewe .
UPDATES:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ni mojaTwende na bananga
Chadema haina Urafiki na mapandikizi;Bananga huyo ni team ya kina Msando,Nenda Billionaire's pale kwa Msando utajionea Mengi.Chadema ni moja
Suala si kuachiana , ni suala la wapiga kura kuamuaAisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Bananga, Tuwachanganye ccm . Lema mwachie BanangaMwaka huu ni mgumu sana kwa chadema.
Ingekua CCM hapo ingeprint form 1 tu kama ile ya mwenyekiti.Mwaka huu ni mgumu sana kwa chadema.
kwa sasa tujikite kwenye kura za maoniChadema haina Urafiki na mapandikizi;Banange huyo ni team ya kina Msando,Nenda Billionaire's pale kwa Msando utajionea Mengi.
Hata zingekua kura za "MAONO'.kwa sasa tujikite kwenye kura za maoni
Yaah ngoja tuona wao wamelitizama ki namna gani.Suala si kuachiana , ni suala la wapiga kura kuamua
Bananga ataachiwa na ACT.Bananga, Tuwachanganye ccm . Lema mwachie Bananga
Ombi maalumu babies wazingatiwe!
Naomba matokea ya Chalinze kama unayo kamanda
Hahah huu mzaha sasa urafiki wa Bananga+Gambo+Msando kumbe huujui,tembelea billionaire's ujione maisha ya ulevi usiku uone Mengi arifu.Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.
Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.
Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo