MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Twende na Bananga ....Arusha stand up [emoji123]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twende na Bananga ....Arusha stand up [emoji123]
Bananga,I dont know why,he is fake!Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.
Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.
Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Safi sana mkuu,wewe unamjua vzr kwny zile anga zake.Tatizo bananga anarubuniwa na mataga kina msando anaoshinda nao kunywa pombe pale thedon
Bananga,I dont know why,he is fake!Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.
Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.
Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Lakini ina maana kama ameshindwa kununuliwa mda wote ule, mi naona ni mtu wa kuaminika.Bananga,I dont know why,he is fake!
Trully,that nigga is not Chadema 100%!
He is a snake!
Machalii wa Arusha tunaenda Na Bananga jombaaa. Lema analeta chuki ndani ya chamaMakamanda Arusha msituangushe ...... mkimleta Lema mtairudisha CCM Arusha rasmi .....mkitaka muone kimuhe CCM twende na Bananga ....
Hiyo ndo weaknesss yake pia. Inawezekana labda kina Msando wamemtuma akatibueSafi sana mkuu,wewe unamjua vzr kwny zile anga zake.
Wanataka kutumia urafiki wa Bananga na Msando kumchinja chaliii etu .....Lakini ina maana kama ameshindwa kununuliwa mda wote ule, mi naona ni mtu wa kuaminika.
Wana CCM mnamuogopa Lema inabidi mchochee Bananga apitishwe mpate ganda la ndizi hahah.Makamanda Arusha msituangushe ...... mkimleta Lema mtairudisha CCM Arusha rasmi .....mkitaka muone kimuhe CCM twende na Bananga ....
Hujui kweli halisi wewe ....Wana CCM mnamuogopa Lema inabidi mchochee Bananga apitishwe mpate ganda la ndizi hahah.
Mwende wapTwende na Bananga
Tunatambaaa na BanangaaaaMww
Mwende wap
I think hakwenda sababu,alitaka amalizie Udiwani wake then ajaribu Ubunge,etc...Lakini ina maana kama ameshindwa kununuliwa mda wote ule, mi naona ni mtu wa kuaminika.
Anyway, wana Arusha wataamua. Mwisho wa siku ataepitishwa atakuwa ni chaguo sahihiWanataka kutumia urafiki wa Bananga na Msando kumchinja chaliii etu .....
Mkuu hapa thedon ATown wanae wote ni kina msando na hapo ni watu wakumsema na kupanga mipango ya kumvuruga lema.Bananga,I dont know why,he is fake!
Trully,that nigga is not Chadema 100%!
He is a snake!