Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Arusha pagumu sanaaaaa ...ndio jimbo pekee litaloleta joto kwenye chaguzi zote za Chadema .....makao makuu yote macho yote Arusha dadadadeki .....
 
Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga

Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.

Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.

Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Bananga,I dont know why,he is fake!

Trully,that nigga is not Chadema 100%!

He is a snake!
 
Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga

Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.

Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.

Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Bananga,I dont know why,he is fake!

Trully,that nigga is not Chadema 100%!

He is a snake!
 
Makamanda Arusha msituangushe ...... mkimleta Lema mtairudisha CCM Arusha rasmi .....mkitaka muone kimuhe CCM twende na Bananga ....
Wana CCM mnamuogopa Lema inabidi mchochee Bananga apitishwe mpate ganda la ndizi hahah.
 
Lakini ina maana kama ameshindwa kununuliwa mda wote ule, mi naona ni mtu wa kuaminika.
I think hakwenda sababu,alitaka amalizie Udiwani wake then ajaribu Ubunge,etc...

Na pia waunga juhudi madiwani walikua wanapewa dau kidogo,akipiga hesabu ya remaining time na hela atakayolipwa baada ya kustaafu udiwani na salio analopewa now na CCM,it doesnt make sense to him.

That nigga is a snake of some kind....

Sina ushahidi,ila mimi binafsi kwa machale yangu,najitahidi sana nimuamini ila sijafika 100% aisee!

I dont know why!
 
Bananga,I dont know why,he is fake!

Trully,that nigga is not Chadema 100%!

He is a snake!
Mkuu hapa thedon ATown wanae wote ni kina msando na hapo ni watu wakumsema na kupanga mipango ya kumvuruga lema.
Naamini asipopitishwa na mkewake akikosa ubunge anarudi ccm.
 
Back
Top Bottom