MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Hayo ni baada ya uchaguzi ...tuone Lema akimuunga mkono Bananga ....Anyway, wana Arusha wataamua. Mwisho wa siku ataepitishwa atakuwa ni chaguo sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni baada ya uchaguzi ...tuone Lema akimuunga mkono Bananga ....Anyway, wana Arusha wataamua. Mwisho wa siku ataepitishwa atakuwa ni chaguo sahihi
Anyway, kwa hizi siasa za bongo hakuna wa kuaminika.. kwani nani alidhani mtu kama Silinde, Nasari wangenunulika kirahisi hivo?I think hakwenda sababu,alitaka amalizie Udiwani wake then ajaribu Ubunge,etc...
Na pia waunga juhudi madiwani walikua wanapewa dau kidogo,akipiga hesabu ya remaining time na hela atakayolipwa baada ya kustaafu udiwani na salio analopewa now na CCM,it doesnt make sense to him.
That nigga is a snake of some kind....
Sina ushahidi,ila mimi binafsi kwa machale yangu,najitahidi sana nimuamini ila sijafika 100% aisee!
I dont know why!
Hapo hamna kitu mzee,pandikizi hilo.Hiyo ndo weaknesss yake pia. Inawezekana labda kina Msando wamemtuma akatibue
Lema analeta mambo za kiwaki jombaaa ....Machalii wa Arusha tunaenda Na Bananga jombaaa. Lema analeta chuki ndani ya chama
Kama ni hivo basi wamle kichwa mapema.. bora abaki Lema ropo ropo...Hapo hamna kitu mzee,pandikizi hilo.
Zamani jamaa alikuaga ni 'the real deal' ila sasa hivi alishaunga mkono juhudi ktambo tu.
Ni kweli, wana CCM mnaijua vzr hali halisi ya bananga.Hujui kweli halisi wewe ....
ARUSHA AU MBEYA? BINAFSI NAONA MBEYA NDIO PATALETA CHANGAMOTOArusha pagumu sanaaaaa ...ndio jimbo pekee litaloleta joto kwenye chaguzi zote za Chadema .....makao makuu yote macho yote Arusha dadadadeki .....
Mambo yanaenda. Simba mwenda kimya ......
Mpaka sasa CCM wana dawa ya Lema ila hawana dawa ya Bananga ....akishinda Bananga watarudi kwenye drawboard ....Kama ni hivo basi wamle kichwa mapema.. bora abaki Lema ropo ropo...
Ila kama CCM wanataka kuiba jimbo kinguvu, bora wampe Mrisho Gambo
Tuache demokrasia ya kura iamue.Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.
Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.
Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Mbeya changamoto ni CCM against Chadema. Hakuna jimbo lenye internal conflict kama Arusha ndio maana unaona hata uchaguzi unafanyika sasa .....ARUSHA AU MBEYA? BINAFSI NAONA MBEYA NDIO PATALETA CHANGAMOTO
Japo zuri lazima liwe gumuMwaka huu ni mgumu sana kwa chadema.
Tuma message kwa kila mjumbe wa mkutano ukimuarifu hayo.Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga
Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.
Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.
Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Makao makuu waache kura ziamue badala ya maelekezo ....Tuache demokrasia ya kura iamue.
Hajashindwa kununuliwa, yule ameachwa makusudi kundini kuleta mpasuko huyo.Lakini ina maana kama ameshindwa kununuliwa mda wote ule, mi naona ni mtu wa kuaminika.
Kama ni hivo Karma itaamua lazima ashindwe vikaliHajashindwa kununuliwa, yule ameachwa makusudi kundini kuleta mpasuko huyo.
Ndio nasema hujui uhalisia wa nini kinaendelea Arusha ...tulia!!Hajashindwa kununuliwa, yule ameachwa makusudi kundini kuleta mpasuko huyo.