MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Kama ni CDM sawa ila sio wana Arusha ....Mark my word ....twende na Bananga ....Well it’s CDM decision
Nani unadhani utakuwa enforcer wa Mbowe na CDM ukimtoa Lema?
CDM inamuitaji Lema kushinda Lema invyoitaji CDM. In fact upinzani unamuitaji Lema kama askari mzoefu katika harakati zao ambazo bado changa sana kuweza isumbua CCM.
Ni maamuzi ya CDM mwisho wa siku I am just airing my opinion.