Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Sure. Lema watu wamemchoka. Gambo anakubalika Muriet zaidi, infact, walidhani Muriet lingekua Jimbo jipya but tume wamekataa so hapo mjini wakitaka kushinda wampe Bananga ukizingatia pia Mambo ya dini na nn! Hope umenierewa.
Arusha ni kitu ingine chali angu.
 
chadema ilishakufa, sasa hivi ni tunajiandaa kuizika tu ..
Nakubaliana na wewe,wananchi wa Songea huku wanawasubiri mje muwaletee story zenu zile za dar za Stigler's,flyover huku wanafunzi wa vyuo vikuu mliogoma kuwaajiri tangu 2015-2020 wakiwasubiri mje muwapigie zile Nyimbo zenu za SGR.

Push-up za mwaka huu zitakua zile kama za kule 'DOJO'.
 
Watakwambia wameipeleka songea kwenye uchumi wa kati
Nakubaliana na wewe,wananchi wa Songea huku wanawasubiri mje muwaletee story zenu zile za dar za Stigler's,flyover huku wanafunzi wa vyuo vikuu mliogoma kuwaajiri tangu 2015-2020 wakiwasubiri mje muwapigie zile Nyimbo zenu za SGR.

Push-up za mwaka huu zitakua zile kama za kule 'DOJO'.
 
Aisee nampenda Lema.. ila ikipendeza amuachie Binamu Bananga

Kama mkazi niliyozaliwa Arusha, napenda kuona kuna mabadiliko fulani ya kuachiana vijiti, mimi sio muumini wa 'umimi', nadhani ni wakati Lema akamuachia Bananga, Lema apumzike tu kama Mnyika.

Mchuano wa Binamu Bananga (CHADEMA) na Mrisho Gambo (CCM) utatupatia watu bora sana kwa Arusha maana wote nimewapima kwa mizani yangu, ni viongozi wanaofaa, wana mitizamo fulani ya kimaendeleo na kupiga hatua.

Arusha msifanye makosa CHADEMA na CCM ni either Bananga au Mrisho Gambo
Kweli kabisa. Bananga achaguliwe
 
Back
Top Bottom