Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Uchaguzi 2020 Kumekucha Arusha Mjini: Kura za maoni za ubunge moto wawaka, Lema aibuka kidedea dhidi ya Bananga

Kwasababu unakuja na hoja za bendera fuata upepo, ndio maana unakuja na hadithi za kipuuzi ili kukidhi utoto wako. Huyo Lema ana programu ya kusomesha watoto 300+. Ana miradi mingi tu ametekeleza kwa hiyo fedha kiduchu ya mfuko wa jimbo. Ila kwakuwa uko hapa jukwaani ukisubiri story za wanaume wenzio, ndio maana unaishia kutapika upuuzi usio na kichwa wala miguu.
Miatatu plass your ass elimu saivi nibure bwamdogo!!...taja hiyo miradi alofanya!! Wewe kaziyako kusifia hovyo wanaume wenzio acha uboya ongea vitu real na fact.
 
Bananga kafanikiwa kujijengea ngome pana sana ...Lema akajisahau sana na kuzusha unnecessary conflicts! Sasa makamanda wanataka kufanya kazi na mtu mwingine ....
Ngome pana imeambulia kura 22 [emoji3][emoji3]
 
Its a WAR .... Haiwezekani Arusha irudi CCM kupitia Lema aisee ...
Bananga atashindwa na mgombea wa ccm mchana kweupe bora lema ataleta upinzani zaidi, shida ya bananga urafiki na wana ccm utamtolea kuaminika
 
HAYA MAZAGAZAGA YA KUPIGIANA KURA SIJUI MSHINDI N MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZA KODI ZETU WAB WANAJULIKANA MNGEJITAHIDI KUPELEKA VMAALUM WENYE AKILI NA HEKIMA SIO MABARASOSOSO WALIOPITA WANAKUJA KUWAUMBUA MWISHONI

NNQNYIE VMAALUM MSIKUBALI KUOMBWA MSITOE KAMA.IPO IPO TU WASIWATESE BUNGE SIOSWHEMUYA KUPISHIAAA SIZE ZA MIAHEDEDEE YAIO

Huu utoto unaoandika hapa kwa herufi kubwa, huku sio mahali pake. Ni vyema ukaupeleka facebook maana kule ndio kuna watoto wenzio wa chuo na sekondari.
 
Miatatu plass your ass elimu saivi nibure bwamdogo!!...taja hiyo miradi alofanya!! Wewe kaziyako kusifia hovyo wanaume wenzio acha uboya ongea vitu real na fact.

Naona umekosa mabasha huko mtaani kwenu kwa jinsi ngozi ilivyokubana, saa hii naona unadanga tu huku jf. Hiyo Elimu bure wanafunzi wanagaiwa madaftari, uniform na mahitaji mengine kama mlo bure?
 
Siasa siyo uadui.

Nichukue fursa hii kukupongeza kamanda Godbless Lema kwa ushindi wa takribani 84% katika kura za maoni.

Sasa naamini hata yule thirty ulimshinda kihalali kabisa nafasi ya uenyekiti wa Jimbo la kaskazini.

God bless you bwashee.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ukiona mwanaccm anatoa hongera kwa mpizani, tambua kuna Jambo nyuma yake
 
KUPATA VICHEKESHO KAMA HIVI ANDIKA NENO TINDO KWENDA NAMBA 15777
Huu utoto unaoandika hapa kwa herufi kubwa, huku sio mahali pake. Ni vyema ukaupeleka facebook maana kule ndio kuna watoto wenzio wa chuo na sekondari.
 
Naona umekosa mabasha huko mtaani kwenu kwa jinsi ngozi ilivyokubana, saa hii naona unadanga tu huku jf. Hiyo Elimu bure wanafunzi wanagaiwa madaftari, uniform na mahitaji mengine kama mlo bure?
Unamatusi ya wamama wauswahilini au ndommoja wao??Lema akikosolewa madem zake huwa mnajinyeanyea... unantukana hata babayako!! Basi pole wazee tunajua wanawake mkipenda huwa mnazama
 
Unamatusi ya wamama wauswahilini au ndommoja wao??Lema akikosolewa madem zake huwa mnajinyeanyea... unantukana hata babayako!! Basi pole wazee tunajua wanawake mkipenda huwa mnazama

Nasema hivi, hiyo huduma unayotaka kutupa sio wote tunatumia, wapelekee hao hao wenye uhitaji. Unajifanya muhuni kumbe ni mshamba fulani. Ngoja tukupe majibu yanayoendana na uhani@@thi wako, ngi@ri jike ww. Hili sio jukwaa la wauza face.
 
Nasema hivi, hiyo huduma unayotaka kutupa sio wote tunatumia, wapelekee hao hao wenye uhitaji. Unajifanya muhuni kumbe ni mshamba fulani. Ngoja tukupe majibu yanayoendana na uhani@@thi wako, ngi@ri jike ww. Hili sio jukwaa la wauza face.
Hahaha wedada unamatusi yakishangingi
 
Hapa umejichanganya we punga mjane, tazama hii I'd vizuri, wenzako hawaitaki hata bure.
Hahaha kwamaneno yako nakuchukulia kama shankupe flani lililojichubua usoni mikono meusiii linalopenda vijana wadogo... Leta matusi we kahbia huna matusi mapya mazito??
 
Back
Top Bottom